valet de chambre
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 1,044
- 1,112
ULE USHAIDI WA SIRO WA KWAMBA DUNIA ITATIKISIKA UKO WAPI? CHAZEA KIBATALA WEWE!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuwa wanajiharishia tuWiki iliyopita Dr. Wilbrod Slaa alisikika akisema anakerwa na neno #Mbowesiyogaidi na hakuwahi hata kwenda kumjulia hari gerezani aliyekuwa kiongozi mwenzake kwa kipindi kirefu. Leo Mbowe siyo gaidi na mahakama imethibitisha hivyo kwa kumfutia mashataka yake yote tena bila masharti. Slaa na mwezake Zitto aliyesema Mbowe ana changamoto za kisheria hivyo asamehewe kwa sasa wanajionaje mbele ya jamii.
Yule mzee lazima atakuwa ni mchawiSlaa yuko toilet anaendesha trekta
Hao ni madalali wa siasaWiki iliyopita Dr. Wilbrod Slaa alisikika akisema anakerwa na neno #Mbowesiyogaidi na hakuwahi hata kwenda kumjulia hari gerezani aliyekuwa kiongozi mwenzake kwa kipindi kirefu. Leo Mbowe siyo gaidi na mahakama imethibitisha hivyo kwa kumfutia mashataka yake yote tena bila masharti. Slaa na mwezake Zitto aliyesema Mbowe ana changamoto za kisheria hivyo asamehewe kwa sasa wanajionaje mbele ya jamii.
We popomaaa hujanyiea huko🐞🐞
Kwa hatua hii Siro aombe kustaafu tuULE USHAIDI WA SIRO WA KWAMBA DUNIA ITATIKISIKA UKO WAPI? CHAZEA KIBATALA WEWE!
Bavicha nyie ni vichwa maji kweli kweli[emoji23][emoji23][emoji23]Mataga pori umepanic baada ya DPP kuingia mitini.
Najua leo utaharisha damu kweri-kweri[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pambafu.
Kwamba hujafurahia Mbowe kuachiwa huruTaifa letu limefikia pabaya kabisa maana haki hakuna kabisa.
Limekuwa ni taifa lenye kusikiliza walio na pesa na wasio na pesa au connection wanafungwa huku wenye pesa na connection wanaachiwa.
Hakuna haki hapa Tanzania kila kitu ni kunyanyasana tu uonevu.
Ninasikia kuna wanaotaka kwenda kwa Wazungu na hili la mwenye kiti lilikua linawawekea kiwingu.Mungu wabariki Wazungu
Kondoo ni machadema!Wewe kweli ni kondoo
Mataga pori umepanic kweri-kweri baada ya DPP kusurrender.Bavicha nyie ni vichwa maji kweli kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu wenu anasota gerezani mwaka mzima alafu walewale watesi wake wanakuja kusema aahh hatuna nia na kuendelea na kesi alafu nyie mnaanza kushangilia? Kama si uzuzu ni nini?
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app