Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
na zaidi ya yote hayo je tutaruhusiwa kujadili MBOWE na uhusiano wake na NSSF?
ama thread itahimishiwa kwenye hoja nzito na vibweka vya wakubwa
Hii story bado mbichi kabisa. Bado nasisitiza msimamo wangu wa kumchunguza Mkullo na wadosi wa NSSF katika hii story ya deni la Mbowe. Inabidi pia Mbowe aiombe mahakama impe ruhusa kuzungumzia hili swala nje ya mahakama ili kupambana na mbinu chafu za mwizi na mkoloni Rostam Azizi anayetumia magazeti yake kupindisha habari.
Hili saga ndio limeanza tu kwani hata JK mwenyewe itabidi aulizwe kuwa anajua nini kuhusu kuhusika kwa mapesa ya NSSF wakati ambao Mkullo alikuwa mdosi huko.
Hii story ya Mbowe na NSSF is the best connection so far ya JK na Mkullo.... na bado nasema kama nilivyosema mwanzo! Keep it coming .....
Mwafrika wa Kike,
Unamlaumu Rostam kwa hili la Mbowe? Nafikiri kwa hapo USA ulikuwa katika wale waliokuwa wanawalaumu Republican kwa scandal ya Clinton na Monika.
Ukiwa mwanasiasa na ukajikuta kwenye jambo lolote ambalo ni makosa yako, huna haki ya kumlaumu mtu.
Ni sawa na mafisadi wanapoilaumu JF. Sisi ni kioo tu, tunasaidia kuwaonyesha walivyochafuka. Sio sisi tuliowafanya wageuke kuwa hogs na kugalagala kwenye matope.
Mbowe hatakiwi kumlaumu mtu juu ya hili. Alipe deni la walala hoi na kuendelea na siasa zake.
ADMIN
Tunaomba u merge his thread na hii hapa:
MBOWE AHUSISHWA NA UFISADI NSSF( ya kwanza ilikuwa ni hii
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=10852
Kuna sababu yoyote ya kutaka hii ihamishwe?
Merging is different from ïhamishwe"
na zaidi ya yote hayo je tutaruhusiwa kujadili MBOWE na uhusiano wake na NSSF?
ama thread itahimishiwa kwenye hoja nzito na vibweka vya wakubwa
Merging is different from ïhamishwe"
ADMIN
Tunaomba u merge his thread na hii hapa:
MBOWE AHUSISHWA NA UFISADI NSSF( ya kwanza ilikuwa ni hii
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=10852
NSSF refutes Mbowe loan loss reports
By Zephania Ubwani, Arusha
THE CITIZEN
The National Social Security Fund has denied that it has lost billions of shillings through a loan extended to Mbowe Hotels Limited 18 years ago.
It confirmed, however, that it has a case in court against the firm owned by a top Opposition leader over unsettled debts. Mr Yacoub Kidula, the fund's director of planning, investments and projects told journalists that the row has been unnecessarily politicized. "This matter is in court.
Why don't we wait for the outcome of the case?" he asked, adding that it was not true NSSF had lost lots of money because of the loan. NSSF, then known as the National Provident Fund (NPF), extended a loan of Sh15 million to Mbowe Hotels Limited in 1990 for the expansion of its hotel in Dar es Salaam.
The loan was to be repayed over six years but that had not been the case until now, he said. Mr Kidula was reacting to media reports last week that Mbowe Hotels owed NSSF Sh1.2 billion.
"Reports that NSSF was bankrupt because of the loan are not true. What I know is that our case against Mbowe Hotels is still in court," he reiterated. Emphasising that the hotels firm does not owe NSSF Sh1.2 billion, he said the amount could be just a half of that figure or less, declining to specify the actual amount owed.
Legal experts at the fund headquarters were working on the matter which has been in court since 1996, he said.
A section of the media reported last week that NSSF was owed Sh1.2 billion by Mbowe Hotels Limited of Dar es Salaam in unpaid loans. The firm belongs to Mr Freeman Mbowe, the national chairman of Chadema, who contested the presidency in the 2005 General Election.
Other directors of the firm are Manase A.Mbowe and Dr Lilian Mtei Mbowe. The loan was to be used for refurbishment of the old Mbowe Hotels in the heart of Dar es Salaam, leading to setting up of Hard Rock Restaurant and Bilicanas Club and Casino.
Mwafrika wa Kike,
Unamlaumu Rostam kwa hili la Mbowe? Nafikiri kwa hapo USA ulikuwa katika wale waliokuwa wanawalaumu Republican kwa scandal ya Clinton na Monika.
Ukiwa mwanasiasa na ukajikuta kwenye jambo lolote ambalo ni makosa yako, huna haki ya kumlaumu mtu.
Ni sawa na mafisadi wanapoilaumu JF. Sisi ni kioo tu, tunasaidia kuwaonyesha walivyochafuka. Sio sisi tuliowafanya wageuke kuwa hogs na kugalagala kwenye matope.
Mbowe hatakiwi kumlaumu mtu juu ya hili. Alipe deni la walala hoi na kuendelea na siasa zake.
Nafikiri ni wakati baadhi ya Members kuacha kukurupuka katika maandishi yao. Unavuliwa nguo hivi hivi wakati huonekani na jina lako la bandia.
Mbowe hatakiwi kumlaumu mtu juu ya hili. Alipe deni la walala hoi na kuendelea na siasa zake.
kulikuwa na haja gani ya kuquote habari yote kwa sentensi hiyo?Kama wameanza kukana madai yao ya awali kuwa Mbowe hadaiwi hayo mabilioni na hajaitia NSSF hasara, je kuna sababu ya watu kuomba msamaha kwa Mbowe?