Nilijuatu tu tangu mwanzo kwamba lengo lako ni kuhoji uwezo wa Mbowe kama kiongozi. Eti kashindwa kuongoza biashara ataweza kuongoza watu milioni 40? My foot! Uzumbukuku tu. Kama Mbowe angekuwa kiongozi aliyeshindwa tusingekuwa tunamwongelea hapa JF. Mbona hujaleta mada ya Lipumba au Mrema kama viongozi? Kwa sababu hawa ni dhahiri wameshindwa. Lakini hatupotezi muda wetu kuwajadilia. Lakini Mbowe anawakuna wote wale wanaotetea mafisadi.Wafanya biashara makini na wenye uwezo wa kuendesha biashara zao, hukopa na hulipa na kukopa tena na kurudisha. Lakini mfanya biashara Mbowe hilo kashindwa, yaani kashindwa kuongoza biashara ataweza kuongoza watu million 40?