Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Mzushi, mzandiki, mchochezi, mchonganishi..........waliokutuma waambie wajibu hoja zinazowatafuna kanda ya ziwa.

Jibu maswali ya msingi. Kumbuka fedha tunayoongelea hapa ni akiba yetu tunayokatwa kila mwezi. Na mtu kama Mbowe, kukataa kulipa hilo deni ni dharau kwetu tunaokatwa hizo fedha.
Tuna kila haki ya kumuuliza, vipi? Kulikoni leo, yeye na mkewe wakatae kulipa fedha yetu?
 
halafu tunalalamika akiba za wazee hazilipwi kwa wakati, wakati kina mbowe na familia zao wanakopa akiba zetu za uzeeni halafu hawataki kulipa, eti biashara haikwenda vizuri! Juzi tu kazowa kitita kisichopunguwa million 90 bungeni, kwa nini asilipe deni lake na mkewe, ili ahakikishe akiba zetu za uzeeni haziendi mrama?

Leo tuna kauli ya kusema hawa ndio viongozi wanaofichuwa ufisadi? Hata haya hatuna!
wewe umeshaelezwa mtu kakopa million 15 ,mpaka sasa hivi ameshalipa million 80 ,,,,,,,,,,,,wewe unakomaaa .tumia akili wewe ,usiache chuki na ubaguzi wako unacloud your thinking capacity.
 
wewe umeshaelezwa mtu kakopa million 15 ,mpaka sasa hivi ameshalipa million 80 ,,,,,,,,,,,,wewe unakomaaa .tumia akili wewe ,usiache chuki na ubaguzi wako unacloud your thinking capacity.

Anazodaiwa zaidi ya hizo. Hakuna chuki hapo, ni ukweli aliouileza mwenzenu hapo juu, kama ni ukweli.

Mimi nasema kinamshinda nini kumalizia hili deni? Awe bora wa kuigwa?
 
Halafu tunalalamika akiba za wazee hazilipwi kwa wakati, wakati kina Mbowe na familia zao wanakopa akiba zetu za uzeeni halafu hawataki kulipa, eti biashara haikwenda vizuri! Juzi tu kazowa kitita kisichopunguwa million 90 bungeni, kwa nini asilipe deni lake na mkewe, ili ahakikishe akiba zetu za uzeeni haziendi mrama?

Leo tuna kauli ya kusema hawa ndio viongozi wanaofichuwa ufisadi? Hata haya hatuna!
Nilijua tu kwamba huku ndiko ulikokuwa unaelekea. Ndio maana sikupoteza muda wangu kujibizana na zumbukuku kama wewe. Wameshasema alikopa mil 15. Amelipa mil 80. Akiba ya wazee imepata faida. Wanaoihujumu akiba ya wazee ni hao hao akina Dau na maswahiba wao wa Kihindi akina Manji.
 
Nilijua tu kwamba huku ndiko ulikokuwa unaelekea. Ndio maana sikupoteza muda wangu kujibizana na zumbukuku kama wewe. Wameshasema alikopa mil 15. Amelipa mil 80. Akiba ya wazee imepata faida. Wanaoihujumu akiba ya wazee ni hao hao akina Dau na maswahiba wao wa Kihindi akina Manji.

Bado anadaiwa!
 
Nimesikia kibarazani kuwa Mbowe Jr., Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania, alikopa fedha nyingi huko akiba ya uzeeni na sasa kashindwa kuzilipa na mali alizoweka dhamana hazitoshi kulipa deni hilo na riba yake? Naomba wajuzi mtujuze, ni kweli hii?

