Mbona Wenje anatoa siri za Kamati upande wa pili wanamwona shujaa akisema Lissu mnasema mropokaji kweli Mbwa akipoteza uwezo wa kunusa anaelekea kufa

Mbona Wenje anatoa siri za Kamati upande wa pili wanamwona shujaa akisema Lissu mnasema mropokaji kweli Mbwa akipoteza uwezo wa kunusa anaelekea kufa

Dalali wenje ni madhaifu sana na kibaya Mbowe kamfanya kuwa msiri wake lakini anavujisha Siri zote hajui kutunza siri ni mtu mjinga sana, hiyo imekuwa fursa nzuri kwa lisu kujua mipango yote ya mbowe kiwepesi
 
Viberenge wa Lissu wanahangaika sana.
 
Wenje anajua kuwa mbowe ataiba kura apole ushindi wa Lisu ndiyo maana ameamua kujingolea hovyo bila mpangilio
 
Chawa wa mbowe kuleni pesa za mbowe kwa bidii kwa ni pesa za ufisadi bora mzile nyinyi kuliko mbowe akala peke yake
 
Viberenge wa mbowe wanahangaika sana kumsafisha kwa kula pesa zake alizoiba chadema

Tuhuma Mbowe anazoshutumiwa na Lissu na viberenge vyake hazina ushahidi na kulithibitisha hilo hata TAKUKURU wala hawahangaiki.
 
“Never underestimate the power of stupid people in large groups.” George Carlin.

Hahahah, Hivi hivi mwendo huu wa maneno bila ushahidi Wajinga lazima tutashinde.
 
Mhe Tundu Lissu akisema mambo ya Kamati kuu kwenye media anaitwa mropokaji,

Mjumbe wa Kamati Mhe Ezekiah Wenje akitoa siri hizo hizo anaoneka shujaa

Siku zote Mbwa akipoteza uwezo wa kunusa jueni kabisa anaelekea kufa.
syo siri tena kwa kuwa lisu kesharopoka.
ni majibu tu
 
Mhe Tundu Lissu akisema mambo ya Kamati kuu kwenye media anaitwa mropokaji,

Mjumbe wa Kamati Mhe Ezekiah Wenje akitoa siri hizo hizo anaoneka shujaa

Siku zote Mbwa akipoteza uwezo wa kunusa jueni kabisa anaelekea kufa.
Lissu alianza kumwaga ugali, Wenje nae anamwaga mboga! Hadi Lissu alie.
 
Mhe Tundu Lissu akisema mambo ya Kamati kuu kwenye media anaitwa mropokaji,

Mjumbe wa Kamati Mhe Ezekiah Wenje akitoa siri hizo hizo anaoneka shujaa

Siku zote Mbwa akipoteza uwezo wa kunusa jueni kabisa anaelekea kufa.
Siku zote Mbwa akipoteza uwezo wa kunusa jueni kabisa anaelekea kufa.🔨📌🔨
 
Ukimsikiliza Wenje shida ni JF, mada zilizokuwa zinaanzishwa kwa upotoshaji wa JF ndio, Wenje anatumia kupotosha.

Hii dunia ni ya majungu nimejifunza na media (hata watu wenye influence) wana power ya kujenga narrative kwenye jamii.


Gusa hiyo link uone ‘Terrance Howard’ ambae hajui lolote kuhusu maswala ya Astrophysics anajiropokea na kumu attack ‘Neil deGrasse Tyson’ uone ugomvi uliofuata.

Walio nunua ugomvi sio ‘Terrance Howard’ per per se, ila astrophysicist wengine kama hakina ‘Eric Weinstein’ wenye ugomvi na mainstream astrophysicists hasa washabiki wa ‘string theorists’ kumbe wana ugomvi wao wa unification theory.

Chanzo chote cha matatizo ni ‘Joe Rogan’ podcast, sasa kama anaweza sababisha tibwili kwa wasomi, jiulize kamsaidia vipi Trump kwenye uchaguzi ulioisha.

Ukiwaambia hawa moderators wa JF futeni mada za udini they don’t get it.

Mimi sio shabiki wa Lissu, lakini nilisikiliza press conference yake ya Singida, anayoongea Wenje ni uongo mtupu Lissu hakusema hayo mambo if anything wana copy maelezo yake ya sheria na kuyatumia kumtungia uongo. Na msingi wa hiyo narrative ni mada za JF watu ambao hawakumuelewa Lissu.
 
Mhe Tundu Lissu akisema mambo ya Kamati kuu kwenye media anaitwa mropokaji,

Mjumbe wa Kamati Mhe Ezekiah Wenje akitoa siri hizo hizo anaoneka shujaa

Siku zote Mbwa akipoteza uwezo wa kunusa jueni kabisa anaelekea kufa.
Ngoja tuone Kesho
 
Back
Top Bottom