johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Labda Poland kuwarejesha nyumbani wanafunzi wetu.Kingai na Urio wanapatikana wapi mda huu kuna mwenye taarifa ya wapi walipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda Poland kuwarejesha nyumbani wanafunzi wetu.Kingai na Urio wanapatikana wapi mda huu kuna mwenye taarifa ya wapi walipo?
Rwakatale alikua makerubi?Mbowe ameweka rekodi ya kuwa Mkristo wa kwanza kushtakiwa kwa Sheria ya Ugaidi hapa Tanzania.
Kila mtu mwenye akili timamu anajua ni jitihada za Tundu Lisu.Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Zitto Kabwe amesema kuachiwa huru kwa Mwenyekiti wa @ChademaTz
Mhe. @freemanmbowetz
ni miongoni mwa jitihada zilizokuwa zikifanywa na Taasisi hiyo ili kuimarisha Demokrasia kwa kuzungumza na mamlaka juu ya kushitakiwa kwa Mbowe.
My Take
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣✌✌✌✌
Kingai huko aliko anahisi mpwutoKingai na Urio wanapatikana wapi mda huu kuna mwenye taarifa ya wapi walipo?
Mimi sio lumumba buku7 wala ufipa buku2yeah, yamekugusa eee !!
Sasa ifike pahala kudai katiba mpya isiwe kosa la jinai - nafikiri ujumbe huu uwafikie wana Lumumba wote.
Dah..!!! Aliyemlisha matango pori mama asakwe...!!
Hii ina maana gani kisheria? Jaji anasema kuna kesi ya kujibu na DPP anasema hakuna kesi ya kujibu? Nani ni msomi wa sheria na nani ni KIHIYO kati ya hao wawili?Baada ya upande wa Mashtaka kufunga ushahidi wao na kuialika Mahakama kutoa hukumu ndogo na kisha mahakama kuwakuta watuhumiwa na kesi ya kujibu mnamo Februari 18 2022. Leo 04, Machi 2022 ni siku ya watuhumiwa kuanza kujitetea kutokana na tuhuma wanazotuhumiwa nazo.
Awali Mahakama iliwakuta na kesi ya kujibu katika mashtaka 5 kati ya 6 katika kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili.
Haya tufanye ni wa pili. Nitajie wengine halafu linganisha na Waislamu waliosota jela kwa miaka kwa makosa ya ugaidi bila ushahidi wowote.Rwakatale alikua makerubi?
Ni ujinga ndiyo na ndiyo maana serikali inazua hata kuchapa watoto.
Kumbuka mashaitaka hayajafutwa, akijichanganya tu inakula kwakeTeam Roho mbaya mmepigwa za uso tena.🤣🤣🤣
sawa, sasa unafikiri hiyo kesi ilikuwa na uhai kwa taifa letu? wote sisi tumefurahi sababau kesi kwanza ilikuwa inatuabisha kama taifa.Mimi sio lumumba buku7 wala ufipa buku2
nilikuwa nasubiri kwa hamu IGP apande pale kizimbani kutoa ushahidi - ha hahaAfadhali . Sasa tufuatilie yanayojiri Russia Ukraine vizuri
Putin kalalamika kasema si vizuri kuendelea kumuwekea vikwazo vya kiuchumi - yeye ana nia njema na Taifa la Ukraine.Afadhali . Sasa tufuatilie yanayojiri Russia Ukraine vizuri
Kama ni hivyo Mbowe angeachiwa tangu day 1 alipokamatwa!
Na bado, hata Mbowe alifikiri tatizo ni hilo jibwa lako la burigi ila alipokanyaga waya tu akajikuta ukonga, akabaki anashangaa inakuwaje tena wakati lile jibwa limekufa?
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Mimi nitapamisi sana pale RAU Madukani kwa Mama P. - pia Mo energy kwa mishikakiMimi kwangu nitaikumbuka jinsi hii kesi ilivyovutia,sidhani kama kuna kesi nyingine ambayo iliwahi kusikilizwa hadharani na kwa uwazi namna ile katika nchi yetu!
Tumeshuhudia jinsi Mawakili walivyochuana,tumeshuhudia jinsi waendesha mashitaki,wapelelezi wa serikali walivyokuwa wanajikanyagakanya na hata kutufanya tujue udhaifu wao.Tumeshuhudia baadhi ya Majaji walivyoikimbia kesi.
Katika hili nilikuwa naomba kesi zote ziwe zinasikilizwa kwa uwazi namna ile ili tujifunze mambo mengi yanayohusu Sheria.
Pongezi zangu ziwaendee Kibatala na Jopo lake!
Ni utapiamlo wa akili kumtetea mtu mzima tena ambae ni Rais.Kwani yeye alishindwa kutofautisha kati ya matango pori na matango mji?Dah..!!! Aliyemlisha matango pori mama asakwe...!!