At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Ahaa ndio maana uko hapa kufanya praise.?Usitegemee kumwona tajiri akibeba mizigo kiwandani kwake , mimi nahesabu hela tu mjomba , uliwahi kusikia kuna ugumu kwenye kuhesabu hela ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaa ndio maana uko hapa kufanya praise.?Usitegemee kumwona tajiri akibeba mizigo kiwandani kwake , mimi nahesabu hela tu mjomba , uliwahi kusikia kuna ugumu kwenye kuhesabu hela ?
Kwani CHADEMA mnajitoa nini.?Mbowe haitaji praise kama yule bi, Chokochoko.
MaCCM mnajitoa sana akili.
Hawa MACHAGA wako vizuri kwa pambio, MATAGA warudi shule 🤣Sio kwa Praise hio.
Unataka Cheo.?
Kwani inashindikana nini ?Pole sana CHADEMA ichukue nchi ? Duh, kweli mmea wa Arusha ni shida.
Ulitaka akae hapo mpaka atakapofufuka!?
Duh [emoji849]Hawa MACHAGA wako vizuri kwa pambio, MATAGA warudi shule [emoji1787]
😀 😀 Faru John katika ubora wakeMpigania uhuru anayetamba barani Afrika, Laingwanani, Mtemi Isike au Abubakar Mbowe ameingia Jijini Mwanza usiku mzito , ili kuokoa wafuasi wa chama chake na Maaskofu waliokamatwa kinyume cha sheria za nchi .
Hata hivyo baada ya kusikia mwamba anaingia Mwanza watuhumiwa wote 128 walioshikiliwa mateka wakaachiwa bila masharti yoyote
Walimpa Tabora huko kwa Wanyamwezi. Anyway, nimecheka sana jinsi jamaa alivyo present ujumbe wake, so kwa maneno mengine (kwa mujibu wa mleta UZI ) police/serikali inamuogopa Mbowe? Hili limenichekesha sanaDaah hatari, na mtemi isike alipewa wap mkuu
Fake newz..🚮🚮🚮
Kweli kanigusa kwa kuwa kupitia siasa zake maji toka ,kuna wanachi waengi tu future zao zimeharibiwa na huyu kiumbe aka TONDOItakuwa mbowe kakugusa pabaya
Lazima waogope maana Mbowe ana uwezo mkubwa wa organize watu against polisi ,na polisin ni wachache,na kumbuka serikali haina hela za kuhonga tena,hali mbaya sana uku serikalini kifedhaWalimpa Tabora huko kwa Wanyamwezi. Anyway, nimecheka sana jinsi jamaa alivyo present ujumbe wake, so kwa maneno mengine (kwa mujibu wa mleta UZI ) police/serikali inamuogopa Mbowe? Hili limenichekesha sana
Mkuu amekacha msiba kwa ajiki ya perdiem za chama ,chezea hela wewe ? halafu eti wanataka kutawalaWafuasi wa Mbowe wameishaachiwa tena bila kesi yeyote arudi msibani hamna mtaji wa kisiasa.
aache ujinga Mbowe ni kiongozi wa watu kwenye msiba alishaonyesha umuhimu wake na kule ameenda kwa mamia ya watu
Swadaktaaache ujinga Mbowe ni kiongozi wa watu kwenye msiba alishaonyesha umuhimu wake na kule ameenda kwa mamia ya watu
CHADEMA tunajitoa UHAI wetu ili kukomboa Viumbe FUKALA na DUNI kama wewe na MaCCM wenzio, mliogeuzwa MISUKULE Lumumba.Kwani CHADEMA mnajitoa nini.?
Haha povu.CHADEMA tunajitoa UHAI wetu ili kukomboa Viumbe FUKALA na DUNI kama wewe na MaCCM wenzio, mliogeuzwa MISUKULE Lumumba.
Hamna povu wala Sabuni mkuu, uwo ndio ukweli, vumilia.. hatupoi mpaka tutakomboa tu kutoka Makucha ya mkoloni CCM.Haha povu.
Mwana BAVICHA. Ungekuwa umejitoa uhai usingekuwako kucomment humu. Ewe Kibodi waria
Sasa mbona warusha Miguu.?Hamna povu wala Sabuni mkuu, uwo ndio ukweli, vumilia.. hatupoi mpaka tutakomboa tu kutoka Makucha ya mkoloni CCM.
Mkuu msumari, hivi uhuru wako wa kuamua mambo unamtegemea mtu? Mtu unapokuwa huru unafanya mambo yako kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu za nchi kwa mujibu wa KATIBA huna sababu ya kumtegemea mtu, ila kama mambo yako ni ya kiujanja ujanja bila kufuata KATIBA YA NCHI ni lazima utamtegemea mtu kama kinga yako.Mama kawapa uhuru halafu mnamuona fala tena na kuanza kumsumbua....muulize mwamba kwanini alijificha dubai...? na kuwaacha makamanda..
Mkuu Makupa kupitia huyu mtu vijana wengi wamepata vyeo vikubwa katika Serikali hii, kama akina Silinde, Waitara na wengine wengi tu kutoka mikononi mwa mtu huyu.Kweli kanigusa kwa kuwa kupitia siasa zake maji toka ,kuna wanachi waengi tu future zao zimeharibiwa na huyu kiumbe aka TONDO