Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tajiri atake cheo cha kazi gani ?Sio kwa Praise hio.
Unataka Cheo.?
endeleeni kuokoteza mambo
Sasa praise ya nini ewe Tajiri.Tajiri atake cheo cha kazi gani ?
Dah kweli kabisa huko ni kujilambaSio kwa Praise hio.
Unataka Cheo.?
sisi tumejitolea kuokoa nyinyi masikiniSasa praise ya nini ewe Tajiri.
Au unataka msamaha wa kodi pindi CHADEMA ikichukua nchi..?
huyu kwisha habari yakeKaribu katika jiji la Mwanza kamanda π
View attachment 1859095
Mpigania uhuru anayetamba barani Afrika, Laingwanani, Mtemi Isike au Abubakar Mbowe ameingia Jijini Mwanza usiku mzito , ili kuokoa wafuasi wa chama chake na Maaskofu waliokamatwa kinyume cha sheria za nchi .
Hata hivyo baada ya kusikia mwamba anaingia Mwanza watuhumiwa wote 128 walioshikiliwa mateka wakaachiwa bila masharti yoyote
View attachment 1859089
Hilo ndio jina jipya alilopewa huko PembaMmh Abubakar Mbowe
Daah hatari, na mtemi isike alipewa wap mkuuHilo ndio jina jipya alilopewa huko Pemba
Tabora , kwenye operesheni haki , jamani hebu fuatilieni mambo ya nchi yenuDaah hatari, na mtemi isike alipewa wap mkuu
Umejitolea nini. ?sisi tumejitolea kuokoa nyinyi masikini