Mbona walevi wanapata pata hela kuliko wasiokunywa

Mbona walevi wanapata pata hela kuliko wasiokunywa

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Asilimia zaidi ya nusu ya muda wangu natumia kukaa na walevi kila siku na zaidi ya asilimia 90 ya marafiki zangu ni walevi wa pombe za viwandani na hata za asili.

Nilichokigundua kwetu sisi wanywaji tunakuwa na bahati sana ya kupata hela yaani mlevi hakai siku tatu au nne bila ya kupata hela na utamgundua anakuwa na mood ya furaha.kipi kinatusukuma kutafuta hela kwa mbinu je hio hamasa ni kwa ajili ya ukifikiria ukizopoteza?

Kwa upande wa wenzetu hawa wasiotumia unaweza kumkuta kila siku ye analia hana hela hata week mpaka mwezi anadai hana hela.anakuwa na nia kweli ya kupata ili afanye vya maana ila ndo mfumo unamkataa hapati tu.
 
Asilimia zaidi ya nusu ya muda wangu natumia kukaa na walevi kila siku na zaidi ya asilimia 90 ya marafiki zangu ni walevi wa pombe za viwandani na hata za asili.

Nilichokigundua kwetu sisi wanywaji tunakuwa na bahati sana ya kupata hela yaani mlevi hakai siku tatu au nne bila ya kupata hela na utamgundua anakuwa na mood ya furaha.kipi kinatusukuma kutafuta hela kwa mbinu je hio hamasa ni kwa ajili ya ukifikiria ukizopoteza?

Kwa upande wa wenzetu hawa wasiotumia unaweza kumkuta kila siku ye analia hana hela hata week mpaka mwezi anadai hana hela.anakuwa na nia kweli ya kupata ili afanye vya maana ila ndo mfumo unamkataa hapati tu.
Jichanganye 😹😹😹
 
Asilimia zaidi ya nusu ya muda wangu natumia kukaa na walevi kila siku na zaidi ya asilimia 90 ya marafiki zangu ni walevi wa pombe za viwandani na hata za asili.

Nilichokigundua kwetu sisi wanywaji tunakuwa na bahati sana ya kupata hela yaani mlevi hakai siku tatu au nne bila ya kupata hela na utamgundua anakuwa na mood ya furaha.kipi kinatusukuma kutafuta hela kwa mbinu je hio hamasa ni kwa ajili ya ukifikiria ukizopoteza?

Kwa upande wa wenzetu hawa wasiotumia unaweza kumkuta kila siku ye analia hana hela hata week mpaka mwezi anadai hana hela.anakuwa na nia kweli ya kupata ili afanye vya maana ila ndo mfumo unamkataa hapati tu.
Chai
 
Sio kwamba walevi wana bahati,,,,, ni kwamba wanakutana sana maeneo ya starehe kama bar n.k ,,, huko huko kwenye unywaji ndo wanapeana connection kadha wa kadha,,,, binafsi juzi kati January hapa kuna mshikaji tulikutana tu bar story za hapa na pale, kupitia yeye nikauziwa kiwanja na rafiki yake bei ya kutupa kabisa alafu eneo potential sana ,,, hakuna udalali wala nini ! Ni hayo tu ndugu mtoa mada
 
Back
Top Bottom