Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmmhNo Tundu Lissu ni Election. Tuko pamoja na ww mwenyekiti wetu....
Sasaaaa.... Baaasssss........ 🤔🤔😒😒
Kitu gani amefanya?Haki ni pamoja na Lissu kufuata SHERIA na taratibu tulizoziweka. Tume fanyeni kazi yenu. Kama vipi wazee wa kazi mtakutana nao barabarani. Acheni kujihami kwa kuwatisha Tume na watanzania. JPM tuko nyuma yako. Kila mtu atahukumiwa sawasawa na matendo yake. Kwanini Lissu asihukumiwe kama atakuwa amekwenda kinyume na utaratibu?
NEC inafanya kazi kwa kuzingatia sheria, taratibu na kanuni zilizopo...vitisho kwa Tume havitasaidia...Naishi leo lakini naifikiria kesho, naiomba Tume ya Uchaguzi Tanzania itoe mchango wake katika kulinda amani ya taifa letu, hasa kipindi hiki tukielekea uchaguzi mkuu, pasiwepo na jambo lolote litakalosababisha kuzua taharuki isiyo ya lazima.
Bila shaka utakuwa msitari wa mbele karibu kabisa na huo mstari mwembambaNa wasijaribu hao NEC kufanya upumbavu wa kukata majina ya wagombea , kuna mstari mwembamba sana kati ya utulivu na vurugu,NEC wasipelekeshwe na Muoga wa wapinzani JIWE,wamuache akapambane naye kwenye box la kura ,na hizo kura zinahakikiwa mwanzo hadi mwisho...
Na kuna taarifa kwamba NEC wamesajiri baadhi ya majina(Sura ni ile ile) kwa ID 2 hadi 3 na ndio wamepata wapiga kura mil 29.
mungu amekataa siku 4 7 kabla akatwi mtu hapa, na hakuna wa kumlazimisha mungu , wagombea wote wa vyama vyote niwatakie kampeni njema ,bila kusahau tume nanyi mungu awatie nguvu katika kutekeleaza majukum yenu katika kipindi hiki cha kutafuta viongozi wa taifa letuKuna jambo hapa limepangwa na si bure.
Wapinzani bila shaka wana informers ndani ya hii ya serikali, hivyo habari hii si ya kupuuza na tukumbuke hata Lissu jana aliongelea jambo hili.
Wacha tusubiri,kesho sio mbali ila wajue tu, watatufikisha wanakotaka lakini na wao pia wakiwemo maana wote tuko kwenye jahazi moja.
Ishara za awali(iwapo kweli upo huo mpango), ni kesho kuwa na ulinzi usio wa kawaida katika Mahakama ya Kisutu na maneno ya jirani, na hata Makao Makuu ya CHADEMA nayo yanaweza kuzungukwa na ulinzi wa aina hiyo-mtazamo wangu.
Na kwa tweet hii,sitashangaa kusikia Mbowe kaitwa kwa mahojiano au anashikiliwa.
Alishasema atawapeleka barabarani. Nasikia magari yanawasubiri kwa hamu kubwa huko barabarani. Lissu anajua akiwekewa pingamizj hawezi toboa labda wa mwache tu. Rejea sababu za kufukuzwa ubunge ndiyo utajua kuwa hana sifa ya kugombea urais mpaka miaka mitano ipite.Kuna jambo hapa limepangwa na si bure.
Wapinzani bila shaka wana informers ndani ya hii ya serikali, hivyo habari hii si ya kupuuza na tukumbuke hata Lissu jana aliongelea jambo hili.
Wacha tusubiri,kesho sio mbali ila wajue tu, watatufikisha wanakotaka lakini na wao pia wakiwemo maana wote tuko kwenye jahazi moja.
Ishara za awali(iwapo kweli upo huo mpango), ni kesho kuwa na ulinzi usio wa kawaida katika Mahakama ya Kisutu na maneno ya jirani, na hata Makao Makuu ya CHADEMA nayo yanaweza kuzungukwa na ulinzi wa aina hiyo-mtazamo wangu.
Na kwa tweet hii,sitashangaa kusikia Mbowe kaitwa kwa mahojiano au anashikiliwa.
Wasi wasi wangu mimi si tume ya uchaguzi, bali wadhamini wa Lissu na mahakama. Huko nyuma nilisikia wadhamini waliomba kujitoa na mahakama ikakataa ombi lao kwa sababu mshtakiwa hakuwepo mahakamani.Hili hapa andiko lake
Watanzania wenzangu, tuna masaa 24 kwa NEC kuweka Msingi wa Amani ya Tanzania. Mkakati wowote wa kuengua kwa hila wagombea wetu utapokelewa kwa kishindo kikubwa. #NoLissuNoElection!#SasaBasi! Uzalendo uonyeshwe kwa kusimamia haki na si vinginevyo.
Nawaomba NEC wachague zimwi nafuu kati ya KUMKATA Lissu na KUMTEUA agombee. Kwa maoni yangu ni nafuu kumteua agombee kuliko kumkata kwani sijaona sababu hasa ya kufanya akatwe ili asigombee lakini kama ataachwa agombee itawezekana chama tawala kushinda uchaguzi kwa kutumia vyombo vya dola ikiwemo NEC. NEC watumie hekima ili kutowatia watanzania katika majaribu. Watanzania wa leo si wale wa jana.Alishasema atawapeleka barabarani. Nasikia magari yanawasubiri kwa hamu kubwa huko barabarani. Lissu anajua akiwekewa pingamizj hawezi toboa labda wa mwache tu. Rejea sababu za kufukuzwa ubunge ndiyo utajua kuwa hana sifa ya kugombea urais mpaka miaka mitano ipite.