Mbowe aache ubaguzi: Wanachama wengi wa CHADEMA ni jobless, kwanini asiwatafutie ajira hao, anatafutia wenye kazi?

Mbowe aache ubaguzi: Wanachama wengi wa CHADEMA ni jobless, kwanini asiwatafutie ajira hao, anatafutia wenye kazi?

Mimi nilijua ile kauli ya kumtafutia Mdee kazi ya mshahara wa 34.9 M Mbowe itamrudia tu.

Si kwa njaa hizi za wabongo.

Yani hata kama si lawama, huko inbox lazima Mwenyekiti anapata tabu sana kujaziwa maombi ya kazi.

I don't think that detail was necessary.

Tatizo la Mbowe ni kwamba, mazungumzo anayotakiwa aweke wazi sana, kama anaongea nini na Rais Samia kwenye vikao vyao, haweki wazi sana. Halafu mazungumzo ambayo hakukuwa na ulazima wa kuyaweka wazi sana, kama mshahara wa kazi aliyomtafutia Mdee, anayaweka wazi sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja na mimi nikamtafute anitafutie kazi hata ya millioni moja.



Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom