Uchaguzi 2020 Mbowe aitahadharisha Tume ya Uchaguzi kuhusu tuhuma za kupanga njama ya kumuengua Lissu kwenye mbio za Urais

umasikini wa akili ni mzigo kuliko gunia la misumali
 
Mtathibiti vipi?
Kwa kutishia mitandaoni kama hivi ?
 
Yani vyama ni Zaid ya 20 na wagombea wa urais alafu mbowe aje atuambie kua hakuna uchaguz kama wao wata tolewa Mgombea wao mvunja sheria mbowe who are you [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Naishi leo lakini naifikiria kesho, naiomba Tume ya Uchaguzi Tanzania itoe mchango wake katika kulinda amani ya taifa letu, hasa kipindi hiki tukielekea uchaguzi mkuu, pasiwepo na jambo lolote litakalosababisha kuzua taharuki isiyo ya lazima.
Nyie wahun wa chadema mtafanya Nini kuku nyie

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Let's face it!
Yaani badala ya kususia uchaguzi na kusisitiza Tume Huru mnakuja kujificha huku na haya matumaini hewa!!??
Fursa iliyobaki ni kuingia barabarani... Mkiipuuza hiyo pia basi tena...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…