Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umekuwa kondo la nyuma
Kama siyo busara za Mbowe enzi ya dikteta pangewaka motoMimi kusema ukweli pamoja na mapungufu ya Mbowe kama kiongozi ndani ya Chadema na kwingine lakini ni mmoja wa kiongozi bora sana na mwenye busara sana na hana mihemko ,hakika nasema wazi Mbowe ni mtu nanusu...Mbowe ana shaurika Mbowe ana utu sana tena kupita viongozi wowote wa upinzani.
Mbowe huwa ana teleza sana kama binadamu na kama kiongozi lakini kamwe Chadema awawezi kuwa na kiongozi aina ya Mbowe.
Akili hizo angekuwa nazo Nelson Mandela,South Africa isingekombolewa,hakuna mtu aliyekuwa anapewa fursa za pesa Kama Nelson Mandela,alichagua utu kuliko pesa,ndo maana ameondoka Duniani akiwa na heshima kubwa kuliko mtu yoyote Africa.
Pesa si lolote mbele ya utu.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Nimekusikia majuzi ukisema, CHADEMA ipo tayari kuwasamehe kina Halima Mdee na wenzake waliokimbilia CCM kwa tamaa za pesa za ubunge.
Unachotaka kufanya ni kutudharau sisi wanachama wote wa CHADEMA na wote waliomwaga Damu zao kwa ajili ya Chama. Yaani Halima Mdee na wenzake eti wasamehewe na wanarudi kwenye Chama kama zamani kwa lipi?
Yaani they're the best of all members around Tanzania?
Kwamba bila hao wasaliti CHADEMA haiwezi be kuwepo?
Aisee acha mzaha na Damu za watu Mbowe,hao ni nyoka tayari hawawezi tena kurudi kuwa Binadamu.
Mtu Kama Halima Mdee alikuwa na dhiki gani ya kununuliwa na CCM?
Miaka 10 ya Ubunge,mshahara zaidi ya mil 10 kwa mwezi na mafao yote hayo Bado hakuridhika akakimbilia CCM kisa kakosa Ubunge baada ya kuporwa,who the hell are they?
Waache wafie huko CCM, kila aliyeondoka wakati wa mapambano hatumtaki,umeshatuuliza siye wanachama kuwa Tupo tayari hao wasaliti warudi?
Tunakuheshimu sana tunaomba ujiheshimu na usichafue hali ya hewa.
Ukiwarudisha hao wasaliti,pia mrudishe Ben Saane,Mawazo,na pia mrudishie Tundu Lissu afya yake na Aquilina pia tutaomba umrudishe.
Mbowe nitakuchukia maisha yangu yote na usithubutu kabisa.
Wewe siyo Mungu wa kusamehe watu hovyo hovyo tu.
Na ukiwa mbishi be prepared to pay the price,na CHADEMA itafia huko.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Pumbavu sana nyie, Wapi Mbowe kawataja Specifically?? Acheni ujinga
Kiukweli baadhi ya wanachama, wafuasi na mashabiki wa Chadema, vichwani ni watupu kabisa!. Wanadhani Majina ya kina Halima, yamepelekwa na CCM!. Laiti ungeujua ukweli, you will be surprised.
Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu
Wanabodi, Mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa "Karma", na nimekuwa nikikihubiri mara nyingi tuu humu jukwaani kuwa karma ndio the power pekee ambayo hutoa hukumu ya haki hapa duniani, kwenye karma, mtu unaadhibiwa au kuhukumiwa kwa mawazo, maneno na matendo yako, karma haina mswalie Mtume, wala...www.jamiiforums.com
CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako ambaye ni kipofu, haoni mbele, anatembea na...www.jamiiforums.com
P
Form six anayekalisha chini ma profesa mbowe hua namuelewa sanaMbowe ni msanii sana nilikuwaga lia lia sana wa chama cha chadema ila pale tu alipoahirisha maandamano nikamchukia jumla n a kadi nikachana .
Mbowe ndie alisababisha jiwe apate kiburi kuwa kumbe ana upinzan usio na meno na ukumbuke jiwe alikuwa mwoga sana yule dingi ni vile watu hawakujua tu ,kama ile siku maandamano yangetokea niamin magu angeongoza kwa upole sana ,sheria zote angefuata hata wabunge wa upinzan asingewakata kibabe ile 2020 ila mwaka 2015 alipogundua upinzan si lolote ndio hayo yaliotukuta kwa Zaid ya miaka mitano .
Mbowe sio wa kumwamini yule dingi hata ishu ya kina mdee ana mkono wake asilimia mia wajinga ndio hawaelew huu mchezo unavyocheza kibabe Zaid na kiutalaam
Naunga mkono hoja yako.Nimekusikia majuzi ukisema, CHADEMA ipo tayari kuwasamehe kina Halima Mdee na wenzake waliokimbilia CCM kwa tamaa za pesa za ubunge.
Unachotaka kufanya ni kutudharau sisi wanachama wote wa CHADEMA na wote waliomwaga Damu zao kwa ajili ya Chama. Yaani Halima Mdee na wenzake eti wasamehewe na wanarudi kwenye Chama kama zamani kwa lipi?
Yaani they're the best of all members around Tanzania?
Kwamba bila hao wasaliti CHADEMA haiwezi be kuwepo?
Aisee acha mzaha na Damu za watu Mbowe,hao ni nyoka tayari hawawezi tena kurudi kuwa Binadamu.
Mtu Kama Halima Mdee alikuwa na dhiki gani ya kununuliwa na CCM?
Miaka 10 ya Ubunge,mshahara zaidi ya mil 10 kwa mwezi na mafao yote hayo Bado hakuridhika akakimbilia CCM kisa kakosa Ubunge baada ya kuporwa,who the hell are they?
Waache wafie huko CCM, kila aliyeondoka wakati wa mapambano hatumtaki, umeshatuuliza siye wanachama kuwa Tupo tayari hao wasaliti warudi?
Tunakuheshimu sana tunaomba ujiheshimu na usichafue hali ya hewa.
Ukiwarudisha hao wasaliti,pia mrudishe Ben Saane, Mawazo, na pia mrudishie Tundu Lissu afya yake na Aquilina pia tutaomba umrudishe.
Mbowe nitakuchukia maisha yangu yote na usithubutu kabisa.
Wewe siyo Mungu wa kusamehe watu hovyo hovyo tu.
Na ukiwa mbishi be prepared to pay the price, na CHADEMA itafia huko.