Mbowe Akishinda Uenyekiti kazi ya kwanza iwe ni Kumtimua Lissu Chamani ili asiendelee kukivuruga na kukigawa chama

Mbowe Akishinda Uenyekiti kazi ya kwanza iwe ni Kumtimua Lissu Chamani ili asiendelee kukivuruga na kukigawa chama

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Mbowe Mwamba na Jabali la Siasa za Upinzani hapa Nchini akipita na kushinda uchaguzi hiyo tarehe 21 mwezi huu .ambapo anatarajiwa kushinda na kupita kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.anapaswa kwa haraka sana na mara moja kumtimua Lissu chamani ili asiendelee kukivuruga chama na kukigawa.

Lissu anapaswa kufukuzwa haraka sana kwa sababu tayari ni kansa kwa CHADEMA ambayo ikiachwa ikae na kusalia itakitafuna na kukiangamiza kabisa chama. Lissu kwa sasa ni kama adui wa chama anayepaswa kupingwa na kuogopwa kama ukoma.

Kwa sasa hana uchungu na CHADEMA na amedhamiria kukiangamiza CHADEMA kwa hasira kubwa sana.hii unaweza kuona matamko na maneno yake anajiropokea kila uchao namna yanavyoendelea kuleta taharuki,mgawanyiko na kuondoa kabisa umoja wa chama.kila siku anafanya kazi ya kukidhalilisha chama na kukivunjia sifa kubwa kiliyojijengea kwa jasho na Damu kwa miaka mingi.

Ikumbukwe ya kuwa lissu ni wakuja CHADEMA.pegine ndio maana hajui gharama iliyotumika kuijenga na kuifikisha hapo ilipo CHADEMA.hii ndio sababu pengine hana uchungu na CHADEMA na ndio maana anaropoka muda wote Utafikiri ana matatizo kichwani mwake.Lissu ameikuta CHADEMA ikiwa imara na yenye mtandao mpana wa uongozi na wanachama maeneo mbalimbali Nchini.

Sasa anaivunja vunja na kuibomoa kwa kasi kubwa sana CHADEMA.anatoa kila aina ya maneno ya kukichafua chama na viongozi wasiomuunga mkono pasipo ushahidi wa aina yoyote ile. Ni lazima afukuzwe CHADEMA ili kama anataka basi akaanzishe chama chake ndiko atoleage matamko na Uropokaji wake.

Mbowe asikubali hata kidogo kumlea huyu mtu asiye na shukurani.amfukuze na kumtimua haraka sana ili kurejesha umoja na mshikamano ndani ya chama.ni lazima Mbowe afahamu ya kuwa Kansa ni kansa tu na ni lazima hatua za mapema zichukuliwe kuiwahi kansa . Kuendelea kuishi na kansa Mwilini bila kuchukua hatua za mapema kutapelekea kuenea na kuangamiza mwili na hatimaye roho.

Angalieni namna ambavyo sisi CCM hufanya maamuzi Magumu ndani ya chama chetu.CCM tunaweza kumuondoa mtu yeyote yule katika nafasi yoyote ile na kumuweka pembeni. CCM tunaweza kumfukuza chamani mtu yeyote yule akionekana kuwa ni kirusi au kansa kwa chama chetu.tumefanya hivyo mara nyingi na tutaendelea kufanya hivyo kila itakapobidi kufanya hivyo kwa maslahi mapana ya chama Na Taifa letu kwa ujumla wake.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Huu muda wa kuandika ya chadema unapata wapi Luca, si nimesikia upo Dodoma na dodoma yote ya kijani imetamalaki.
 
IMG-20250116-WA0060.jpg
 
We unafikiri Lissu atakubali kubaki kuwa mwanachama wa chama kinachoongozwa na Sultan Mbowe Bin King'ang'anizi?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Mbowe Mwamba na Jabali la Siasa za Upinzani hapa Nchini akipita na kushinda uchaguzi hiyo tarehe 21 mwezi huu .ambapo anatarajiwa kushinda na kupita kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.anapaswa kwa haraka sana na mara moja kumtimua Lissu chamani ili asiendelee kukivuruga chama na kukigawa.

