Ndiyo hivyo, hata mkataba ukiwa na vipengele ambavyo kimsingi ni vya kukandamiza, mahakama inawezakutupilia mbali. Huwezi kuandika mkataba wa kuhakikisha unapata riba ya kiasi gani sijui! Huu upuuuzi. Yaani, mimi leo ninunue gari kwa dola 9000 halafu ni default na baada ya miaka 19 tu riba ifikiee lakini 230,000!? Majaji wa hapa mbona wanaweza kuwa na field day.
Nilinunua gari zamani (kama 20,000 USD) baada ya kukaa nalo like for 5 years malipo yakawa magumu nikawapigia waje walichukue gari lao nikaanda kununua used car for abt 3000; jamaa wakanitumia deni langu ati natakiwa kulipa karibu 12,000, nikawazungusha mahakamani hadi mwisho wakakubali kusettle for 1500!
Shoot, I ain't paying 229 millioni kwa deni la 9 millioni!
sasa ninaelewa kwanini GT ameng'ang'ania walipe deni; dawa ya deni ni kulipa!?