Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Zumaradi na mbowe mbona n maji na mafutaa mkuu!!



Maana zumaradi anasubiri neno la MUNGU

Mbowe anasubiri siasaa
 
Kwa hiyo mbowe anajipanga kupambana na chifu kuanzia kwenye katiba mpya na uchaguzi wa 2025........awe makini asije akapigwa zengwe kama la ndugai akajikuta kwenye benchi...........
 
"sisi tuliokuwa tunawaaminisha watanzania kuwa mbowe ni gaidi na anastahili kufungwa jela maisha, tutaambia nini watu"?. wamesikika jamaa fulani wa chama tawala.
 
Hii inaonyesha nchi hii inamateso sana.

Kama wanafanya haya kwa Mbowe.. Mtu wa kawaida akibambikwa kesi si anafia jela?

Mbowe amesaidiwa sana na Wanasheria kuonyeasha udhaifu wa kesi.. Je ni watu wangapi wapo ndani hawana wanasheria?

Tunalalamika jela zimejaa na mahabusu lakini nina imani kesi nyingi ni za kutengeneza hasa kama mtu anakuchukia.. Anakutengenezea kesi hata ya kubaka au wizi.. Unakwenda na maji.

Tuombe hasa Katiba ibadilike kidogo hata polisi wataogopa kutengeneza kesi
Mahakama na magereza hizi issues huwa tunawasingizia tu shida iko kwetu uraiani huku tungekuwa na hofu ya Mungu .

haya yote yasingekuwepo kwa sababu sisi kwa sisi ndiyo tunasingiziana makosa na kupelekana huko sasa mpaka mahakama ije ijuwe huna kosa umesota sana na pengine mahakama ishindwe kujuwa kuwa huna kosakutokana na mshitaki alivyojipanga kukushitaki

mahakimu siyo malaika waweze kujua moja kwa moja kuwa huyu hana kosa wao wanacheza na sheria tu
 
"sisi tuliokuwa tunawaaminisha watanzania kuwa mbowe ni gaidi na anastahili kufungwa jela maisha, tutaambia nini watu"?. wamesikika watu fulani wa chama tawala.
sasa hapo kwani nani kashinda? kesi haijamalizika mwisho utasema mbowe kashinda? kahurumiwa awashhukuru wakuu wa dini mama kawaelewa
 
Kule kote kufanya vile ilikuwa unafiki tu! Hakuwa anafanya hivyo kwa nia njema.
Ulijuaje kama ni unafiki? Na kwanini Zitto kusema vile ni unafiki ila Lisu sio unafiki? Au alichoomba Zitto kina tofauti na Lisu?
 
Roho za paka ndio hizi
Sipendi Mbowe na wenzie waendelee kuwa mahabusu, lakini pia sipendi kusikia ameachiwa kwa MSAMAHA! Kama ni hivyo, basi kesi iendelee tuzijue mbivu na mbichi!

Na nina imani, kwa ushahidi uliotolewa, bila UJAJI WA MCHONGO, kulikuwa hakuna KESI hapo!
.
 
Wiki iliyopita Dr. Wilbrod Slaa alisikika akisema anakerwa na neno #Mbowesiyogaidi na hakuwahi hata kwenda kumjulia hali gerezani aliyekuwa kiongozi mwenzake kwa kipindi kirefu. Leo Mbowe siyo gaidi na mahakama imethibitisha hivyo kwa kumfutia mashataka yake yote tena bila masharti.

Slaa na mwezake Zitto aliyesema Mbowe ana changamoto za kisheria hivyo asamehewe na mwenzao IGP aliyemdanganya mama kwa sasa wanajionaje mbele ya jamii.
Zito kanipiga kitofali twita
 
CHADEMA wanaonyesha hisia kwa kugalagala 🤣🤣🤣.

Waone na hawa wenzao!


Aisee we Jamaa nafkiri umeamua kukaza kichwa tu..


We feel joy in our bodies because of the release of dopamine and serotonin, two types of neurotransmitters in the brain. Both of these chemicals are heavily associated with happiness (in fact, people with clinical depression often have lower levels of serotonin)

Wewe utakua na tatizo
 
Back
Top Bottom