Lissu anapaswa kufukuzwa haraka sana kwa sababu tayari ni kansa kwa CHADEMA ambayo ikiachwa ikae na kusalia itakitafuna na kukiangamiza kabisa chama. Lissu kwa sasa ni kama adui wa chama anayepaswa kupingwa na kuogopwa kama ukoma.

Kwa sasa hana uchungu na CHADEMA na amedhamiria kukiangamiza CHADEMA kwa hasira kubwa sana.hii unaweza kuona matamko na maneno yake anajiropokea kila uchao namna yanavyoendelea kuleta taharuki,mgawanyiko na kuondoa kabisa umoja wa chama.kila siku anafanya kazi ya kukidhalilisha chama na kukivunjia sifa kubwa kiliyojijengea kwa jasho na Damu kwa miaka mingi.

Ikumbukwe ya kuwa lissu ni wakuja CHADEMA.pegine ndio maana hajui gharama iliyotumika kuijenga na kuifikisha hapo ilipo CHADEMA.hii ndio sababu pengine hana uchungu na CHADEMA na ndio maana anaropoka muda wote Utafikiri ana matatizo kichwani mwake.Lissu ameikuta CHADEMA ikiwa imara na yenye mtandao mpana wa uongozi na wanachama maeneo mbalimbali Nchini.

Sasa anaivunja vunja na kuibomoa kwa kasi kubwa sana CHADEMA.anatoa kila aina ya maneno ya kukichafua chama na viongozi wasiomuunga mkono pasipo ushahidi wa aina yoyote ile. Ni lazima afukuzwe CHADEMA ili kama anataka basi akaanzishe chama chake ndiko atoleage matamko na Uropokaji wake.

Mbowe asikubali hata kidogo kumlea huyu mtu asiye na shukurani.amfukuze na kumtimua haraka sana ili kurejesha umoja na mshikamano ndani ya chama.ni lazima Mbowe afahamu ya kuwa Kansa ni kansa tu na ni lazima hatua za mapema zichukuliwe kuiwahi kansa . Kuendelea kuishi na kansa Mwilini bila kuchukua hatua za mapema kutapelekea kuenea na kuangamiza mwili na hatimaye roho.

Angalieni namna ambavyo sisi CCM hufanya maamuzi Magumu ndani ya chama chetu.CCM tunaweza kumuondoa mtu yeyote yule katika nafasi yoyote ile na kumuweka pembeni. CCM tunaweza kumfukuza chamani mtu yeyote yule akionekana kuwa ni kirusi au kansa kwa chama chetu.tumefanya hivyo mara nyingi na tutaendelea kufanya hivyo kila itakapobidi kufanya hivyo kwa maslahi mapana ya chama Na Taifa letu kwa ujumla wake.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Na akishindwa atimuliwe
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Mbowe Mwamba na Jabali la Siasa za Upinzani hapa Nchini akipita na kushinda uchaguzi hiyo tarehe 21 mwezi huu .ambapo anatarajiwa kushinda na kupita kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.anapaswa kwa haraka sana na mara moja kumtimua Lissu chamani ili asiendelee kukivuruga chama na kukigawa.

Lissu anapaswa kufukuzwa haraka sana kwa sababu tayari ni kansa kwa CHADEMA ambayo ikiachwa ikae na kusalia itakitafuna na kukiangamiza kabisa chama. Lissu kwa sasa ni kama adui wa chama anayepaswa kupingwa na kuogopwa kama ukoma.

Kwa sasa hana uchungu na CHADEMA na amedhamiria kukiangamiza CHADEMA kwa hasira kubwa sana.hii unaweza kuona matamko na maneno yake anajiropokea kila uchao namna yanavyoendelea kuleta taharuki,mgawanyiko na kuondoa kabisa umoja wa chama.kila siku anafanya kazi ya kukidhalilisha chama na kukivunjia sifa kubwa kiliyojijengea kwa jasho na Damu kwa miaka mingi.

