GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wenye Akili Kubwa na Wanaonielewa haraka GENTAMYCINE nina uhakika wameshanielewa vyema tu.Si wengne hatuwajui toa code
Ohoo!Bongo star search. Anawasaga sanaa wenzie
Hili kundi linaongozwa na Mishangazi ambayo ni viongozi wa kike serikalini. Wakuu wa Wilaya, wakurugenzi na wakuu wa idara wa kike 90% wako kwenye kundi hili. Ila nasikia kuna mmoja hawezi kukemewa naye anasagisha.Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Farida Mgomi amekemea vikali na kupiga marufuku tabia ya wanawake watu wazima, kuwaweka kinyumba vijana wenye umri mdogo.
Mgomi ameyasema hayo wakati akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Mtima, Ileje na kueleza kuwa taarifa zimemfikia kwamba vijana wengi wanaishi kinyumba na wanawake waliowazidi umri kwa sababu ya kufuata fedha.
Amesema hali hiyo inawafanya vijana kutojishughulisha na shughuli za kimaendeleo na kueleza kuwa jambo hilo ni kinyume na mila na tamaduni za Kitanzania.
Chanzo: globaltvonline
GENTAMYCINE nitashukuru nikijibiwa hilo Swali langu Kuntu nililoliuliza katika Kichwa changu cha Habari ( Headline ) ya Uzi huu.
Msagishaji asiyekemewa,mkuu fungua code kidogoHili kundi linaongozwa na Mishangazi ambayo ni viongozi wa kike serikalini. Wakuu wa Wilaya, wakurugenzi na wakuu wa idara wa kike 90% wako kwenye kundi hili. Ila nasikia kuna mmoja hawezi kukemewa naye anasagisha.
Wamama wa njombe mbeya sumbawanga iringa hiyo ndio kazi yao wakisha waua waume zao wanatafuta vijana wadogo wakula hela ya hayati alioiachaMkuu wa Wilaya ya Ileje, Farida Mgomi amekemea vikali na kupiga marufuku tabia ya wanawake watu wazima, kuwaweka kinyumba vijana wenye umri mdogo.
Mgomi ameyasema hayo wakati akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Mtima, Ileje na kueleza kuwa taarifa zimemfikia kwamba vijana wengi wanaishi kinyumba na wanawake waliowazidi umri kwa sababu ya kufuata fedha.
Amesema hali hiyo inawafanya vijana kutojishughulisha na shughuli za kimaendeleo na kueleza kuwa jambo hilo ni kinyume na mila na tamaduni za Kitanzania.
Chanzo: globaltvonline
GENTAMYCINE nitashukuru nikijibiwa hilo Swali langu Kuntu nililoliuliza katika Kichwa changu cha Habari ( Headline ) ya Uzi huu.
Wanaume ni haki yao sababu hela wanatafuta wao,wamama walio wengi wanawaua wanaume hili waishi na vijana hili watumie hela ya dhurumaMbona mijibaba nayo inajitwalia vibinti vidogo, tena vinavinunulia simu za bei mbaya kama kuwahonga ili viwe vinawapa penzi kila wakihitaji, mambo ni wakubwa kwa wadogo na wadogo kwa wakubwa
Mama Dula?Hili kundi linaongozwa na Mishangazi ambayo ni viongozi wa kike serikalini. Wakuu wa Wilaya, wakurugenzi na wakuu wa idara wa kike 90% wako kwenye kundi hili. Ila nasikia kuna mmoja hawezi kukemewa naye anasagisha.
Ha ha haaaa! Mkuu codes umeziweka wazi sanaaaNa yule x wa Barbados Breweries Corporation anamsagisha.
Hata mimi nimesikia hizo fununu ila sijui zina ukweli gani.Daaaa huko tutasikia mengi......walisema jimama lile nalo limo humo ?!!!