Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Wanaanzaje?Yan Tok atoke ndugai wao bado wapo unadhan ni nini kitawatoa kama sio muda wao kuisha 2025Wale wabunge 19 sasa waanze kuaga huko bungeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaanzaje?Yan Tok atoke ndugai wao bado wapo unadhan ni nini kitawatoa kama sio muda wao kuisha 2025Wale wabunge 19 sasa waanze kuaga huko bungeni
Yeah..yan hii iwe bampa tu bampa...Wafungue kesi dhidi ya ushahid wa uwongo waliotuhumiwa nao.Fungua kesi dhidi ya TIGO & AIRTEL.Wale mawakili wa tigo na Airtel wafutwe kazi haraka sn
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Uhuni MTUPU unaendelea Bongo halafu wenye akili fupi wanasifu eti Maza. Seriously.Ni Tanzania tu ambako mshtakiwa wa makosa makubwa kama ugaidi anaweza kuachiwa huru eti kwa sababu mkurugenzi wa mashtaka hana nia ya kuendelea na kesi na wewe kama zuzu unashangilia hapa.
Ule ulikuwa ni ujinga na kupotezeana muda na wewe acha kujipendekeza kwa uliowataja hapo juu.
Mchumia tumbo
yeah, yamekugusa eee !!Mbwa hunaga akili wewe
Wewe ulikuwa unaandika kila siku kuwa lazima Mbowe afungwe,Usiwe kama mtoto mdogo!
Siku zote ccm huwa inawakomesha tu wapinzani wake.
Na hapa wala hata msisgangilie kwamba mmeshinda bali mnapaswa kujilaumu na kujiuliza kwamba inakuwaje ccm inawageuza geuza kama chapati namna hii!?
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app