Ikumbukwe ya kuwa lissu ni wakuja CHADEMA.pegine ndio maana hajui gharama iliyotumika kuijenga na kuifikisha hapo ilipo CHADEMA.hii ndio sababu pengine hana uchungu na CHADEMA na ndio maana anaropoka muda wote Utafikiri ana matatizo kichwani mwake.Lissu ameikuta CHADEMA ikiwa imara na yenye mtandao mpana wa uongozi na wanachama maeneo mbalimbali Nchini.

Sasa anaivunja vunja na kuibomoa kwa kasi kubwa sana CHADEMA.anatoa kila aina ya maneno ya kukichafua chama na viongozi wasiomuunga mkono pasipo ushahidi wa aina yoyote ile. Ni lazima afukuzwe CHADEMA ili kama anataka basi akaanzishe chama chake ndiko atoleage matamko na Uropokaji wake.

Mbowe asikubali hata kidogo kumlea huyu mtu asiye na shukurani.amfukuze na kumtimua haraka sana ili kurejesha umoja na mshikamano ndani ya chama.ni lazima Mbowe afahamu ya kuwa Kansa ni kansa tu na ni lazima hatua za mapema zichukuliwe kuiwahi kansa . Kuendelea kuishi na kansa Mwilini bila kuchukua hatua za mapema kutapelekea kuenea na kuangamiza mwili na hatimaye roho.

Angalieni namna ambavyo sisi CCM hufanya maamuzi Magumu ndani ya chama chetu.CCM tunaweza kumuondoa mtu yeyote yule katika nafasi yoyote ile na kumuweka pembeni. CCM tunaweza kumfukuza chamani mtu yeyote yule akionekana kuwa ni kirusi au kansa kwa chama chetu.tumefanya hivyo mara nyingi na tutaendelea kufanya hivyo kila itakapobidi kufanya hivyo kwa maslahi mapana ya chama Na Taifa letu kwa ujumla wake.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Je, nae akishindwa atimuliwe?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Mbowe Mwamba na Jabali la Siasa za Upinzani hapa Nchini akipita na kushinda uchaguzi hiyo tarehe 21 mwezi huu .ambapo anatarajiwa kushinda na kupita kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.anapaswa kwa haraka sana na mara moja kumtimua Lissu chamani ili asiendelee kukivuruga chama na kukigawa.

Lissu anapaswa kufukuzwa haraka sana kwa sababu tayari ni kansa kwa CHADEMA ambayo ikiachwa ikae na kusalia itakitafuna na kukiangamiza kabisa chama. Lissu kwa sasa ni kama adui wa chama anayepaswa kupingwa na kuogopwa kama ukoma.

Kwa sasa hana uchungu na CHADEMA na amedhamiria kukiangamiza CHADEMA kwa hasira kubwa sana.hii unaweza kuona matamko na maneno yake anajiropokea kila uchao namna yanavyoendelea kuleta taharuki,mgawanyiko na kuondoa kabisa umoja wa chama.kila siku anafanya kazi ya kukidhalilisha chama na kukivunjia sifa kubwa kiliyojijengea kwa jasho na Damu kwa miaka mingi.

Ikumbukwe ya kuwa lissu ni wakuja CHADEMA.pegine ndio maana hajui gharama iliyotumika kuijenga na kuifikisha hapo ilipo CHADEMA.hii ndio sababu pengine hana uchungu na CHADEMA na ndio maana anaropoka muda wote Utafikiri ana matatizo kichwani mwake.Lissu ameikuta CHADEMA ikiwa imara na yenye mtandao mpana wa uongozi na wanachama maeneo mbalimbali Nchini.

Sasa anaivunja vunja na kuibomoa kwa kasi kubwa sana CHADEMA.anatoa kila aina ya maneno ya kukichafua chama na viongozi wasiomuunga mkono pasipo ushahidi wa aina yoyote ile. Ni lazima afukuzwe CHADEMA ili kama anataka basi akaanzishe chama chake ndiko atoleage matamko na Uropokaji wake.

Mbowe asikubali hata kidogo kumlea huyu mtu asiye na shukurani.amfukuze na kumtimua haraka sana ili kurejesha umoja na mshikamano ndani ya chama.ni lazima Mbowe afahamu ya kuwa Kansa ni kansa tu na ni lazima hatua za mapema zichukuliwe kuiwahi kansa . Kuendelea kuishi na kansa Mwilini bila kuchukua hatua za mapema kutapelekea kuenea na kuangamiza mwili na hatimaye roho.

