Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Yeah lakini with conditions kitu ambacho Mh.Mbowe hawezi kukifanya kabisa hata mwanasiasa yoyote makini.

Yaani utendewe kosa wewe afu upige goti kuomba msamaha..inakuja kweli hiyo.

Yaani ni kwamba ukiomba msamaha ina maana ulifanya hicho kitendo na busara za DPP anakuachia lakini kuna makubaliano mtaafikiana wewe na mahakama tena ya kisheria ndipo unaachiwa. Wengi wanadhani unatoka tu as simple as that hapana.

Baada ya hapo utarudi mtaani bila nguvu ya kisiasa maana wewe mi muharifu mwenye msamaha wa DPP...muda wowote akijiskia anaifufua kesi.
Kuna makamanda hili suala hawajaliona kabsa umekamatwa na umeambiwa una kes ya kujibu kabla hujajitetea mtu aseme nimekusamehe ni sawa ukimfumania mkeo alafu usimuulize kitu ujifanye umemsamehe bila hata kumpiga kofi moja ni dharau sana hyo
 
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) leo Ijumaa amewasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uujumu Uchumi, Dar es Salaam.


Mbowe anatakiwa aifungulie mashitaka jamhuri kwa kupotezewa muda na mateso aliyoyapata muda wote alipokuwemo gerezani, afidiwe hasara za biashara aliyoipata ndani ya muda wote alimokuwemo gerezani.
 
Mungu wa mbinguni awabariki nyote.

Leo kuna Ibada ya Njia Ya Msalaba aliyopitia Bwana wetu Yesu Kristo kuelekea kwenye ukombozi wa Wana wa Mungu.

Ni imani yangu Simon wa Kirene atatuongoza!

Updates;

Nawatakia Chadema wote Ibada njema ya Njia ya Msalaba.

Mungu ni MWEMA wakati wote.

Jumaa kareem.

The End.
Kama kawaida yako, wewe ulikuwepo hapa JF na bandiko #2. Tukueleweje?

Una ajira ya kutegea na kutegeshea taarifa?
 
1646413663289.png

Hii ni dedication kwa Aikael, leo nipo happy sana, nimetoka mbali na Mwamba! Kuna nyingine 3 zinakuja
 
Back
Top Bottom