Ndio maana wa Chadema wanaukimbia Uraisi ,hapa mlikuwa mnasifu moshi kumbe ndani kuna cheche , vishindo vya Mbowe sasa basi ,amemwagiwa maji ya barafu ,daha ukiziba huku kunatoboka kule ,wamebaki wanaume wa kazi wanangangari wazee wa shwa shwa shwa ,mapangaaa shwa shwa shwa ,ipo kazi nasema ipo kazi kwa sababu hivi sasa njia ni moja tu ,iungeni mkono CUF bila ya kusita hakuna Chadema hakuna TLP ,na ndio ukweli mnauona huu ,usingoje kushikwa mkono ,tunataka kuingoa CCM kwa kishindo ,hivyo TLP CHADEMA na wengineo elekezeni nguvu zenu kuipa sapoti CUF katika ngazi ya Uraisi ,Lipumba he is a man to be na anastahili kwa kuwa kila sifa ambazo ni kigezo cha Urais anazo ,sisemi kuwa hao wengine hawafai ,hapana CCM ameshawaona na kuwavuruga ,wameitafuta kwa kila njia CUF lakini wameshindwa ,tena wameshindwa vibaya sana katika harakati za kuikwamisha CUF ,kila wanapojaribu wanakutana na kizingiti na hua ndio mwisho wao ,inawabidi wajipange upya mwisho wameona wahamie kwa Chadema na TLP na wengine ,Chama Cha Wananchi CUF kitawaongoza WaTanzania pale wanapopataka hilo halina mjadala.