SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Mbakize hekima na Kesho
Ngoja nikale daku langu kabla ya vurumai.
Sikwemoo😁😁😁😁
Ngoja nikale daku langu kabla ya vurumai.
Sikwemoo😁😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kujidanganya ccm ina mjumbe kila baada ya nyumba kumi wajumbe tu waliokua nao wakisema wapige kura inashinda uchaguziMagufuli alikimbia katiba mpya yanayoendelea sasa kila mtu asali kwa sababu angekubali katiba mpya mambo ya ushungi yasingukuwa na tija
Ukija uchaguzi mnakimbia na masanduku ya kura. Vijana wa hovyo sana nyie Chawa.Hiyo ndio hali halisi ya Mbowe na Chadema mtaani...aya endeleeni kujifurahisha mtandaoni.
Kaburi la mshezi alievuruga umoja wetu wa kitaifa.Akaombe msamaha kwenye kaburi la Magufuli la sivyo ataendelea kuvuna aibu za kutisha kama hizi.
Namuona kamanda hapa akihangaika kujificha kwenye mkaranga.......heheheeeee!!Yani sijaelewa ulitaka tuone nini hapo maana yuko matembezeni na sio mkutano wala maandamano.
Naona ulitaka Watu waandamane nae ili mpate sababu ya kuwaua kama Akwilina.
Mashetani wakubwa wenye kiu ya damu za Watu
Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
Kitatokea nini hakuna jipya hapoKama kweli unaamini ulichoandika, iambie serikali yako ya CCM iruhusu mikutano ya kisiasa/hadhara kesho asubuhi halafu uone kitakachotokea.
Kwani ruzuku hawachukui ? Endelea kudanganywa[emoji23][emoji1787] Wamezidi siasa za kiharakati, lakini kwenda kuomba kwenye kaburi la yule shetani itakuwa ndio wanajizika kabisa
Dawa ni kuunga mkono serikali ya Samia, wakubali maridhiano, wachukue ruzuku wafanye mambo yao
Wewe ulikuwa wapi wakati huoLeo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
Umesahau wakati wa uchaguzi Mkuu 2020 kilichomtokea Lissu Dar es salaam? Chadema lazima mkubali Dar mlishaipoteza since Lowassa alivyoondoka.Kama kweli unaamini ulichoandika, iambie serikali yako ya CCM iruhusu mikutano ya kisiasa/hadhara kesho asubuhi halafu uone kitakachotokea.
Hiyo picha ya juu, yaani watu waache kufuatilia mikeka yao kisa Mbowe?Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
Japo Mimi si chadomo wala timu mwendazake alichofanya Jana mbowe tegeta bahati nilikuwepo kitaani kilifana SanaLeo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
Hawachukui, ama toa ushahidi kuwa wanachukuaKwani ruzuku hawachukui ? Endelea kudanganywa
Hiyo sentensi ya mwisho ni upumbavu ambao sijawahi kuuona hapa dunianiLeo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
Taahira kweli weweMwanasiasa yeyote - wa upinzani au CCM - atakayeenda kinyume na Magufuli na Umagufuli hawezi kupata uungwaji mkono wa wananchi. Sad but true.