Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ndugu yangu, mie siasa za bongo nimeshazivulia kofia na blauzi sina hamuuuu. Wala siamini mambo yao ...hizi kelele za sisi mashabiki mara paaap kesho unaona picha ya pamoja ya mbowe, msigwa na sugu wanasmile hawana shida.hongera sana. Chadema is thre to syay! Undhani Msigwa angelishinda uenyekiti wa Nyasa (akamshida sugu) angelibwabaaja haya yote?
Msigwa amejidhalilisha mna. Wasipompa cheo sijui atatimkia wapi, maana anatafuta cheo
Msigwa kasema Mbowe ni fisadi na ushaidi katoa kauliza alienda ikulu kufanya nini akarudi akampa mama samia tunzoMsigwa ushahama baki na lijoka lako la kijani.
We uko kama vile hujasoma, hyo research ulofanya ku justify kuwa dunia imeshangaa umeifanyia wapi.
Msigwa wewe ni Yuda tu, tangu uanze kula kondoo wako hasa yule binti wa dukani kwako I will never respect you in any way
ndiyo...are you happy? Next issue?Mbowe kwa nini hataki kuachia wengine chama inamaana chadema wote wananunulika kasoro yeye tu?
Chama kizima wanabei?
Wenye akili, nasema wenye akili, reasonable men, wanamuona Msigwa mavi. Kwanini hakuyasema right from the beginning?Msigwa kasema Mbowe ni fisadi na ushaidi katoa kauliza alienda ikulu kufanya nini akarudi akampa mama samia tunzo
View attachment 3030758
Waachie wao na chama Chao, acha kuumia kwa mambo yasiyo kuhusu
Ukitazama hii video utamuona Mbowe mmiliki wa Chadema akiendesha uchaguzi kwa style ambayo haijawai kutokea tangu uchaguzi wa kumpitisha Lowassa kuwa mgombea urais chadema mwaka 2015.
Huu ni muendelezo wa namna mbowe anavyoendesha chama chake. Tukio ili limeshangaza maelfu ya watu walioona video hii duniani kote.
Hiki chama kimeishiwa maarifa ya uongozi. Wakati wa Dr Slaa huwezi ona haya mazingaombwe.
Chama cha mameee hawajawahi kuchagua Mwenyekiti wa Taifa...Serikali impe kazi Mbowe, ili aachie uenyekiti Chadema. Hata kama jamani, Demokrasia gani kiongozi, mmoja watoto wanazaliwa wamemkuta mpaka wameanza kujitegemea. Chadema muendane na maneno yenu.
Mnashindwa hata na chama cha mambuzi, wameshabadili wenyeviti nyie huyohuyo. Kama chama ni cha familia, kiundwe chama cha wananchi wote, huru yeyote kugombea.
correct, lakini upinzani si uadui. CCM inafanya vibaya kuwateka chadema.Ndugu yangu, mie siasa za bongo nimeshazivulia kofia na na blauzi sina hamuuuu. Wala siamini mambo yao ...hizi kelele za sisi mashabiki mara paaap kesho unaona picha ya pamoja ya mbowe, msigwa na sugu wanasmile hawana shida.
Sipo kabisa na siasa mie mtz huru
Safi sana wewe kama mimi tu ,siamini mwanasiasa yoyote yule tena.Yote majizi na malaghai.Ndugu yangu, mie siasa za bongo nimeshazivulia kofia na na blauzi sina hamuuuu. Wala siamini mambo yao ...hizi kelele za sisi mashabiki mara paaap kesho unaona picha ya pamoja ya mbowe, msigwa na sugu wanasmile hawana shida.
Sipo kabisa na siasa mie mtz huru
Hivi hao wanunuaji ni watu safi!!??Mbowe kwa nini hataki kuachia wengine chama inamaana chadema wote wananunulika kasoro yeye tu?
Chama kizima wanabei?
Yote au wote!!??Safi sana wewe kama mimi tu ,siamini mwanasiasa yoyote yule tena.Yote majizi na malaghai.
Sasa kwani katiba yao inamzuia? Mambo mengine yanatia aibu, wao wanamchagua nyie mnataka kuwapangia na mnaumia wakati vyama vingine vipo mnaweza hamia huko mkawe wenyevit kama alivyofanya ZittoSerikali impe kazi Mbowe, ili aachie uenyekiti Chadema. Hata kama jamani, Demokrasia gani kiongozi, mmoja watoto wanazaliwa wamemkuta mpaka wameanza kujitegemea. Chadema muendane na maneno yenu.
Mnashindwa hata na chama cha mambuzi, wameshabadili wenyeviti nyie huyohuyo. Kama chama ni cha familia, kiundwe chama cha wananchi wote, huru yeyote kugombea.
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala. CCM ni kama bokoharam tuSerikali impe kazi Mbowe, ili aachie uenyekiti Chadema. Hata kama jamani, Demokrasia gani kiongozi, mmoja watoto wanazaliwa wamemkuta mpaka wameanza kujitegemea. Chadema muendane na maneno yenu.
Mnashindwa hata na chama cha mambuzi, wameshabadili wenyeviti nyie huyohuyo. Kama chama ni cha familia, kiundwe chama cha wananchi wote, huru yeyote kugombea.
Hoja nzuri mremboSerikali impe kazi Mbowe, ili aachie uenyekiti Chadema. Hata kama jamani, Demokrasia gani kiongozi, mmoja watoto wanazaliwa wamemkuta mpaka wameanza kujitegemea. Chadema muendane na maneno yenu.
Mnashindwa hata na chama cha mambuzi, wameshabadili wenyeviti nyie huyohuyo. Kama chama ni cha familia, kiundwe chama cha wananchi wote, huru yeyote kugombea.
Umesema vyema.Safi sana wewe kama mimi tu ,siamini mwanasiasa yoyote yule tena.Yote majizi na malaghai.
Mbona wanachama hawalalamiki km nyie Lumumba buku 7 fc 😂Mbowe kwa nini hataki kuachia wengine chama inamaana chadema wote wananunulika kasoro yeye tu?
Chama kizima wanabei?
Yaani mkuu unaumizwa na vitu visivyo kuhusuKwenye hii dunia ulishawai ona wapi mwenyekiti wa chama taifa anaendesha uchaguzi kwa style hiyo ya kiimla?