Mbona walevi wanapata pata hela kuliko wasiokunywa

Dah umenichekesha sna mkuu😁
 
Walevi wengi ni wapiga deal na wahujumu wa Mali ya umma Ili wapate pesa ya kununuliana pombe.

Ulevi ukomeshwe katika utumishi wa umma na sekta binafsi.
Jidanganye 😁
 
katika utafiti wangu mdogo usio rasmi, ukifanya vitu vinavyoweza sababisha uovu zaidi, ni rahisi zaidi kupata pesa nyingi zaidi na kwa haraka kuliko vile vinavyosababisha amani na upendo. Ukiwa mgodini ukatamani kutumia pesa kusaidia wenye huitaji zinapatikana kwa shida kuliko zile za starehe, pia kwenye biashara zote hasa zile haramu. Na pesa hizi mara chache sana zinadumu kusaidia kizazi kijacho.
 
Kumbe kuna ulevi wa kusali tena!
Angalia makanisa yanayojiita ya kilokole , pia angalia aina ya maisha ya waumini wao pia angalia masaa yao ya kazi na masaa yao kusali tofauti yake.
 
Mlevi akiwa ana dili fulani, wa kwanza kumkumbuka ni mlevi mwenzake kwa sababau anajua mlevi mwenzake akipata hela watakutana tu na watakunywa wote kuliko mnywa soda anaweza kutokomea mazima!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…