Angalieni namna ambavyo sisi CCM hufanya maamuzi Magumu ndani ya chama chetu.CCM tunaweza kumuondoa mtu yeyote yule katika nafasi yoyote ile na kumuweka pembeni. CCM tunaweza kumfukuza chamani mtu yeyote yule akionekana kuwa ni kirusi au kansa kwa chama chetu.tumefanya hivyo mara nyingi na tutaendelea kufanya hivyo kila itakapobidi kufanya hivyo kwa maslahi mapana ya chama Na Taifa letu kwa ujumla wake.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwani wewe si chawa wa Mama? Umeanza lini kuwa chawa wa Mbowe?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Mbowe Mwamba na Jabali la Siasa za Upinzani hapa Nchini akipita na kushinda uchaguzi hiyo tarehe 21 mwezi huu .ambapo anatarajiwa kushinda na kupita kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.anapaswa kwa haraka sana na mara moja kumtimua Lissu chamani ili asiendelee kukivuruga chama na kukigawa.

Lissu anapaswa kufukuzwa haraka sana kwa sababu tayari ni kansa kwa CHADEMA ambayo ikiachwa ikae na kusalia itakitafuna na kukiangamiza kabisa chama. Lissu kwa sasa ni kama adui wa chama anayepaswa kupingwa na kuogopwa kama ukoma.

Kwa sasa hana uchungu na CHADEMA na amedhamiria kukiangamiza CHADEMA kwa hasira kubwa sana.hii unaweza kuona matamko na maneno yake anajiropokea kila uchao namna yanavyoendelea kuleta taharuki,mgawanyiko na kuondoa kabisa umoja wa chama.kila siku anafanya kazi ya kukidhalilisha chama na kukivunjia sifa kubwa kiliyojijengea kwa jasho na Damu kwa miaka mingi.

Ikumbukwe ya kuwa lissu ni wakuja CHADEMA.pegine ndio maana hajui gharama iliyotumika kuijenga na kuifikisha hapo ilipo CHADEMA.hii ndio sababu pengine hana uchungu na CHADEMA na ndio maana anaropoka muda wote Utafikiri ana matatizo kichwani mwake.Lissu ameikuta CHADEMA ikiwa imara na yenye mtandao mpana wa uongozi na wanachama maeneo mbalimbali Nchini.

Sasa anaivunja vunja na kuibomoa kwa kasi kubwa sana CHADEMA.anatoa kila aina ya maneno ya kukichafua chama na viongozi wasiomuunga mkono pasipo ushahidi wa aina yoyote ile. Ni lazima afukuzwe CHADEMA ili kama anataka basi akaanzishe chama chake ndiko atoleage matamko na Uropokaji wake.

Mbowe asikubali hata kidogo kumlea huyu mtu asiye na shukurani.amfukuze na kumtimua haraka sana ili kurejesha umoja na mshikamano ndani ya chama.ni lazima Mbowe afahamu ya kuwa Kansa ni kansa tu na ni lazima hatua za mapema zichukuliwe kuiwahi kansa . Kuendelea kuishi na kansa Mwilini bila kuchukua hatua za mapema kutapelekea kuenea na kuangamiza mwili na hatimaye roho.

Angalieni namna ambavyo sisi CCM hufanya maamuzi Magumu ndani ya chama chetu.CCM tunaweza kumuondoa mtu yeyote yule katika nafasi yoyote ile na kumuweka pembeni. CCM tunaweza kumfukuza chamani mtu yeyote yule akionekana kuwa ni kirusi au kansa kwa chama chetu.tumefanya hivyo mara nyingi na tutaendelea kufanya hivyo kila itakapobidi kufanya hivyo kwa maslahi mapana ya chama Na Taifa letu kwa ujumla wake.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
wewe ni nani huku chadema hata uteseke hangaika na hilo liccm lako jumba bovu
 
Back
Top Bottom