Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

 
Picha ya pamoja ya mh Mbowe na waliokuwa washitakiwa wenzake.

Imepigwa muda mfupi leo hii mara baada ya kutoka jela.

Tulikuwa woote jela na tutaendelea kuwa pamoja nje ya jela.
 
Mbowe n sehemu gan utafanyaa tamashaa la bure wanao au wafuwasi wako tujeee turukee kadamsee mpk kucheee maana daaaa
 
Hayo ni maisha yake binafsi.
Km n maisha yake uwezi mpaa ofaa mwenyekiti wetu aliyekuwa ananyimwaa chakulaa cha gereza ingali n haki yakee,njoo bhana tunywe bia nawe maana hata hom bado hajafkaa tupo nae hapa chaman
 
Km n maisha yake uwezi mpaa ofaa mwenyekiti wetu aliyekuwa ananyimwaa chakulaa cha gereza ingali n haki yakee,njoo bhana tunywe bia nawe maana hata hom bado hajafkaa tupo nae hapa chaman
Mkuu nipo hapa hapa makao makuu ufipa.
 
Huyu mwamba ana kitu cha tofauti na wengine, yaani full time ni tabasamu tofauti na wewe ambaye ukiguswa kidogo hata kwenye reply unabadirika sura mpaka unakaribia kufanana na mumiani.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Kamata weka ndani mwaka mzima, achia huru! Shangiliaaa

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Bashite. Sita alikuharibu alipokuubikiri
kavu kavu. Huna akiri baada ya mwaka hangaya kaufyata kwa akili yake mbowe angempigia magoti hangaya kajisiriba kinyesi
 
Mbowe ndie ataelewa nilichoandika hapo aondoke na sentensi moja tu ASIRUDIE TENA

Kama wazee wa kicjaga mpo humu mwambieni neno moja tu USIRUDIE TENA ataelewa
Nend
a kamgawiye mwiguru wewe kifaa cha wageni achana na mbowe
 
Hangaya uso umemshuka
 
Yule mfu anayeoza kule mwache funza wamlizie
 
Ila mimi naona imempunguzi cv huyo jaji angeimaliza siku upande wa serikali walipomaliza kutoa ushaidi na kuifutilia mbali ingemjenga sana lakini kusubili chombo kingine kiingize maamuzi yake ukweli imemshusha kiwango.
 
Ila mimi naona imempunguzi cv huyo jaji angeimaliza siku upande wa serikali walipomaliza kutoa ushaidi na kuifutilia mbali ingemjenga sana lakini kusubili chombo kingine kiingize maamuzi yake ukweli imemshusha kiwango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…