The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Utasubiri Sana, mwisho hautauona. Mlisema tumesusiwa , leo mpo kimya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasubiri Sana, mwisho hautauona. Mlisema tumesusiwa , leo mpo kimya.
Mbowe ni muhuni tu alikuwa mbali na magufuli kwasababu alikuwa anatumiwa na wazungu kuharibu nchi yetu
Mbowe na lissu ni wasaliti, usaliti hauna kikomo ni swala la muda tu
Wewe unajadili watu wenzako wanajadili hoja. Ndio upuuzi huo, kaa pembeni!Kama mwanasiasa ndio wewe wanakutengemea basi kwa taarifa yako huna uwezo wowote. Nimekuuliza kati ya Lema na Mbowe nani anafaa? Unaruka ruka tu.
Nani alisema? Hicho chama mumepoteana hamna hoja Wala suluhu ya matukio mnayodandia..Mmebaki kupost picha. Si mlisema tutazomewa Mwanza au sio wewe.
Twende polepole, hapa kuna give and take. Tuambie Mr Mbowe alipata shilingi ngapi kwa Lowassa toka CCM (kwa Tundu Lissu alikata kwenye ruzuku). Vitimaalum wote kuna kodi hata CAG alisema. Magari yote ya chama huombewa tax exemption anatumia Mbowe taxplanning biashara zake za Dubai na Marekani ambako ana uraia pacha kupitia kwaWabongo ni taifa la wapumbavu
Leo hii Mbowe alianza kutumia pesa za baba yake kujenga chama miaka ya 2000 leo ndiye anaitwa mlamba asali?
Mbowe mwaka 2005 alikodi helicopter kuzunguka nchi mzima wakati chama hakina hata ruzuku leo watu wanasema kalamba asali?
Aisee Mbowe kavunjiwa club yake kwa sababu ya kupigania wapumbavu
Account zake zikafungiwa kisa wapuuzi
Halafu mwisho akafungwa sababu ya wapuuzi na kupewa kesi ya ugaidi!! Shame
Mbowe toka mwaka 2000 mpaka leo miaka 23 kashatumia pesa kiasi gani toka mfukoni mwake?
Mbowe angekuwa mlamba asali Basi angeilamba kwenye utawala wa Magufuli ambaye aliwanunua wabunge 19, Kafulila na wenzie wote walipewa ubunge na uwaziri!! Lakini pamoja na kuwekewa dau la billion 5 na Magufuli akiuze chama ili aweke mwenyekiti mamluki kama ilivyo kwa vyama vyote vingine vya upinzani alikataa na kuendelea kupigania wapumbavu.
Msimamo wa Mbowe upo wazi kabisa anataka Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, My control Mfumuko wa bei, Nchi kutokopa ovyo, Uhuru wa vyombo vya habari, Kushughulikia Deni la taifa!!!
Wabongo wanataka siasa za majitaka za kutukana siasa hizo hazina nafasi Dunia nzima siasa za Sasa ni hoja !!!
Pia watanzania wengi wameanza kufatilia siasa za upinzania miaka ya utawala wa Magufuli.
Nchi hii ina watu wapumbavu Sana nashauri Mbowe aachane na kutetea wapuuzi
Mbowe hajaanzia asali ya mama.Huhitaji kupanick labda kama unafaidika binafsi na Mbowe. Ni kweli Mbowe amefanya mazuri ndani ya CDM, lakini kwa sasa amefika mwisho na anaanza kuharibu mazuri yake yote. Kwa taarifa yako Mbowe amefaidika sana na CDM kuliko alichotoa, japo ni kweli pesa zake zilisaidia sana kwenye ujenzi wa chama hapo awali.
Lakini kwa kiwango kikubwa Mbowe ameshindwa kuibadilisha Cdm hasa upande wa miundombinu kama ofisi nk. CDM sio chama cha kukosa ofisi yenye hadhi ya chama hicho, na ofisi 1 kila mkoa. Tukubaliane tu kwa sasa Mbowe ameshafikia mwisho wake. Tunakuomba umshauri kiroho safi kuwa akae pembeni maana sisi wafuasi wake hatuna imani naye. Huko CCM ndio kuna tabia ya kufumbiana macho kwa kiongozi akichemsha.
@Tindo nadhani usipoteze nguvu zako kubishana na low IQ levels.Hakuna anayefaa, inaonekana ndio umeanza kujua siasa sasa, hii ndio iliyopelekea ulete ule utoto wako wa sukuma gang. Na ndio maana unawajua wanasiasa wawili tu, Mbowe na Lema.
Sawa chawa wakeWabongo ni taifa la wapumbavu
Leo hii Mbowe alianza kutumia pesa za baba yake kujenga chama miaka ya 2000 leo ndiye anaitwa mlamba asali?
Mbowe mwaka 2005 alikodi helicopter kuzunguka nchi mzima wakati chama hakina hata ruzuku leo watu wanasema kalamba asali?
Aisee Mbowe kavunjiwa club yake kwa sababu ya kupigania wapumbavu
Account zake zikafungiwa kisa wapuuzi
Halafu mwisho akafungwa sababu ya wapuuzi na kupewa kesi ya ugaidi!! Shame
Mbowe toka mwaka 2000 mpaka leo miaka 23 kashatumia pesa kiasi gani toka mfukoni mwake?
