Mbona wanawake wakijiweza kidogo tu kiuchumi wakalingana na wanaume wanakuwa na dharau?

Hao viumbe wewe wasikie tu kwenye redio.
Kuna pasta mmoja maarufu Sana hapo Burundi alimnunulia mke wake gari ya gharama Tena toka dukani, huku mke huyo huyo ambaye jamaa anapenda Sana kujitangaza naye akawa analiwa na sekretari wa huyo pasta uchwara mpaka amezaa naye. Ukifunguamitandao ya kijamii utamuona huyo pasta michongo anavyo weweseka utadhani Ni bundi wakati wa kiangazi.
Kifupi ukimtangaza Sana mkeo ujue Kuna watu Tena wakaribu watapenda kumuonja.
Hata hicvyo inasemekana pasta Hana zile nguvu pendwa za wanaume wa Dar. Akipigwa ngumi moja tu wiki mbili au tatu haamki.
 
Mstari wa kwanza umemaliza kila kitu
 
Pole sana kaka! Dah
 
Pastor hana nguvu za kiume?
 
waislam wakisema wanawake ni wakukaa tu ndani na kulea familia.mnawaona waislam wakandamizaji.Mungu aliyaona haya.
Huyo ameumbwa kupewa tu.
Alianza kujipa mwenyewe umekwisha
Mkuu hakika nmekuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…