Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Sisi sio magaidi Wala waasi!Si unaona mpaka unatushangaa tulivyojaliwa utu na utulivu!Ndio hulka yetu hiyo,ndio maana hadi nje ya nchi hawakuamini huo mchongo wenu wa ugaidi!
 
Hii aibu ni ya mahakama. Iliona kesi ya kujibu hewa, kwa sababu aliyeshtaki amerudi mahakamani na kusema hakutendewa kosa. Mahakama hapa ii uchi kabisa.
Hujui kuwa Mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu? Kesi ya ugaidi!!!!!!!
 
Dah pole Mhe Mbowe umepitia mateso
Tunamshukuru Mungu kwa kulinda na kukupa ujasiri wa kuvumilia yote
Karibu nyumbani uraiani
Unastahili heshima tele

Mmepoteza muda na pesa za walipa kodi
Mtamlipa gharama zake za kusingiziwa kutukanwa kuteswa kudhalilishwa hivi sisiemu mbona mnakosa utu kiasi hiki
 
Sahivi watu wanauelewa, you can't fool people that easily, politics is the game in town, na mijini watu sio wajinga kiasi hichi!! Inaeleweka wazi kuendelea na hiyo kesi ilikuwa ni ujinga, hamna walichoongeza zaidi ya kupunguza!!
 
Kuna watu wameumia vibaya sana hii kesi kufutwa.. Lakini hasira zao kwa kutumia ID bandia wasiwadhalilishe watu wenye dhamana kubwa kwenye jamii
 
Endelea huko Zambarau Hakuna la maana la kutueleza.
 
Huna lolote wewe!

Msamaha Kwa kosa gani?

Tundu Lissu hakuomba msamaha !
 
Hana uwezo huo.
Na hakuna mahakama itakayopokea kesi hii tena
 
We mnafiki kila siku siti ya mbele.Hatq ibadan huwa mnakua kama mafarisayo...siti za mbeleee ila mkamsurubisha masihi..Idiot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…