Uchaguzi 2020 Mbowe aitahadharisha Tume ya Uchaguzi kuhusu tuhuma za kupanga njama ya kumuengua Lissu kwenye mbio za Urais

Uchaguzi 2020 Mbowe aitahadharisha Tume ya Uchaguzi kuhusu tuhuma za kupanga njama ya kumuengua Lissu kwenye mbio za Urais

Yaan NEC waache kumkata Lowassa waje kumkata Lissu.mbona mnajitekenya na kucheka wenyewe?

Lini mgombea wa chadema alikatwa?Kiongozi mkurupukaji,mashabiki wakurupukaji basi vurugu tupu
 
Nawaomba NEC wachague zimwi nafuu kati ya KUMKATA Lissu na KUMTEUA agombee. Kwa maoni yangu ni nafuu kumteua agombee kuliko kumkata kwani sijaona sababu hasa ya kufanya akatwe ili asigombee lakini kama ataachwa agombee itawezekana chama tawala kushinda uchaguzi kwa kutumia vyombo vya dola ikiwemo NEC. NEC watumie hekima ili kutowatia watanzania katika majaribu. Watanzania wa leo si wale wa jana.
Akatwe tu kama hajakidhi matakwa ya sheria!
 
Nawaomba NEC wachague zimwi nafuu kati ya KUMKATA Lissu na KUMTEUA agombee. Kwa maoni yangu ni nafuu kumteua agombee kuliko kumkata kwani sijaona sababu hasa ya kufanya akatwe ili asigombee lakini kama ataachwa agombee itawezekana chama tawala kushinda uchaguzi kwa kutumia vyombo vya dola ikiwemo NEC. NEC watumie hekima ili kutowatia watanzania katika majaribu. Watanzania wa leo si wale wa jana.

Ni kufuata sheria, au kumridhisha mtu ? Waache ujinga, haki ya mhalifu ni kupitishwa kwenye vyombo vya sheria na akipatikana na makosa aadhibiwe. Isitumike hekima kwa wahalifu.
 
Mbowe hua mpole mpole sana,hua anatoa kauli soft soft na wale jamaa wanajua hana madhara yoyote yale kwao.Maamuzi magumu wanaoweza kuyafanya ni kina Sugu,Heche,Lissu n.k

Sijui wakimfanyia hivi mtu kama Malema ingekuaje.
 
MWAKA HUU SIO MWAKA PROPAGANDA, BALI NI MWAKA WA KIROHO. OLE WAO WASIOAMINI MAANA LILILOANDIKWA LINAENDA KUTIMIA. NA MIOYO YAO HAO WASIOAMINI ITAZIDI KUFANYWA KUWA MIGUMU.


LUKA Mlango 13
1 Na wakati uo huo walikuwapo watu waliompasha habari ya Wagalilaya wale ambao Pilato alichanganya damu yao na dhabihu zao.
2 Akawajibu akawaambia, Je! Mwadhani ya kwamba Wagalilaya hao walikuwa wenye dhambi kuliko Wagalilaya wote, hata wakapatwa na mambo hayo?
3 Nawaambia, Sivyo; lakini msipotubu, ninyi nyote mtaangamia vivyo hivyo.
4 Au wale kumi na wanane, walioangukiwa na mnara huko Siloamu, ukawaua, mwadhani ya kwamba wao walikuwa wakosaji kuliko watu wote waliokaa Yerusalemu?
5 Nawaambia, Sivyo; lakini msipotubu, ninyi nyote mtaangamia vivyo hivyo.
 
Nawaomba NEC wachague zimwi nafuu kati ya KUMKATA Lissu na KUMTEUA agombee. Kwa maoni yangu ni nafuu kumteua agombee kuliko kumkata kwani sijaona sababu hasa ya kufanya akatwe ili asigombee lakini kama ataachwa agombee itawezekana chama tawala kushinda uchaguzi kwa kutumia vyombo vya dola ikiwemo NEC. NEC watumie hekima ili kutowatia watanzania katika majaribu. Watanzania wa leo si wale wa jana.
NEC haitakubali ku set a bad precedent na itakuwa historia mbaya sana for future elections
 
Mbowe hamhitaji Lisu maskini Nani asiyejua kuwa alimhitaji Nyalandu mwenye pesa ndio maana kamati kuu ilimkataa Lisu .Baraza kuu likatengua maamuzi ya kamati kuu Mbowe kachanganyikiwa .Tume mwacheni Lisu agombee Mbowe anywe sumu akitaka

Njia ya kuua rushwa chadema Tume mpeni Lisu ugombea Hana hata Mia ya kumpa Mbowe

Mpitisheni Lisu Mbowe anywe sumu akitaka kwa kukosa rushwa
Njama zenu mbovu za kishetani ipo siku mtazijutia.
 
Watahiniwa NEC wako wengi kufeli kwa Lissu hakuna madhara wapo watahiniwa makini watapita na kupitishwa kugombea. Lissu is less serious huwezi kujazo form kizembe namna ile
 
Kiukweli, fitina za kisiasa popote pale haziepukiki....

Lakini CCM na serikali wanayoingoza wameshavuka kwenye viwango vya fitina sasa wanatumia nguvu kulazimisha mambo kwa kuvunja sheria na katiba waziwazi na hivyo kuuvuruga uchaguzi huu na kuvuruga amani kabisa ya nchi yetu nzuri....

Katika hili mtu anaweza kujiuliza; Hivi Tundu Lissu aenguliwe kwa sababu zipi hasa za kisheria....??

Mimi bwana, sijaona vigezo vya kisheria wala kimaadili vitanavyoweza kutumika kumuengua....

Hakuna, hakuna, hakuna...!!!

Mpango ambao ulisukika na kuonekana uta - work out ni huu wa kutumia kesi kwa kushirikiana na NEC...

Bahati njema ni kuwa, umegundulika mapema na unaweza kudhibitiwa kirahisi tu....

Mimi nina hakika, kuwa, Tundu Lissu mpaka sasa ni mgombea halali wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA, na hakuna wa kumzuia....

Mwamuzi atakuwa BALLOT BOX siyo maamuzi ya mezani...
Well said
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom