Mbowe aache ubaguzi: Wanachama wengi wa CHADEMA ni jobless, kwanini asiwatafutie ajira hao, anatafutia wenye kazi?

Mbowe aache ubaguzi: Wanachama wengi wa CHADEMA ni jobless, kwanini asiwatafutie ajira hao, anatafutia wenye kazi?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nimeona tamko la Mbowe kumtafutia mbunge mmoja ajira ya mshahara wa milioni 34.

Hiki chama asilimia kubwa hawana ajira, wanaganga njaa, kwanini hawatafutii ajira hawa?

Vijana wa chadema, hata hili mmeshindwa kuhoji?
 
Mbona ccm inateua wahadhili wa vyuo vikuu na wastaafu kama Kinana wakati kuna vijana wanazeeka kwa kukaa benchi za hapo Lumumba
Benson Kigaila, Mzee wa miaka 57 anatumwa kupeleka barua, kwa nini asimpe kazi huyo? Au John Mrema, kapiga debe mpaka mdomo umeenda upande na sauti imekwama, Mbowe hawaoni?
 
Benson Kigaila, Mzee wa miaka 57 anatumwa kupeleka barua, kwa nini asimpe kazi huyo? Au John Mrema, kapiga debe mpaka mdomo umeenda upande na sauti imekwama, Mbowe hawaoni?
Sasa unalinganisha miaka 57 ya Kigaila na 71 ya Kinana?

Na mzee Mkuchikq mnataka afie ofisini? Uvccm hamuwaoni?
 
Benson Kigaila, Mzee wa miaka 57 anatumwa kupeleka barua, kwa nini asimpe kazi huyo? Au John Mrema, kapiga debe mpaka mdomo umeenda upande na sauti imekwama, Mbowe hawaoni?
Ha haa! Hata huku kwetu ni kugumu! Wakati nimefulia niko kitaa sina kazi, niliwaomba wakubwa wa huku kwetu, wanitupe hata wilayani kwenye ajira ya kutembelea Land cruiser chakavu; Wakaona ntafaiidi! Wakanitosa.

Nikawaambia hawa ni kwa vile hawajajua historia yangu. Wakati niko chuo mwaka wa kwanza 'tayari' nilikuwa namiliki usafiri wa piki piki. Nilikuwa mwanafunzi pekee aliyekuwa anatembelea piki piki kutoka bwenini kwenda lecture hall: ukiacha wale walemavu ambao walikuwa wamenunuliwa Bajaj na chuo.

By mwaka wa tatu, tayari nilikuwa namiliki gari 'mpya' niliyoinunua Zanzibar mwaka 2008. Na two yrs later nilikuwa nimeshakabidhiwa pick up mpyaa ambayo iliniwezesha kuwa all over the place.

Sana sana niliwashukuru kwa kuninyima nafasi ya kuishi maporini mimi mwana Darisalama.

Kwa kudra za Mwenyezi Mungu, maisha yakasonga mbele na ujenzi wa gorofa unaendelea mdogo mdogo kwa hivi viriziki vya mia mbili, angalau watoto wangu hawatarithi nyumba ya makuti.

Huwa nawashangaa wale wanao ona bila hivi vijinafasi maisha hayatoenda!

Maisha ni lazima yaende. Mlango mmoja ukifungwa mwingine hufunguka.

Napenda kuwadediketia wimbo huu wapambanaji wote waliokosa fursa mbali mbali kuwa, in the end it has made them much stronger!

 
Mimi nilijua ile kauli ya kumtafutia Mdee kazi ya mshahara wa 34.9 M Mbowe itamrudia tu.

Si kwa njaa hizi za wabongo.

Yani hata kama si lawama, huko inbox lazima Mwenyekiti anapata tabu sana kujaziwa maombi ya kazi.

I don't think that detail was necessary.

Tatizo la Mbowe ni kwamba, mazungumzo anayotakiwa aweke wazi sana, kama anaongea nini na Rais Samia kwenye vikao vyao, haweki wazi sana. Halafu mazungumzo ambayo hakukuwa na ulazima wa kuyaweka wazi sana, kama mshahara wa kazi aliyomtafutia Mdee, anayaweka wazi sana.
 
Mbowe ni mnafki, huwezi kutamba kwamba ulimtafutia kazi ya malipo hayo na akagomea. Huo sio uanaume, huo ni uzwazwa. Chama kina wenyewe kile
 
Benson Kigaila, Mzee wa miaka 57 anatumwa kupeleka barua, kwa nini asimpe kazi huyo? Au John Mrema, kapiga debe mpaka mdomo umeenda upande na sauti imekwama, Mbowe hawaoni?
Unaandika kwa chuki sana ila huna utakachofanya kubadilisha hali uliyoko nayo sanasana unajilimbikizia maradhi ya moyo
 
Benson Kigaila, Mzee wa miaka 57 anatumwa kupeleka barua, kwa nini asimpe kazi huyo? Au John Mrema, kapiga debe mpaka mdomo umeenda upande na sauti imekwama, Mbowe hawaoni?
Hiyo barua ilikuwa upelekewe Wewe sema mimba yako isiyokuwa na Baba kwenye umri wako huu wa miaka 23 ndio iliyokusumbua.
 
Sasa unalinganisha miaka 57 ya Kigaila na 71 ya Kinana?

Na mzee Mkuchikq mnataka afie ofisini? Uvccm hamuwaoni?
Ulishawaona hao wanakuwa matarishi (mesenja) wa kupeleka barua?
 
Back
Top Bottom