Mbowe acha kutetea watu wapumbavu

Unadhani mimi ni wa siasa nyepesi za usukuma nansukuma gang boss? Tazama hii id vizuri, kisha waulize wenzio hapo Lumumba watakupa maelezo ya kutosha.
Kama mwanasiasa ndio wewe wanakutengemea basi kwa taarifa yako huna uwezo wowote. Nimekuuliza kati ya Lema na Mbowe nani anafaa? Unaruka ruka tu.
 
Mods mnaachaje Uzi wenye kichwa Cha habari Cha lugha ya kuudhi Kwa matusi? Mna maslahi gani?
 
Kama mwanasiasa ndio wewe wanakutengemea basi kwa taarifa yako huna uwezo wowote. Nimekuuliza kati ya Lema na Mbowe nani anafaa? Unaruka ruka tu.

Hakuna anayefaa, inaonekana ndio umeanza kujua siasa sasa, hii ndio iliyopelekea ulete ule utoto wako wa sukuma gang. Na ndio maana unawajua wanasiasa wawili tu, Mbowe na Lema.
 
Hakuna anayefaa, inaonekana ndio umeanza kujua siasa sasa, hii ndio iliyopelekea ulete ule utoto wako wa sukuma gang. Na ndio maana unawajua wanasiasa wawili tu, Mbowe na Lema.
Haya tutajie badala ya mbowe mnataka awekwe nani? Mnyika, Lissu au mmoja wa covid-19?
Hebu toa ya moyoni mdogo wangu.
 
[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Haya tutajie badala ya mbowe mnataka awekwe nani? Mnyika, Lissu au mmoja wa covid-19?
Hebu toa ya moyoni mdogo wangu.

Sikuanza juzi kusema Mbowe hafai, toka ampokee yule mzee muhuni wa siasa Lowassa, nilisema hapana. Nafasi ya uenyekiti ni sahihi kupewa Heche, na Lisu Makamu. Hao COVID-19 wakae na Mbowe wamalizane.
 
Mbowe ni kiongozi yuko sahihi kutoa mwelekeo wa chama chake kwa misingi ya maridhiano, angalau CDM mnaweza kuitikisa CCM ili mradi mwende nayo kisayansi siyo kimabavu hamtaiweza zaidi ya kuishia kukimbilia nje ya nchi uhamishoni.
 
Sikuanza juzi kusema Mbowe hafai, toka ampokee yule mzee muhuni wa siasa Lowassa, nilisema hapana. Nafasi ya uenyekiti ni sahihi kupewa Heche, na Lisu Makamu. Hao COVID-19 wakae na Mbowe wamalizane.
Kwahiyo wewe ni timu heche!!! Sasa kwaakili hiyo ndiyo unajitapa mwanasiasa mbobevu. Nakusihi uachane na siasa maana unamihemko mizito sana.
 
Mbowe ni kiongozi yuko sahihi kutoa mwelekeo wa chama chake kwa misingi ya maridhiano, angalau CDM mnaweza kuitikisa CCM ili mradi mwende nayo kisayansi siyo kimabavu hamtaiweza zaidi ya kuishia nje ya nchi uhamishoni.

Hakuna anayetaka maridhiano ya kitapeli. Kiongozi anayeendekeza maridhiano ya kitapeli hatumuelewi. CCM hawana mabavu yoyote zaidi ya kutegemea mbeleko ya vyombo vya dola. Kama Mbowe anataka maridhiano na ccm, afanye maridhiano hayo kimpango wake.
 
Kwahiyo wewe ni timu heche!!! Sasa kwaakili hiyo ndiyo unajitapa mwanasiasa mbobevu. Nakusihi uachane na siasa maana unamihemko mizito sana.

Yaani hapa ndio utajua umeingia penyewe, lazima ukae babu. Kama hata wasukuma wamegoma kufuata maagizo yenu kundi haramu la sukuma gang, basi utajua hujui.
 
Wale wasukuma uliokuwa unawatambia jana naona leo wamegoma kufuta matamanio yako. Hakika leo wasukuma wameamua kujitenga na kiongozi muovu na wamejitokeza kwa wingi.
Unaujua uhalisia wa kilichotokea pale Furahisha,uzuri nilikuwepo Live kwakuwa mimi nipo hapa hapa Mwanza. Endelea kulumbana na Makamanda wenzio huku ukimtolea povu M/Kiti.Hii ndiyo Mwanza na nilikutahadharisha haitowaacheni salama.Vipi kuna nani alifunua mdomo wake kutamka hata neno Sukuma Gang?
 
Mwandishi unachomaanisha mbowe asipiganie wapumbavu ni kwa sababu ya mapokezi kiduchu leo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…