Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,281
Ameandika Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe "Watanzania wenzangu, tuna masaa 24 kwa NEC kuweka Msingi wa Amani ya Tanzania. Mkakati wowote wa kuengua kwa hila wagombea wetu utapokelewa kwa kishindo kikubwa. #NoLissuNoElection!#SasaBasi! Uzalendo uonyeshwe kwa kusimamia haki na si vinginevyo"