Mbowe akishinda anatakiwa ajiuzulu ndani ya mwaka mmoja

Mkuu mbona nilikuamini sana kwa kuwa na mawazo chanya?

Sasa kwanini wataka Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti wa CHADEMA?

Kwasababu Mbowe ameishi na CHADEMA tangia 1992 akiisindikiza CCM hadi leo.

Huoni kuwa umefika wakati wa kupisha kiongozi mwingine ambae atatoa changamoto stahiki kwa CCM?
 
Mkuu Richard, ukifuatilia post zangu mimi ni muumini mzuri tu wa Lissu, tatizo la Lissu hana maadili ya uongozi. Kama ulisikiliza Clubhouse ya juzi siri zote za chama alizisema public.

Ukiangalia kwa makini Mbowe alikuwa kaamua kutogombea alibadili mawazo gafla baada ya kuona jinsi Lissu alivyoingia kwa kumtuhumu na kashifa kibao.

Mbowe atashinda lkn anatakiwa akikabidhi chama mapema kwenye mikono salama kabla mambo hayajaharibika zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…