Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

attachment.php

Ndugu Freeman Mbowe akiwa na mkewe ambaye ni binti wa aliyekuwa gavana wa BOT enzi hizooo na pia mwanzilishi wa Chama kikuu cha upinzani Tanzania CHADEMA ndugu EDWIN MTEI

Huyu ni rais wetu mtarajiwa in October 2015

Sasa nauliza je alimaliza Masomo yake kule Hull University?

Na je alishalipa deni lake alilokuwa anadaiwa na NSSF?

Je ali declare mali zake hadharani au?
je wewe usha lipa hela unazodaiwa dukani kwa Mpemba?
Sera zenu dhaifu ndizo zinazosababisha mifuko ya hifadhi igeuke Saccos
 
attachment.php

Ndugu Freeman Mbowe akiwa na mkewe ambaye ni binti wa aliyekuwa gavana wa BOT enzi hizooo na pia mwanzilishi wa Chama kikuu cha upinzani Tanzania CHADEMA ndugu EDWIN MTEI

Huyu ni rais wetu mtarajiwa in October 2015

Sasa nauliza je alimaliza Masomo yake kule Hull University?

Na je alishalipa deni lake alilokuwa anadaiwa na NSSF?

Je ali declare mali zake hadharani au?


Kila SIKU ni MASHAMBULIZI ya WA CHADEMA; Kwanini USIFUATILIE YA KINGUNGE NGOMBALE MWIRU kama alimaliza ile

Degree yake aliyoanza; au ile biashara yao ya kutoza USHURU kituo cha basi cha UBUNGO...
 
Ujinga wa kuleta vituko hapa JF ndio unasababisha ccm idharaulike.Mods toeni huu utumbo hapa jukwaani
 
mmekanyaga kinyesi ona mnavyochechemea......ingekuwa mwiba je????
Maswali mawili yanataka majibu!!!
DENI WANASEMA HAJAKOPA YEYE NI KAMPUNI YAKE.......!
Hadith ni ile ile kuwa MOHAMED INTERPRISES SI MOHAMED DEWJI!!!
 
Alipe wapi? ndio maana alikubali kwa 100% sheria ya mifuko ya hifadhi ya jamii ipitishwe.
 
Alipe wapi? ndio maana alikubali kwa 100% sheria ya mifuko ya hifadhi ya jamii ipitishwe.

Ndio mlichobakiza hicho , wabaneni viongozi wenu warudi kuwatumikia wakulima na wafanyakazi acheni umbea muda unakwenda 2015 sio mbali
 
Ujinga wa kuleta vituko hapa JF ndio unasababisha ccm idharaulike.Mods toeni huu utumbo hapa jukwaani

Tatizo lenu nyie Pro-Chadema JF amtaki watu waohoji mambo ya Chadema nyie ndio mna haki ya kuhoji mambo ya vyama vingine, sasa unakimbilia kwa mods unamwambia atoe huu utumbo ngoja tusubiri mods wautoe.
 
Ujinga wa kuleta vituko hapa JF ndio unasababisha ccm idharaulike.Mods toeni huu utumbo hapa jukwaani
Wenzio kwa ujinga huo huo utawakuta wamepanga foleni pale Lumumba kuchukua posho kwa ujinga huohuo wanao post humu JF. Tatizo sio hao waandikaji maana wao akili zao walisha zifungia kwenye masanduku ila tatizo ni mlipaji
 
Mwaka huu mnalo, mnajaribu kugusa kila mahali angalau mpate ahueni lakini wapi!
Moto uliowashwa hauzimiki tena, aliotegemewa kuuzima yuko taabani anahesabiwa siku za ku RIP.
Haya maswala ya mtu binafsi sidhani kama hapa ndipo pakupatia majibu yake.
Deni la NSSF nakushauri ukafuatilie pale NSSF makao makuu, wanafungua saa 2 asubuhi hadi saa 10 jioni Jumatatu hadi Ijumaa, watakusaidia.
Kuhusu degree, Hull University inaweza ikawa mbali ingawa sina uhakika na ulipo, ila unaweza kuingia kwenye web yao ukaangalia au ukaomba 'special request' watakusaidia.
Ukimaliza hayo leta mengine tutakusaidia kutafuta majibu. Upoo???
 
Hawamuwezi mbowe,tajiri huyo toka yuko kwenye korodani za mzee mbowe.achaneni na huyo jamaa hamtomuweza,jembe hilo.
 
Hivi wale Twiga na Tembo watarudishwa lini? CCM itaendelea kuwalinda hivi mafisadi hadi lini? Kwanini CCM imekuwa ikishindwa sana kwenye chaguzi kipindi hiki? Nape ameshindwa kazi?

Ungekuwa unajadili haya chama chako cha Mabwepande kingekuwa mbali.
 
attachment.php

Ndugu Freeman Mbowe akiwa na mkewe ambaye ni binti wa aliyekuwa gavana wa BOT enzi hizooo na pia mwanzilishi wa Chama kikuu cha upinzani Tanzania CHADEMA ndugu EDWIN MTEI

Huyu ni rais wetu mtarajiwa in October 2015

Sasa nauliza je alimaliza Masomo yake kule Hull University?

Na je alishalipa deni lake alilokuwa anadaiwa na NSSF?

Je ali declare mali zake hadharani au?
1. Aliyekwambia huyu ndiye Rais mtarajiwa nani? kiwewe chenu tu.
2. Kwa jinsi anavyotoa hoja na kuzichambua kama hakupata hiyo digree ya kwenye karatasi basi hicho kichwa ni balaa. maana si unaziona lile lundo la PhD za Dhaifu zinakotupeleka. Na zile za kuchakachua za akina Nchimbi, Mary Mwanjelwa na Mahanga nk.
3. Deni la NSSF ni biashara zake binafsi. kama alilipa ama hakulipa NSSF ndio wanaotakiwa kujua cha kufanya - haiwezi ikawa issue for us to discuss.
 
Tatizo lenu nyie Pro-Chadema JF amtaki watu waohoji mambo ya Chadema nyie ndio mna haki ya kuhoji mambo ya vyama vingine, sasa unakimbilia kwa mods unamwambia atoe huu utumbo ngoja tusubiri mods wautoe.
,
Ritz,,ni tatizo kwenye JF,huyu kanywa maji ya Bendera,Habari ya NAURU RITZ?acha kujishushia heshima kidogo ukiyonayo.
 
Tatizo lenu nyie Pro-Chadema JF amtaki watu waohoji mambo ya Chadema nyie ndio mna haki ya kuhoji mambo ya vyama vingine, sasa unakimbilia kwa mods unamwambia atoe huu utumbo ngoja tusubiri mods wautoe....

Unapokuwa hapa Jamvini jaribu kutoa michango ya kukumbukwa vizuri siku utakapokuwa umelala! kumbuka maisha ni mafupi sana! R.i.P JUMA KIDOGO!
 
Back
Top Bottom