Mbona walevi wanapata pata hela kuliko wasiokunywa

Mbona walevi wanapata pata hela kuliko wasiokunywa

Asilimia zaidi ya nusu ya muda wangu natumia kukaa na walevi kila siku na zaidi ya asilimia 90 ya marafiki zangu ni walevi wa pombe za viwandani na hata za asili.

Nilichokigundua kwetu sisi wanywaji tunakuwa na bahati sana ya kupata hela yaani mlevi hakai siku tatu au nne bila ya kupata hela na utamgundua anakuwa na mood ya furaha.kipi kinatusukuma kutafuta hela kwa mbinu je hio hamasa ni kwa ajili ya ukifikiria ukizopoteza?

Kwa upande wa wenzetu hawa wasiotumia unaweza kumkuta kila siku ye analia hana hela hata week mpaka mwezi anadai hana hela.anakuwa na nia kweli ya kupata ili afanye vya maana ila ndo mfumo unamkataa hapati tu.
Ku
The law of universe.....toa pesa upate pesa.
Kula Bia
 
Me na ex wangu ilikuwa kila siku jioni lazima twende kupata dinner ambayo ilikuwa ni kati ya elfu 12 hadi 15 alafu tunapitia kwenye kigroccery me nakunywa bia tatu yeye tano au zaidi kutegemea tu na siku yenyewe itakavyokuwa tulikuwa tunatumia kati ya elfu 30 hadi 40 kila jioni
Weekend tunakesha bar na tunaamkia guest
Siku kama hizo laki na nusu ilikuwa ni kawaida kuisha
Nilivyokaa na kutathmini hiyo kitu nikataka tubadili mfumo wa maisha kwamba tunachoma hela nyingi sana kwa hali ya maisha yetu ni bora kusave tuwe angalau weekend ndiyo tunatoka na shughuli tumalizie nyumbani badala ya guest elfu30 tunafuata ac

Kweli ikawa hivyo kama baba nilivyoamua
Lakini after kama miezi miwili pashkuna ananiambia hivi mpaka saivi tumesave bei gani mbona hatuna kitu na hatuenjoi tena kama mwanzo
Ni kweli hatukuwa na chochote tulichosave


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Asilimia zaidi ya nusu ya muda wangu natumia kukaa na walevi kila siku na zaidi ya asilimia 90 ya marafiki zangu ni walevi wa pombe za viwandani na hata za asili.

Nilichokigundua kwetu sisi wanywaji tunakuwa na bahati sana ya kupata hela yaani mlevi hakai siku tatu au nne bila ya kupata hela na utamgundua anakuwa na mood ya furaha.kipi kinatusukuma kutafuta hela kwa mbinu je hio hamasa ni kwa ajili ya ukifikiria ukizopoteza?

Kwa upande wa wenzetu hawa wasiotumia unaweza kumkuta kila siku ye analia hana hela hata week mpaka mwezi anadai hana hela.anakuwa na nia kweli ya kupata ili afanye vya maana ila ndo mfumo unamkataa hapati tu.
Connection, bar utakutana na watu wengi na nirahisi kukupa madili
 
Walevi wengi ni wapiga deal na wahujumu wa Mali ya umma Ili wapate pesa ya kununuliana pombe.

Ulevi ukomeshwe katika utumishi wa umma na sekta binafsi.
 
Me na ex wangu ilikuwa kila siku jioni lazima twende kupata dinner ambayo ilikuwa ni kati ya elfu 12 hadi 15 alafu tunapitia kwenye kigroccery me nakunywa bia tatu yeye tano au zaidi kutegemea tu na siku yenyewe itakavyokuwa tulikuwa tunatumia kati ya elfu 30 hadi 40 kila jioni
Weekend tunakesha bar na tunaamkia guest
Siku kama hizo laki na nusu ilikuwa ni kawaida kuisha
Nilivyokaa na kutathmini hiyo kitu nikataka tubadili mfumo wa maisha kwamba tunachoma hela nyingi sana kwa hali ya maisha yetu ni bora kusave tuwe angalau weekend ndiyo tunatoka na shughuli tumalizie nyumbani badala ya guest elfu30 tunafuata ac

Kweli ikawa hivyo kama baba nilivyoamua
Lakini after kama miezi miwili pashkuna ananiambia hivi mpaka saivi tumesave bei gani mbona hatuna kitu na hatuenjoi tena kama mwanzo
Ni kweli hatukuwa na chochote tulichosave


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Shetani hawezi kukupiga vita ikiwa una malengo ya Kupata pesa ya kunywea pombe,

Ungewaza kuhusu kuhudumia INJILI ndio ungepatikana na vita kubwa zaidi ya hiyo.
 
Asilimia zaidi ya nusu ya muda wangu natumia kukaa na walevi kila siku na zaidi ya asilimia 90 ya marafiki zangu ni walevi wa pombe za viwandani na hata za asili.

Nilichokigundua kwetu sisi wanywaji tunakuwa na bahati sana ya kupata hela yaani mlevi hakai siku tatu au nne bila ya kupata hela na utamgundua anakuwa na mood ya furaha.kipi kinatusukuma kutafuta hela kwa mbinu je hio hamasa ni kwa ajili ya ukifikiria ukizopoteza?

Kwa upande wa wenzetu hawa wasiotumia unaweza kumkuta kila siku ye analia hana hela hata week mpaka mwezi anadai hana hela.anakuwa na nia kweli ya kupata ili afanye vya maana ila ndo mfumo unamkataa hapati tu.
Kuna kitu unachanganya hapa. Walevi wengi ni tayari wana hela ndioaana wanalewa. Sio eti wanalewa ndio wanapata hela.
 
.......sio kwamba wanaopata pesa mara Kwa mara, kimsingi wanywaji wa hizi pombe za viwandani ni watu wenye fedha kiasi fulani hata ukiwakuta baa unawaona ni wenye furaha.......
.......Sasa njoo kwa sisi tunajifanya tunazingatia dayati za Janabi na kwamba hatunywi pombe coz ni mbaya kiafya nk, wengi wetu utaona tuna harufu ya ufukara fulani na hatuna saving yoyote ya maana.......
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kumbe nawe ni wale wale🤔
Yah napiga Bia kama kawaida.
We unataka kazi zote ninazo zipambania niishie kunywa Soda 🤣🤣🤣
Prof Janabi mwenyewe karuhusu Bia kwa afya ya Binadamu.
Mimi ni nani nimbishie Profesa wa afya ya Binadamu.
Wewe endelea kunywa Togwa., 😉😉😉
 
Back
Top Bottom