Au wanamzulia? au kuna ka-mchezo alicheza?
mwanaume madeni bana
 
Sasa naanza kuelewa kwanini watanzania wanamheshimu mwizi kuliko mkopaji,hivi huyu mlete mada humu ajawahi kukopa hata 250 kutoka tigo,kukopa kudaiwa na kulipa deni ni tofauti sana na kitendo cha kuiba fedha za umma tena kupitia bank kuu mahali ambapo ni ghala la kuhifadhia uchumi wa watanzania
Mleta mada anataka kutuhamisha katika mada za ukweli na kutupeleka kwenye propaganda za kitoto za aikina tambwe na manyuzi
 
Kumbuka huyo ni public figure, na ni dhahiri anafaa awe mfano wa kuigwa, sasa kama kweli ka deni ka biashara kanamshinda kulipa haka ka nchi si atakaweka rehani pindi atapoupata u Rais (wishful thinking).

- Labda ungesema itungwe sheria kwamba Public figures wasikopeshwe Tanzania, I mean taifa letu linadaiwa wanadaiwa USA itakua sisi unasema sasa madeni ndiyo yawe kipimo cha uwezo wa uongozi wa taifa? Are you serious?


- Kwa mantiki yako asiye na madeni ndiye anafaa kuwa Rais, kwani Rais wa sasa ana madeni? Hoja zingine bwana!

FMeS!
 
nassikia pia anakidai Chadema..wezi tu wote hao..hana tofauti na rostam...anasubiri ruzuku ya chama alipe madeni..........
 
kudaiwa ni ujanja bw mdogo, nani mjanja asie daiwa??? wenye mawe wote wanadaiwa kwa taarifa yako kitendo cha ww kushangaa mtu kudaiwa inaonyesha ni jinsi gani ulivo f.a.l.a.....
duh! mmezidi kufagilia!
 
Nimesikia kibarazani kuwa Mbowe Jr., Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania, alikopa fedha nyingi huko akiba ya uzeeni na sasa kashindwa kuzilipa na mali alizoweka dhamana hazitoshi kulipa deni hilo na riba yake? Naomba wajuzi mtujuze, ni kweli hii?

Au wanamzulia? au kuna ka-mchezo alicheza?

Therefore? Kama Mbowe alifuata utaratibu wa kwenda kwenye vyombo vinavyofahamika kama mtanzania mwingine kwanini Kikwete na Rostam wasifuate hii njia? Kikwete na Rostam wazi wanaliibia Taifa la Tanzania na ushahidi kila mahali. Raslimali za watanzania zimeshikiliwa na Rostam sio Mbowe. Acha kuuliza maswali wakati majibu unayo. Mbowe anaongoza idara gani serikali ya ccm? Mbowe anawaogopesha ndio maana mnakazana kumwandika ovyo. It's too late.
 
Nimesikia kibarazani kuwa Mbowe Jr., Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania, alikopa fedha nyingi huko akiba ya uzeeni na sasa kashindwa kuzilipa na mali alizoweka dhamana hazitoshi kulipa deni hilo na riba yake? Naomba wajuzi mtujuze, ni kweli hii?

Au wanamzulia? au kuna ka-mchezo alicheza?

Simjui mtu anayeitwa Mbowe Jr. Kamuulize vizuri aliyekutuma. Inaonekana umekurupuka kuandika hii thread akili yako ikiwa bado inawaza gongo. Pole sana. Unadhani wewe na mafisadi wenzio mnaweza kumchafua Kamanda Mbowe!?! Mnajidanganya sana. Watanzania sasa hawadanganywi na propaganda mfu zilizokaa kisisiem sisiem.
 
Nimesikia kibarazani kuwa Mbowe Jr., Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania, alikopa fedha nyingi huko akiba ya uzeeni na sasa kashindwa kuzilipa na mali alizoweka dhamana hazitoshi kulipa deni hilo na riba yake? Naomba wajuzi mtujuze, ni kweli hii?

Au wanamzulia? au kuna ka-mchezo alicheza?

Thibitisha kwanza huko huko ndio ulete hapa hatuwezi kujadili majungu!!
 
