Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

Kwani angeamua asitoke mngemfanya nini ?!!!🤣

Mh.SSH ni kiongozi bora na mwenye moyo wa huruma sanaaaa....

Mwenyezi Mungu ambariki aaaamin 🙏
Mwambie aamue Ili Mwamba akamvue nguo kizimbani!
Of all days, kwanini DPP akimbie siku ambayo Mwamba anaanza kujitetea? Read btn lines
 
Kwaresma imetoa majibu makubwa, Mh. Rais wetu ni mtu msikivu sana na ana huruma sana, Mungu mbariki Mama Samia.

Tumeingia mwezi wa toba,

Kwaresma njema kwa wote.
 
Kwaresma imetoa majibu makubwa, Mh. Rais wetu ni mtu msikivu sana na ana huruma sana, Mungu mbariki Mama Samia.

Tumeingia mwezi wa toba,

Kwaresma njema kwa wote.
Hana huruma bali shinikizo
 
Golikipa ni Fredrick Kihwelo, Mbavu ya kulia Sisty Aloyce, Mbavu ya kushoto Gaston Garubindi,
Halfback four yupo Iddi Msawanga
Center half kasimama Brigadia Generali Nashon Nkungu, Halfback six Evaresta Kisanga
Right wing ni Maria Mushi, Inside Eight ni Luteni Generali
John Mallya, Center forward ni Generali Peter Kibatala,
Inside Ten ni Luteni Kanali Jeremiah Mtobesya na Left wing ni
Meja Jenerali Dickson Matata...

Kwa kikosi hiki lazima uweke mpira kwapani...🤣😂🤣😂
 
Watu nguo za ndani zingewadondoka tuone matunguli ya waganga wao viunoni...hii kesi imeleta aibu sana kwa watawala
Kabisa, eti wakaomba majina na anuani za mashahidi wa utetezi! Nadhani hofu yao ilianzia hapo baada ya kukosa!
 
[emoji15][emoji15]
Shinikizo lipi?!!

Shinikizo kutoka kwa nani ?!!
Shinikizo kutoka kwa akina nani ?!! Watu gani hao wa kumshinikiza amiri jeshi na mwenyekiti wa chama bora Afrika?!!![emoji15][emoji15][emoji1787]
Sasa ameshinikwa sasa
 
Yeah lakini with conditions kitu ambacho Mh.Mbowe hawezi kukifanya kabisa hata mwanasiasa yoyote makini.

Yaani utendewe kosa wewe afu upige goti kuomba msamaha..inakuja kweli hiyo.

Yaani ni kwamba ukiomba msamaha ina maana ulifanya hicho kitendo na busara za DPP anakuachia lakini kuna makubaliano mtaafikiana wewe na mahakama tena ya kisheria ndipo unaachiwa. Wengi wanadhani unatoka tu as simple as that hapana.

Baada ya hapo utarudi mtaani bila nguvu ya kisiasa maana wewe mi muharifu mwenye msamaha wa DPP...muda wowote akijiskia anaifufua kesi.
Kwa hiyo mnatumia kesi za uongo kunyamazisha watu wasiongee aah hapo mmechemsha rafiki yangu, hakuna kitu kama hicho na hatukusikia kwenye maelezo ya ufutaji kesi kama kuna masharti yoyote hivyo acha ujinga.
 
Katiba hii ni lazima ifanyiwe marekebisho, haiwezekani mtu akae ndani miezi zaid ya 6 halafu leo wanamuachia huru bila kujali mda aliopotezewa alivyokuwa lumande..
 
Golikipa ni Fredrick Kihwelo, Mbavu ya kulia Sisty Aloyce, Mbavu ya kushoto Gaston Garubindi,
Halfback four yupo Iddi Msawanga
Center half kasimama Brigadia Generali Nashon Nkungu, Halfback six Evaresta Kisanga
Right wing ni Maria Mushi, Inside Eight ni Luteni Generali
John Mallya, Center forward ni Generali Peter Kibatala,
Inside Ten ni Luteni Kanali Jeremiah Mtobesya na Left wing ni
Meja Jenerali Dickson Matata...

Kwa kikosi hiki lazima uweke mpira kwapani...🤣😂🤣😂
Safi Sana.
Hebu panga ile timu ya mashahidi.
Kingai ni kepteni, Swila usimuweke golini maana ana udhuru wa Mara kwa Mara kwenda maliwatoni.
 
DPP kaona hapa mambo yanaenda kufedheheshana maana yeye na siro lazima wangetinga mahakamani,wamebana weee mwisho wameachia.ufujaji tu wa pesa za walipa kodi sasa wamepata faida gani kama si kumuinua Mbowe kisiasa.
 
Hahaha naona umelegea unajipa moyo tu.
Yuko aliyelegea baada ya kutoka sana kamasi kwa kubembeleza yaishe.....

Alipoamuliwa katika ugomvi akaondoka na kufika mtaa wa pili akaanza kutamba kuwa yeye hamwogopi mtu bali anaogopeka 🤣🤣🤣🤣🤣
 
😳😳
Shinikizo lipi?!!

Shinikizo kutoka kwa nani ?!!
Shinikizo kutoka kwa akina nani ?!! Watu gani hao wa kumshinikiza amiri jeshi na mwenyekiti wa chama bora Afrika?!!!😳😳🤣
Jumbe Brown utateseka Sana ilhali walioshika hicho chama ni wengine.
 
Mungu wa mbinguni awabariki nyote.

Leo kuna Ibada ya Njia Ya Msalaba aliyopitia Bwana wetu Yesu Kristo kuelekea kwenye ukombozi wa Wana wa Mungu.

Ni imani yangu Simon wa Kirene atatuongoza!

Updates;

Nawatakia Chadema wote Ibada njema ya Njia ya Msalaba.

Mungu ni MWEMA wakati wote.

Jumaa kareem.

The End.
Simon ndio Judge wa mahakama gani?
 
Kwaresma imetoa majibu makubwa, Mh. Rais wetu ni mtu msikivu sana na ana huruma sana, Mungu mbariki Mama Samia.

Tumeingia mwezi wa toba,

Kwaresma njema kwa wote.
Hana huruma huyo,haiwezekani uje umuachie mtu siku anayoanza kujitetea!Unaficha nin asikiseme kizimbani?Ushahidi wa mashtaka uliisha na ukaonekana mbele za watu ni upuuzi wa kubumba!
 
Back
Top Bottom