Mbowe angekuwa mlamba asali Basi angeilamba kwenye utawala wa Magufuli ambaye aliwanunua wabunge 19, Kafulila na wenzie wote walipewa ubunge na uwaziri!! Lakini pamoja na kuwekewa dau la billion 5 na Magufuli akiuze chama ili aweke mwenyekiti mamluki kama ilivyo kwa vyama vyote vingine vya upinzani alikataa na kuendelea kupigania wapumbavu.
Msimamo wa Mbowe upo wazi kabisa anataka Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, My control Mfumuko wa bei, Nchi kutokopa ovyo, Uhuru wa vyombo vya habari, Kushughulikia Deni la taifa!!!
Wabongo wanataka siasa za majitaka za kutukana siasa hizo hazina nafasi Dunia nzima siasa za Sasa ni hoja !!!
Pia watanzania wengi wameanza kufatilia siasa za upinzania miaka ya utawala wa Magufuli.
Nchi hii ina watu wapumbavu Sana nashauri Mbowe aachane na kutetea wapuuzi
Ahhh!!!Wabongo ni taifa la wapumbavu
Leo hii Mbowe alianza kutumia pesa za baba yake kujenga chama miaka ya 2000 leo ndiye anaitwa mlamba asali?
Mbowe mwaka 2005 alikodi helicopter kuzunguka nchi mzima wakati chama hakina hata ruzuku leo watu wanasema kalamba asali?
Aisee Mbowe kavunjiwa club yake kwa sababu ya kupigania wapumbavu
Account zake zikafungiwa kisa wapuuzi
Halafu mwisho akafungwa sababu ya wapuuzi na kupewa kesi ya ugaidi!! Shame
Mbowe toka mwaka 2000 mpaka leo miaka 23 kashatumia pesa kiasi gani toka mfukoni mwake?
Mbowe angekuwa mlamba asali Basi angeilamba kwenye utawala wa Magufuli ambaye aliwanunua wabunge 19, Kafulila na wenzie wote walipewa ubunge na uwaziri!! Lakini pamoja na kuwekewa dau la billion 5 na Magufuli akiuze chama ili aweke mwenyekiti mamluki kama ilivyo kwa vyama vyote vingine vya upinzani alikataa na kuendelea kupigania wapumbavu.
Msimamo wa Mbowe upo wazi kabisa anataka Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, My control Mfumuko wa bei, Nchi kutokopa ovyo, Uhuru wa vyombo vya habari, Kushughulikia Deni la taifa!!!
Wabongo wanataka siasa za majitaka za kutukana siasa hizo hazina nafasi Dunia nzima siasa za Sasa ni hoja !!!
Pia watanzania wengi wameanza kufatilia siasa za upinzania miaka ya utawala wa Magufuli.
Nchi hii ina watu wapumbavu Sana nashauri Mbowe aachane na kutetea wapuuzi
Kwa manufaa mapana kwa Taifa hili, Waweza kutuandikia uziwake kamili. Hii ni mada inayohitaji thread kamili.Kafulila na wenzie wote walipewa ubunge na uwaziri!! Lakini pamoja na kuwekewa dau la billion 5 na Magufuli akiuze chama ili aweke mwenyekiti mamluki kama ilivyo kwa vyama vyote vingine vya upinzani alikataa na kuendelea kupigania wapumbavu.
2020 inakumbukwa kama uchaguzi uliojaa Kura za vibegi. Watanzania/Wananchi hawakutendewa haki.Wapumbavu si walichagua ccm 2020 kwa 99% wacha kila mtu avune alichopanda Mbowe anatetea vipi watu waliomkataa kwenye sanduku la kura 2020?
Acha ujinga kk. Mwenzako yupo kazini apo, alokwambia anatetea watu nani ye anatetea ugari wake. Sisi tunatetewa na MWENYEZI MUNGU hawa wanasiasa hawapunguzi wala kuongeza chochote katika maisha yetu.Wabongo ni taifa la wapumbavu
Leo hii Mbowe alianza kutumia pesa za baba yake kujenga chama miaka ya 2000 leo ndiye anaitwa mlamba asali?
Mbowe mwaka 2005 alikodi helicopter kuzunguka nchi mzima wakati chama hakina hata ruzuku leo watu wanasema kalamba asali?
Aisee Mbowe kavunjiwa club yake kwa sababu ya kupigania wapumbavu
Account zake zikafungiwa kisa wapuuzi
Halafu mwisho akafungwa sababu ya wapuuzi na kupewa kesi ya ugaidi!! Shame
Mbowe toka mwaka 2000 mpaka leo miaka 23 kashatumia pesa kiasi gani toka mfukoni mwake?
Mbowe angekuwa mlamba asali Basi angeilamba kwenye utawala wa Magufuli ambaye aliwanunua wabunge 19, Kafulila na wenzie wote walipewa ubunge na uwaziri!! Lakini pamoja na kuwekewa dau la billion 5 na Magufuli akiuze chama ili aweke mwenyekiti mamluki kama ilivyo kwa vyama vyote vingine vya upinzani alikataa na kuendelea kupigania wapumbavu.
Msimamo wa Mbowe upo wazi kabisa anataka Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, My control Mfumuko wa bei, Nchi kutokopa ovyo, Uhuru wa vyombo vya habari, Kushughulikia Deni la taifa!!!
Wabongo wanataka siasa za majitaka za kutukana siasa hizo hazina nafasi Dunia nzima siasa za Sasa ni hoja !!!
Pia watanzania wengi wameanza kufatilia siasa za upinzania miaka ya utawala wa Magufuli.
Nchi hii ina watu wapumbavu Sana nashauri Mbowe aachane na kutetea wapuuzi