Mbangaizaji wa Taifa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 493
- 844
Unaelewa ulichoandika?Kwahiyo kutoa ufafanuzi kuhusu hoja za lissu ndiyo kutoa siri za vikao duh ajabu kwelikweli TatiZo lenu mchagua upande Kila analolisema lisu mnaliona ni sahihi
Nenda kamsikilize tusichoshane kamandaKatoa sili gani
Nyumbu wa Sultan Mbowe wana usenge mwingi sanaMhe Tundu Lissu akisema mambo ya Kamati kuu kwenye media anaitwa mropokaji,
Mjumbe wa Kamati Mhe Ezekiah Wenje akitoa siri hizo hizo anaoneka shujaa
Siku zote Mbwa akipoteza uwezo wa kunusa jueni kabisa anaelekea kufa.
Hawaelewi chochoteNyumbu wa Sultan Mbowe wana usenge mwingi sana
Wenje anazingua sana aiseeMhe Tundu Lissu akisema mambo ya Kamati kuu kwenye media anaitwa mropokaji,
Mjumbe wa Kamati Mhe Ezekiah Wenje akitoa siri hizo hizo anaoneka shujaa
Siku zote Mbwa akipoteza uwezo wa kunusa jueni kabisa anaelekea kufa.
Sasa kaongea nini kile?Kujibu tuhuma ndio kuzingua?
Shida ipo kubwa tuMhe Tundu Lissu akisema mambo ya Kamati kuu kwenye media anaitwa mropokaji,
Mjumbe wa Kamati Mhe Ezekiah Wenje akitoa siri hizo hizo anaoneka shujaa
Siku zote Mbwa akipoteza uwezo wa kunusa jueni kabisa anaelekea kufa.
Kila jambo hutizamwa chanzo, wenje ndiyo mchokozi alikwenda nyumbani kwa Lisu kuanzisha chokochoko mbona lisu hajaenda nyumbani kwa wenje? iweje mlinganishe mchokozi na aliyechokozwa? Mlitaka wenje amfanyie fujo Lisu anyamaze? Dawa yenu ni kuanika uozo madudu yote ya boss wenu wenje na mboweKwahiyo kutoa ufafanuzi kuhusu hoja za lissu ndiyo kutoa siri za vikao duh ajabu kwelikweli TatiZo lenu mchagua upande Kila analolisema lisu mnaliona ni sahihi
Wenje kaongea ujinga mtupu hana uwezo wa kujenga hoja zaidi ya kuzidi kumchafua Mbowe kwani wenje huchemsha sana ni mtu mwenye IQ ndogo sana na kama Mbowe ndiyo anamtegemea wenje kujibu hoja za lisu ategemee kupata Aibu kubwa sana kwani wenje ni mtu asiye na weledi Akili zake ni ndogo sanaSasa kaongea nini kile?
hiki ni kipindi cha kampeni hakuna siri kila baya lianikwe wazi, ndiyo maana ya kampeni , Mbowe hakuzoea haya kila chaguzi akipita bila kupingwa, sasa kaonja joto la jiwe kachanganyikiwa anamtuma Dalali wenje kumtetea kumbe wenje mwenyewe mjinga zaidi anamchafua Mbowe badala ya kumsaidia..hata Mbowe alimpigia simu Absalom Kibanda ni kumueleza kuwa ametuhumiwa ktk kikao cha Kamati Kuu ya Chadema.
..Na simu hiyo alimpigia wakati kikao cha Kamati Kuu hakijafungwa, na kibaya Mbowe alimueleze Kibanda mjumbe aliyemtuhumu.
..Hata Mwenyekiti naye ana hatia ya kutoa siri za vikao.
Mbowe ana chawa aina mbili chawa wala pesa zake na moyoni wapo kwa lisu na chawa kamati ya Roho mbaya akina mdee ambao ni watiifu kwa mbowe🤣🤣🤣💐
Kuna wafuasi na wanachwama