Mbona Wachambuzi wa Soka la Tanzania katika Redio na Runinga sasa hawatuambii tena Timu bora kati ya Simba na Yanga ni ipi?

Mbona Wachambuzi wa Soka la Tanzania katika Redio na Runinga sasa hawatuambii tena Timu bora kati ya Simba na Yanga ni ipi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na walivyokuwa Wendawazimu na Watu wa kupewa Fedha na MSG watasema bado aliyefungwa Mechi Mbili katika Ligi Kuu ya NBC ndiyo Timu bora huku yule ambaye Kafungwa Mechi moja tu na sasa ndiyo anaongoza Ligi na huenda akaongoza hadi Ubingwa siyo Timu bora.

GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kipenzi cha MUNGU.
 
kuna mchakondoo mmoja nilimsikia juzi kabla yanga haijacheza anachambua kua mavambo siohatari kushinda chama pacome na azizi kii kwasababu mavambo hana udambwidambwi wakupiga chenga yeyé anajitangulizia nakufunga tuu

jioni nikaenda kuangalia wenye udambwidambwi siwakachezea tatú bhana nilicheka
 
Na walivyokuwa Wendawazimu na Watu wa kupewa Fedha na MSG watasema bado aliyefungwa Mechi Mbili katika Ligi Kuu ya NBC ndiyo Timu bora huku yule ambaye Kafungwa Mechi moja tu na sasa ndiyo anaongoza Ligi na huenda akaongoza hadi Ubingwa siyo Timu bora.

GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kipenzi cha MUNGU.
Ila Simba bwana!!😂😂😂
 
Huyo aliyefungwa mechi moja atafungwa ya pili na yule yule Yanga.
Kisha tutarudi kuwalinganisha.
 
Na walivyokuwa Wendawazimu na Watu wa kupewa Fedha na MSG watasema bado aliyefungwa Mechi Mbili katika Ligi Kuu ya NBC ndiyo Timu bora huku yule ambaye Kafungwa Mechi moja tu na sasa ndiyo anaongoza Ligi na huenda akaongoza hadi Ubingwa siyo Timu bora.

GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kipenzi cha MUNGU.
Wachambuzi wa bongo wanalipwa na JSM
 
Ila hapa ndo huwa sielewi mpira ukoje, hivi yanga kakosea wapi?? Wachezaji ni wale wale, mwalimu ni yule yule, Simba alidrop baada ya kuuza two key players sasa Yanga shida ni nini??
 
Ila hapa ndo huwa sielewi mpira ukoje, hivi yanga kakosea wapi?? Wachezaji ni wale wale, mwalimu ni yule yule, Simba alidrop baada ya kuuza two key players sasa Yanga shida ni nini??
Mganga wao kasusa
 
Yaani timu Bora Tanzania mpaka uambiwe na Mchambuzi, hakika u mbumbumbu ni hatari kubwa.

Ikiwa Kocha wa Simba anasema Yanga ni Timu Bora na timu yake Bado Ina ji Jenga wewe mbumbumbu wa kawaida usiyejua chochote kwenye soka unabishana na Kocha wa Simba!!
 
Yaani timu Bora Tanzania mpaka uambiwe na Mchambuzi, hakika u mbumbumbu ni hatari kubwa.

Ikiwa Kocha wa Simba anasema Yanga ni Timu Bora na timu yake Bado Ina ji Jenga wewe mbumbumbu wa kawaida usiyejua chochote kwenye soka unabishana na Kocha wa Simba!!
Mbumbumbu Mama yako Mzazi.
 
Kuna mchambuzi maandazi humu akisema Kocha hajui kupanga kikosi wala kufanya sub....tukamuomba aende kozi ukocha akamsaidie maana sasa tuna cross line za proffessional
 
Wachana na wachambuzi, anaeogoza ligi ndiye bora kwa wakati huo. Anaeshinda ligi ndio bora kwa msimu huo.
 
Wachana na wachambuzi, anaeogoza ligi ndiye bora kwa wakati huo. Anaeshinda ligi ndio bora kwa msimu huo.
Kwenye izi round za awali apo kwenye Jedwali la msimamo wa Ligi Zina kaa timu nyingi ndio maana uwa tunashauri wapige na picha.

Itakapo fika round ya 27 kuelekea mwishoni kunakua na timu Moja tu (Yanga) na Gape la point zisizo pungua 5 kati yake na anaye fuata.

Hizi ni round za Kila anaye kaa apo juu kuji mwambafy ila zile round za ki umeni zikifika wenye akili na mbumbumbu hujitenga.
 
Kwenye izi round za awali apo kwenye Jedwali la msimamo wa Ligi Zina kaa timu nyingi ndio maana uwa tunashauri wapige na picha.

Itakapo fika round ya 27 kuelekea mwishoni kunakua na timu Moja tu (Yanga) na Gape la point zisizo pungua 5 kati yake na anaye fuata.

Hizi ni round za Kila anaye kaa apo juu kuji mwambafy ila zile round za ki umeni zikifika wenye akili na mbumbumbu hujitenga.
Kutesa kwa zamu.
 
Yanga kufungwa mechi mbili mmeshaanza kujipa ubora Tanzania 😀😀😀

Yanga 5 - 1 5imba
Yanga 2-1 5imba
Yanga 1 - 0 5imba
Yanga 1 - 0 5imba

Yanga bingwa x4 Ligi, kombe shirikisho, FA, Ngao n.k bado unataka wachambue nini? karanga au ma**ko yako?
 
Back
Top Bottom