Mbowe aingia Mwanza usiku mnene kuwapigania Wanachadema waliorundikwa selo bila makosa

Mbowe aingia Mwanza usiku mnene kuwapigania Wanachadema waliorundikwa selo bila makosa

Ni utoto unakusumbua, ukikua utaelewa kwa nini ameenda Mwanza.

HEKIMA NA BUSARA IMETUMIKA.

MWAKASEGE alipata habari za KIFO cha mwanae Joshua akiwa jukwaani Mbeya, hakuahirisha kipindi mpaka baada ya kukamilisha kipindi.

HEKIMA NA BUSARA ILITAWALA.

KWA HILO BABA YENU MDOGO FREEMAN MBOWE ANAWAPENDA NINYI KAMA FAMILIA, LAKINI PIA ANAWAPENDA WATANZANIA WOTE.

Waliokushauri kuandika UJUMBE HUO WAMEKUDANGANYA
 
Wafuasi wa Mbowe wameishaachiwa tena bila kesi yeyote arudi msibani hamna mtaji wa kisiasa.
 
Mpigania uhuru anayetamba barani Afrika, Laingwanani, Mtemi Isike au Abubakar Mbowe ameingia Jijini Mwanza usiku mzito , ili kuokoa wafuasi wa chama chake na Maaskofu waliokamatwa kinyume cha sheria za nchi .

Hata hivyo baada ya kusikia mwamba anaingia Mwanza watuhumiwa wote 128 walioshikiliwa mateka wakaachiwa bila masharti yoyote

View attachment 1859089
Wewe unajitofautishaje na Cyprian Musiba!? 🤣🤣🤣
Uandishi wako ni kama tu Cyprian Musiba alivyokuwa anajitoa ufahamu kuandika kila kitu kwa ushabiki regardless of anything
 
Mpigania uhuru anayetamba barani Afrika, Laingwanani, Mtemi Isike au Abubakar Mbowe ameingia Jijini Mwanza usiku mzito , ili kuokoa wafuasi wa chama chake na Maaskofu waliokamatwa kinyume cha sheria za nchi .

Hata hivyo baada ya kusikia mwamba anaingia Mwanza watuhumiwa wote 128 walioshikiliwa mateka wakaachiwa bila masharti yoyote

View attachment 1859089
Mtoto wa mjini Mbowe
 
Mpigania uhuru anayetamba barani Afrika, Laingwanani, Mtemi Isike au Abubakar Mbowe ameingia Jijini Mwanza usiku mzito , ili kuokoa wafuasi wa chama chake na Maaskofu waliokamatwa kinyume cha sheria za nchi .

Hata hivyo baada ya kusikia mwamba anaingia Mwanza watuhumiwa wote 128 walioshikiliwa mateka wakaachiwa bila masharti yoyote

View attachment 1859089
Hili jinga (TONDO) sijui kwa nini serikali hailifungi.
 
FAKE NEWS!!

Ndio maana ninasema Mbowe ni mjinga mjinga tu (TONDO) ,unafikiria anapoenda Mwanza chama kinamgaramia shilingi ngapi? kwa kuwa ni TONDO anaone ni bora akache msiba akimbilie per diem
 
Hilo ndio jina jipya alilopewa huko Pemba

Na kule uchagani siku hizi wanamwita TONDO yaani mtu aisiejielewa hata kidogo ,na hio jina wazee walimpachika baada ya kuzidsha harakati zake za kutaka kwenda kunywa juice ikulu
 
😂😂😂😂 mpigania uhuru anaetamba Africa !!!!! Pole sana Africa sio ya mchezomchezo
Hawa viwavi wa CDM wangejua kuwa huyu jamaa anakimbizana na per diem hadi kakacha msiba sijui wangejisikiaje
 
Ndio maana ninasema Mbowe ni mjinga mjinga tu (TONDO) ,unafikiria anapoenda Mwanza chama kinamgaramia shilingi ngapi? kwa kuwa ni TONDO anaone ni bora akache msiba akimbilie per diem
Itakuwa mbowe kakugusa pabaya
 
Back
Top Bottom