Kumbuka huyo ni public figure, na ni dhahiri anafaa awe mfano wa kuigwa, sasa kama kweli ka deni ka biashara kanamshinda kulipa haka ka nchi si atakaweka rehani pindi atapoupata u Rais (wishful thinking).
BABA LIDHI ALIKOPA WAPI? MBONA KAIWEKA REHAN TZ? Wi
zi m2pu!
 
kudaiwa ni ujanja bw mdogo, nani mjanja asie daiwa??? wenye mawe wote wanadaiwa kwa taarifa yako kitendo cha ww kushangaa mtu kudaiwa inaonyesha ni jinsi gani ulivo f.a.l.a.....
hamna mfanyibiashara asiyekopa katika kipindi flani flani so kudaiwa ni kawaida kabisa.

Wafanyabiashara wanauwezo mdogo kifedha kuweza kukidhi haja yao kiuwekezaji, labda wewe ni mcheza bao na ghahawa ndio maana hulijui hili.
 
hamna mfanyibiashara asiyekopa katika kipindi flani flani so kudaiwa ni kawaida kabisa.

Wafanyabiashara wanauwezo mdogo kifedha kuweza kukidhi haja yao kiuwekezaji, labda wewe ni mcheza bao na ghahawa ndio maana hulijui hili.

Hivi hujuwi kama pastime kubwa ya Nyerere ilikuwa kucheza bao? kibaraza kipi cha bao kinakosa gahwa?
 
hamna mfanyibiashara asiyekopa katika kipindi flani flani so kudaiwa ni kawaida kabisa.

Wafanyabiashara wanauwezo mdogo kifedha kuweza kukidhi haja yao kiuwekezaji, labda wewe ni mcheza bao na ghahawa ndio maana hulijui hili.

Wafanya biashara makini na wenye uwezo wa kuendesha biashara zao, hukopa na hulipa na kukopa tena na kurudisha. Lakini mfanya biashara Mbowe hilo kashindwa, yaani kashindwa kuongoza biashara ataweza kuongoza watu million 40?
 
Simjui mtu anayeitwa Mbowe Jr. Kamuulize vizuri aliyekutuma. Inaonekana umekurupuka kuandika hii thread akili yako ikiwa bado inawaza gongo. Pole sana. Unadhani wewe na mafisadi wenzio mnaweza kumchafua Kamanda Mbowe!?! Mnajidanganya sana. Watanzania sasa hawadanganywi na propaganda mfu zilizokaa kisisiem sisiem.

Hivi hapo anachafuliwa? au?

Kukopa fedha zetu za akiba ya uzeeni halafu asilipe halafu useme anachafuliwa? unashangaza kweli kweli. Naona hapo tope kajisiriba mwenyewe na mnaomtetea mnazidi kulitapakaza!
 
Therefore? Kama Mbowe alifuata utaratibu wa kwenda kwenye vyombo vinavyofahamika kama mtanzania mwingine kwanini Kikwete na Rostam wasifuate hii njia? Kikwete na Rostam wazi wanaliibia Taifa la Tanzania na ushahidi kila mahali. Raslimali za watanzania zimeshikiliwa na Rostam sio Mbowe. Acha kuuliza maswali wakati majibu unayo. Mbowe anaongoza idara gani serikali ya ccm? Mbowe anawaogopesha ndio maana mnakazana kumwandika ovyo. It's too late.

Hii si mada ya Rostam na Kikwete. Hii ni mada ya Mbowe na Mkewe kukopa na kuvinjari kulipa, tena fedha za akiba ya uzeeni, wenzako juu huko wamesema ni kweli kakopa kupitia kampuni anyoimiliki yeye na mkewe MHL, na kweli bado analeta utata katika kulipa, si kwa sababu hana pesa, kwani tumesikia juzi-juzi wabunge wamepewa donge nono tu, tena yeye kwa kuwa ni Kiongozi wa upinzani (au Chadema) bungeni, ina maada ana visenti vya ziada vya marupu-rupu, si alipe tu akiba zetu?
 
Back
Top Bottom