Sasa zito ana kosa gani na alimuomba mheshimiwa Rais amsaidie atoke gerezani!Wiki iliyopita Dr. Wilbrod Slaa alisikika akisema anakerwa na neno #Mbowesiyogaidi na hakuwahi hata kwenda kumjulia hari gerezani aliyekuwa kiongozi mwenzake kwa kipindi kirefu. Leo Mbowe siyo gaidi na mahakama imethibitisha hivyo kwa kumfutia mashataka yake yote tena bila masharti.
Slaa na mwezake Zitto aliyesema Mbowe ana changamoto za kisheria hivyo asamehewe na mwenzao IGP aliyemdanganya mama kwa sasa wanajionaje mbele ya jamii.
Ujue itakurudia hiyo laana unayorusha kijingaMwanaccm yoyote aliyeshiriki ama kwa kukamata,kusherehekea/kufurahia,kumtuhumu jambo asillolifanya mbowe kisa wanadola, Mungu awapige laana na vizazi vyao na wote waliosema mbowe gaidi huwo ugaidi uawarejee wao na mamayo na babayo na watoto wao wote.
Sitaki kelele na povu bovu milomo.
Kama wameona yametosha ndiyo kushindwa kwenyeweHuko siyo kushinda bali watesi wenu wameona mateso waliyowapa yanatosha!
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
mazatozo anakula matapishi yake sasa anajificha kwenye kivuli cha dpp na viongozi wa dini, aende bbc kukanusha sasaNasikia Gaidi limelia weeeeeeeeee hadi limetoa mikamasi ndio likaonewa huruma.
Hongera sana mama, akirudia tena kuleta upumbavu wake asije kusema hajaambiwa.
Usiwe kama mtoto mdogo!Acha kujifariji, ila hapa ndipo unafiki wako wa kiwango cha juu ulipooneshwa.
Wewe ni miongoni mwa waliokuwa wanawaaminisha memba humu jf kuwa lazima Mbowe afungwe, leo unataka kujifariji kwa kuhamisha goli kuwa wewe kama ccm umeridhika na kukaa kwake mahabusu bila kutafakari madhara kwa upande wa serikali, mifumo ya kisheria lakini pia napokeo ya jambo hili kwa Wananchi wa kawaida.
Kama wewe ndiye mtetezi na mshauri kwa ccm basi wewe ni janga lisilo na mfano.
Ujue tu kuwa hili mliokuwa mmelipanga limekuwa sawa na "kumpiga chura take" kisiasa.
Ndio mnazidi kuwafumbua macho watu kuwa Katiba mpya inahitajika Ili kuondoa huu uozo!
Umewaza jambo muhimu sanaMwacheni mwenyekiti akapate japo goli moja nyumbani amekua mjela jela muda mrefu
Griiiiiingooooo wa ukaldayooooooojiwe angavu Ona hii kenge hapa.!
Kwan kuna shida mkuu au unaumia ndani kwa ndani....Duh! Hebu waoneni hawa. Wana tofauti gani na wale wafuasi wa yule mfalme Zumaridi?
Hivi ukimpa adhabu mwanao kisha ukasema adhabu hii sasa inatosha unakuwa umeshindwa?Kama wameona yametosha ndiyo kushindwa kwenyewe
dubai kwa mabwana zakeMama ajengewe sanamu wapi
Anatoka gerezani anaenda Moja Kwa Moja kuhamasisha wananchi juu ya Katiba mpya!Anzeni kumtengenezea kesi nyingine,Shwain!Mbowe ndie ataelewa nilichoandika hapo aondoke na sentensi moja tu ASIRUDIE TENA
Kama wazee wa kicjaga mpo humu mwambieni neno moja tu USIRUDIE TENA ataelewa
Hujaniona au nacho huna?N
Namtafuta Comte, Magonjwa , mtambuka, Yehodava, hasta sip mbaya nikimsalimia rafiki yangu Johnthebaptist🤔
Kama hii iliyopo inakanyagwa na mmekaa kimya, hata hiyo mpya itakanyagwa na hamna kitu mtafanyaNdio mnazidi kuwafumbua macho watu kuwa Katiba mpya inahitajika Ili kuondoa huu uozo!
kama Rais anashiriki dhambi ya Kumbambika mtu kesi,anapata mamlaka wapi ya kuwakemea askari wenye tabia hizo?
Nchi hii inahitaji reform kubwa sana kutoka hapa!
Msipofanya hivyo,basi ombeni mtawale milele maana mtanyolewa na wembe Huo Huo!