Mbona Wenje anatoa siri za Kamati upande wa pili wanamwona shujaa akisema Lissu mnasema mropokaji kweli Mbwa akipoteza uwezo wa kunusa anaelekea kufa

Mbona Wenje anatoa siri za Kamati upande wa pili wanamwona shujaa akisema Lissu mnasema mropokaji kweli Mbwa akipoteza uwezo wa kunusa anaelekea kufa

Kwahiyo kutoa ufafanuzi kuhusu hoja za lissu ndiyo kutoa siri za vikao duh ajabu kwelikweli TatiZo lenu mchagua upande Kila analolisema lisu mnaliona ni sahihi
 
Mhe Tundu Lissu akisema mambo ya Kamati kuu kwenye media anaitwa mropokaji,

Mjumbe wa Kamati Mhe Ezekiah Wenje akitoa siri hizo hizo anaoneka shujaa

Siku zote Mbwa akipoteza uwezo wa kunusa jueni kabisa anaelekea kufa.
Nyumbu wa Sultan Mbowe wana usenge mwingi sana
 
..hata Mbowe alimpigia simu Absalom Kibanda ni kumueleza kuwa ametuhumiwa ktk kikao cha Kamati Kuu ya Chadema.

..Na simu hiyo alimpigia wakati kikao cha Kamati Kuu hakijafungwa, na kibaya Mbowe alimueleze Kibanda mjumbe aliyemtuhumu.

..Hata Mwenyekiti naye ana hatia ya kutoa siri za vikao.
 
Kwahiyo kutoa ufafanuzi kuhusu hoja za lissu ndiyo kutoa siri za vikao duh ajabu kwelikweli TatiZo lenu mchagua upande Kila analolisema lisu mnaliona ni sahihi
Kila jambo hutizamwa chanzo, wenje ndiyo mchokozi alikwenda nyumbani kwa Lisu kuanzisha chokochoko mbona lisu hajaenda nyumbani kwa wenje? iweje mlinganishe mchokozi na aliyechokozwa? Mlitaka wenje amfanyie fujo Lisu anyamaze? Dawa yenu ni kuanika uozo madudu yote ya boss wenu wenje na mbowe
 
Sasa kaongea nini kile?
Wenje kaongea ujinga mtupu hana uwezo wa kujenga hoja zaidi ya kuzidi kumchafua Mbowe kwani wenje huchemsha sana ni mtu mwenye IQ ndogo sana na kama Mbowe ndiyo anamtegemea wenje kujibu hoja za lisu ategemee kupata Aibu kubwa sana kwani wenje ni mtu asiye na weledi Akili zake ni ndogo sana
 
..hata Mbowe alimpigia simu Absalom Kibanda ni kumueleza kuwa ametuhumiwa ktk kikao cha Kamati Kuu ya Chadema.

..Na simu hiyo alimpigia wakati kikao cha Kamati Kuu hakijafungwa, na kibaya Mbowe alimueleze Kibanda mjumbe aliyemtuhumu.

..Hata Mwenyekiti naye ana hatia ya kutoa siri za vikao.
hiki ni kipindi cha kampeni hakuna siri kila baya lianikwe wazi, ndiyo maana ya kampeni , Mbowe hakuzoea haya kila chaguzi akipita bila kupingwa, sasa kaonja joto la jiwe kachanganyikiwa anamtuma Dalali wenje kumtetea kumbe wenje mwenyewe mjinga zaidi anamchafua Mbowe badala ya kumsaidia
 
Mbowe ameunda vikundi vingi vya kumdhoofisha Lisu ikiwemo kamati ya Roho mbaya ikiongozwa na Mdee wenje na Boniface huku Wajumbe ni sugu na wenzake wakiwemo wale wabunge 19 na wenzao ambao wengine wanampenda Lisu moyoni na wanampa taarifa zote za vikao vya Mbowe na Dalali wenje, hakuna siri chadema sasa kila kitu kinavuja
 
Back
Top Bottom