ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Akili za kitoto hizi.Embu tutajie walevi 5 tuu matajiri Tanzania ama apo ulipoo
Musk mwenyewe anapiga Pombe mbaya
Hapo basi hunywi pombe ukitegemea kuwa tajiri fala w
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za kitoto hizi.Embu tutajie walevi 5 tuu matajiri Tanzania ama apo ulipoo
Ebu pitia hapa river side, Cleopatra Casino uchambekoo mkali...😋Umeongea maneno mazito sana.Unapendelea maua yako uyapokee ukiwa wapi?
Tutakaa tupige hesabu.Wakija kupata sana, sisi tuliopata sana mda mrefu tutarudi kupata kidogo au ?🤒😎
Sawa sawa kabisa 😊Tutakaa tupige hesabu.
Mara moja!Ebu pitia hapa river side, Cleopatra Casino uchambekoo mkali...😋
Hii pisi nataka nione namna ya kuifuatilia mkuu...😜
Perfect combo.Hii pisi nataka nione namna ya kuifuatilia mkuu...😜
Umesema mpka cyo poa 😹😹😹😹😹😹dayati ya Janabi 😹😹😹😹.......sio kwamba wanaopata pesa mara Kwa mara, kimsingi wanywaji wa hizi pombe za viwandani ni watu wenye fedha kiasi fulani hata ukiwakuta baa unawaona ni wenye furaha.......
.......Sasa njoo kwa sisi tunajifanya tunazingatia dayati za Janabi na kwamba hatunywi pombe coz ni mbaya kiafya nk, wengi wetu utaona tuna harufu ya ufukara fulani na hatuna saving yoyote ya maana.......
99% ya Matajiri na viongozi wa Tz ni WALEVIEmbu tutajie walevi 5 tuu matajiri Tanzania ama apo ulipoo
Uzi umeishia hapa. Ulichoandika ndo uhalisia.Sio kwamba walevi wana bahati,,,,, ni kwamba wanakutana sana maeneo ya starehe kama bar n.k ,,, huko huko kwenye unywaji ndo wanapeana connection kadha wa kadha,,,, binafsi juzi kati January hapa kuna mshikaji tulikutana tu bar story za hapa na pale, kupitia yeye nikauziwa kiwanja na rafiki yake bei ya kutupa kabisa alafu eneo potential sana ,,, hakuna udalali wala nini ! Ni hayo tu ndugu mtoa mada
Exactly.......sio kwamba wanaopata pesa mara Kwa mara, kimsingi wanywaji wa hizi pombe za viwandani ni watu wenye fedha kiasi fulani hata ukiwakuta baa unawaona ni wenye furaha.......
.......Sasa njoo kwa sisi tunajifanya tunazingatia dayati za Janabi na kwamba hatunywi pombe coz ni mbaya kiafya nk, wengi wetu utaona tuna harufu ya ufukara fulani na hatuna saving yoyote ya maana.......
Hivi madada poa pamoja na kuwa wanatoa bill kubwa mbona maisha yao ya shida kila siku, huoni wakifanya maendeleo. Huo ulevi wao hauwasaidii?The law of universe.....toa pesa upate pesa.
Umelewa?Hivi madada poa pamoja na kuwa wanatoa bill kubwa mbona maisha yao ya shida kila siku, huoni wakifanya maendeleo. Huo ulevi wao hauwasaidii?