- Thread starter
- #21
Leo ni siku ya baraka roho ya husuda haisaidiiRC Chalamila: Uchunguzi uko hatua za Mwisho 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo ni siku ya baraka roho ya husuda haisaidiiRC Chalamila: Uchunguzi uko hatua za Mwisho 🐼
Zero brain ndiye unayemjadili usiku na mchana ndiye anayekumalizia bando.HATUTAKI ZERO BRAIN
MBOWE
Wewe jamaa unajikosea heshimaSiyo kweli Serikali inataka TAL ndio ashinde
Siasa ni Sayansi 😃
RC Chalamila ni mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa DSM alikouawa Meddy 🐼Leo ni siku ya baraka roho ya husuda haisaidii
Watu wako mbele ya wakati kuliko Simbilisi za hapo ufipa bwashee 😄😄Wewe jamaa unajikosea heshima
Kwanini asijiuzulu leo? Ama asigombee kabisa. Ati akishinda ajiuzulu, tumekubaini lengo la uzi huu ni kumpigia tu kampeni ya ushindi.Kabla ya kujiuzulu panga safu nzuri ya uongozi ndani ya chama.
Pangua sekretariate yote, pangua safu ya wakurugenzi makao makuu, kuna wakurugenzi wamejimilikisha ofisi miaka na miaka tunawasikia.
Nenda CHASO tafuta vijana wapya wape majukumu wakipe chama uhai.
Usisahau kutibu majeraha na majeruhi wa uchaguzi yaunganishe makundi.
Kwa kushirikiana na viongozi wakuu, washauri, Kamati Kuu, Baraza Kuu andaeni atakayerithi mikoba yako, sio lazima awe public figure, lkn awe loyal kwa chama, aheshimu viongozi, katiba na wanachama.
Kazi hiyo uifanye ndani ya mwaka mmoja probably baada ya uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge, na Madiwani ni wakati wako mwafaka wa kujiuzulu.
Kama Lissu atakuwa bado mwanachama hai mshirikishe, yeye ni chachu ya mageuzi ndani na nje ya chama lkn si kwa nafasi ya Mkiti.
Kwa hali ya hewa ilivyo sasa usipojiuzulu kwa hiyari tegemea mapinduzi kama ya NCCR ya Mrema na Marando. Usipuuzie.
Mshauri hauawi.
Mbowe hawezi kushinda asilani abadani.Kabla ya kujiuzulu panga safu nzuri ya uongozi ndani ya chama.
Pangua sekretariate yote, pangua safu ya wakurugenzi makao makuu, kuna wakurugenzi wamejimilikisha ofisi miaka na miaka tunawasikia.
Nenda CHASO tafuta vijana wapya wape majukumu wakipe chama uhai.
Usisahau kutibu majeraha na majeruhi wa uchaguzi yaunganishe makundi.
Kwa kushirikiana na viongozi wakuu, washauri, Kamati Kuu, Baraza Kuu andaeni atakayerithi mikoba yako, sio lazima awe public figure, lkn awe loyal kwa chama, aheshimu viongozi, katiba na wanachama.
Kazi hiyo uifanye ndani ya mwaka mmoja probably baada ya uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge, na Madiwani ni wakati wako mwafaka wa kujiuzulu.
Kama Lissu atakuwa bado mwanachama hai mshirikishe, yeye ni chachu ya mageuzi ndani na nje ya chama lkn si kwa nafasi ya Mkiti.
Kwa hali ya hewa ilivyo sasa usipojiuzulu kwa hiyari tegemea mapinduzi kama ya NCCR ya Mrema na Marando. Usipuuzie.
Mshauri hauawi.
Hapana mkuuUnataka nipost unachokipenda, watasoma wanaopenda maboko yangu after all sijaku tag uje kusoma.
Mimi naona ina logic, ungeonekana bora kama unge counteract hoja yangu isiyo na logic kwa kuleta yako iliyo na logic.Hapana mkuu
Nataka upost mada zenye logic
Nani anamtaja huyo sell out. Sisi diehard fans wake tulisimama na chama tokea mgogoro na Zitto na baadae Slaa ila tumemchoka sasa. Subiri agombee na urais mwakani aanze kuzomewa kwenye campaign ndio utaelewa tunachosema.Kama wewe humtaki kuna wanaomtaka.
Pangua sekretariate yote, pangua safu ya wakurugenzi makao makuu, kuna wakurugenzi wamejimilikisha ofisi miaka na miaka tunawasikia.
Atozomewa na hii itam-torture kisaikolojia .Nani anamtaja huyo sell out. Sisi diehard fans wake tulisimama na chama tokea mgogoro na Zitto na baadae Slaa ila tumemchoka sasa. Subiri agombee na urais mwakani aanze kuzomewa kwenye campaign ndio utaelewa tunachosema.
Hana uwezo wa kushawishi umma tena
anza AYATOLLAHTatizo lake ni mbinafsi na mkabila
FREEMAN AIKAEL MUSEVEN MUGABE MBOWE.
AYATOLLAH...anza AYATOLLAH
Ulisimama naye wapi ulikuwa peke yako.Nani anamtaja huyo sell out. Sisi diehard fans wake tulisimama na chama tokea mgogoro na Zitto na baadae Slaa ila tumemchoka sasa. Subiri agombee na urais mwakani aanze kuzomewa kwenye campaign ndio utaelewa tunachosema.
Hana uwezo wa kushawishi umma tena
hamuoni kuwa chama kitatikisika pakubwa akimfukuza lissu?Na akimfukuza Lissu itasaidia sana.
Hujui lolote kuhusu tulivyojitoa kwa hiki chama kwahiyo kaa kimya tu. Hivi unadhani ni rahisi watu wa Kalinzi (Kigoma Kaskazini) tumkatae zitto in favor of Mbowe? Unajua cost tulizolipa?Ulisimama naye wapi ulikuwa peke yako.
Itasaidia sana kuhakikisha CHADEMA inakufa na kubakia kuwa chama cha kwenye makaratasi.Na akimfukuza Lissu itasaidia sana.