Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Putin kalalamika kasema si vizuri kuendelea kumuwekea vikwazo vya kiuchumi - yeye ana nia njema na Taifa la Ukraine.

Vita baridi achana nayo, tayari imeshaanza kumwingia.
Bado mpaka atapikee..
 
muft walimsema vibaya lakini ndiyo aliyeleta matokeohayo bila muft kuomba ikulu mbowe angeozea jela
 
Nadhan maelezo yako yanaji contradict nika learn kama unamtuhum mbowe kama ni gaid kitu ambacho si kwel.
 
muft walimsema vibaya lakini ndiyo aliyeleta matokeohayo bila muft kuomba ikulu mbowe angeozea jela
Mufti ni mbwa tu hana mchango wowote kwenye hili.Kwakifupi serikal imetengeneza haya maigizo iliwaonekane kama akina mbowe wameomba msamaha
 
Toa unafiki wako hapa .
 
Mungu ni mwema mnoo tena nyakati zote na jina lake lihimidiwe. Kwa upande mwingine, hata kama ni kwa kuchelewa, huku ni kuonyesha ukomavu wa hali ya juu wa Rais Samia. Wewe sasa unaingia kundi la viongozi wasioamini katika kukomaza shingo bila tija. Ni personal sacrifice Rais anafanya kwa sababu ni kinyume na matamshi yake BBC. Tulijua Rais alidanganywa. Hongera kwa wapenda nchi yetu, wapenda demokrasia wote na watu wote wakweli. Sasa Rais Samia tuko nyuma yako na usituangushe tena katika Masuala sensitive kama haya. Itoshe kusema CHADEMA ni kubwa sana kuliko tunavyodhani. Lazima kukaa nayo kwa hekima zaidi. Kazi iendelee na Mh Mbowe karibu mno kijenge Tanzania mpya.
 

Kwahiyo vyombo vya dola ndio CCM?
 
Hakuna mtu nilikuwa namsubiri kwa hamu kwenye hii kesi aabike humu ndani kama Crimea, maana alikuwa ananichefua mno na akili zake mbovu..!

anyways, Namshukuru Bwana Yesu Leo nimetoa chozi la furaha..!
 
Kwa hiyo all these days unafurahia wengine kuteseka kwa sababu tu mna uwezo wa kutesa watu kwa kutumia madaraka mliyopewa!!!! Mungu atawalaani wote.
 
Hakuna mtu nilikuwa namsubiri kwa hamu kwenye hii kesi aabike humu ndani kama Crimea, maana alikuwa ananichefua mno na akili zake mbovu..!

anyways, Namshukuru Bwana Yesu Leo nimetoa chozi la furaha..!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, kwani mimi nmeaibikaje labda?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mtu nilikuwa namsubiri kwa hamu kwenye hii kesi aabike humu ndani kama Crimea, maana alikuwa ananichefua mno na akili zake mbovu..!

anyways, Namshukuru Bwana Yesu Leo nimetoa chozi la furaha..!
anyways, Namshukuru Bwana Yesu Leo nimetoa chozi la furaha..![emoji1533][emoji1534]
 
Sasa baraza kuu likakutane ASAP wakamalizie kile kiporo cha wale wanawake 19, nako mbivu na mbichi zijulikane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…