Me na ex wangu ilikuwa kila siku jioni lazima twende kupata dinner ambayo ilikuwa ni kati ya elfu 12 hadi 15 alafu tunapitia kwenye kigroccery me nakunywa bia tatu yeye tano au zaidi kutegemea tu na siku yenyewe itakavyokuwa tulikuwa tunatumia kati ya elfu 30 hadi 40 kila jioni
Weekend tunakesha bar na tunaamkia guest
Siku kama hizo laki na nusu ilikuwa ni kawaida kuisha
Nilivyokaa na kutathmini hiyo kitu nikataka tubadili mfumo wa maisha kwamba tunachoma hela nyingi sana kwa hali ya maisha yetu ni bora kusave tuwe angalau weekend ndiyo tunatoka na shughuli tumalizie nyumbani badala ya guest elfu30 tunafuata ac
Kweli ikawa hivyo kama baba nilivyoamua
Lakini after kama miezi miwili pashkuna ananiambia hivi mpaka saivi tumesave bei gani mbona hatuna kitu na hatuenjoi tena kama mwanzo
Ni kweli hatukuwa na chochote tulichosave
Sent from my TECNO KC8 using
JamiiForums mobile app