Mbowe Akishinda Uenyekiti kazi ya kwanza iwe ni Kumtimua Lissu Chamani ili asiendelee kukivuruga na kukigawa chama

Mbowe Akishinda Uenyekiti kazi ya kwanza iwe ni Kumtimua Lissu Chamani ili asiendelee kukivuruga na kukigawa chama

Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Mbowe Mwamba na Jabali la Siasa za Upinzani hapa Nchini akipita na kushinda uchaguzi hiyo tarehe 21 mwezi huu .ambapo anatarajiwa kushinda na kupita kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.anapaswa kwa haraka sana na mara moja kumtimua Lissu chamani ili asiendelee kukivuruga chama na kukigawa.

Lissu anapaswa kufukuzwa haraka sana kwa sababu tayari ni kansa kwa CHADEMA ambayo ikiachwa ikae na kusalia itakitafuna na kukiangamiza kabisa chama. Lissu kwa sasa ni kama adui wa chama anayepaswa kupingwa na kuogopwa kama ukoma.

Kwa sasa hana uchungu na CHADEMA na amedhamiria kukiangamiza CHADEMA kwa hasira kubwa sana.hii unaweza kuona matamko na maneno yake anajiropokea kila uchao namna yanavyoendelea kuleta taharuki,mgawanyiko na kuondoa kabisa umoja wa chama.kila siku anafanya kazi ya kukidhalilisha chama na kukivunjia sifa kubwa kiliyojijengea kwa jasho na Damu kwa miaka mingi.

Ikumbukwe ya kuwa lissu ni wakuja CHADEMA.pegine ndio maana hajui gharama iliyotumika kuijenga na kuifikisha hapo ilipo CHADEMA.hii ndio sababu pengine hana uchungu na CHADEMA na ndio maana anaropoka muda wote Utafikiri ana matatizo kichwani mwake.Lissu ameikuta CHADEMA ikiwa imara na yenye mtandao mpana wa uongozi na wanachama maeneo mbalimbali Nchini.

Sasa anaivunja vunja na kuibomoa kwa kasi kubwa sana CHADEMA.anatoa kila aina ya maneno ya kukichafua chama na viongozi wasiomuunga mkono pasipo ushahidi wa aina yoyote ile. Ni lazima afukuzwe CHADEMA ili kama anataka basi akaanzishe chama chake ndiko atoleage matamko na Uropokaji wake.

Mbowe asikubali hata kidogo kumlea huyu mtu asiye na shukurani.amfukuze na kumtimua haraka sana ili kurejesha umoja na mshikamano ndani ya chama.ni lazima Mbowe afahamu ya kuwa Kansa ni kansa tu na ni lazima hatua za mapema zichukuliwe kuiwahi kansa . Kuendelea kuishi na kansa Mwilini bila kuchukua hatua za mapema kutapelekea kuenea na kuangamiza mwili na hatimaye roho.

Angalieni namna ambavyo sisi CCM hufanya maamuzi Magumu ndani ya chama chetu.CCM tunaweza kumuondoa mtu yeyote yule katika nafasi yoyote ile na kumuweka pembeni. CCM tunaweza kumfukuza chamani mtu yeyote yule akionekana kuwa ni kirusi au kansa kwa chama chetu.tumefanya hivyo mara nyingi na tutaendelea kufanya hivyo kila itakapobidi kufanya hivyo kwa maslahi mapana ya chama Na Taifa letu kwa ujumla wake.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tueleze maslahi yako ndabi ya CHADEMA hafi uamue kuwa mshauri wa kujitokea wa Mbowe?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Mbowe Mwamba na Jabali la Siasa za Upinzani hapa Nchini akipita na kushinda uchaguzi hiyo tarehe 21 mwezi huu .ambapo anatarajiwa kushinda na kupita kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.anapaswa kwa haraka sana na mara moja kumtimua Lissu chamani ili asiendelee kukivuruga chama na kukigawa.

Lissu anapaswa kufukuzwa haraka sana kwa sababu tayari ni kansa kwa CHADEMA ambayo ikiachwa ikae na kusalia itakitafuna na kukiangamiza kabisa chama. Lissu kwa sasa ni kama adui wa chama anayepaswa kupingwa na kuogopwa kama ukoma.

Kwa sasa hana uchungu na CHADEMA na amedhamiria kukiangamiza CHADEMA kwa hasira kubwa sana.hii unaweza kuona matamko na maneno yake anajiropokea kila uchao namna yanavyoendelea kuleta taharuki,mgawanyiko na kuondoa kabisa umoja wa chama.kila siku anafanya kazi ya kukidhalilisha chama na kukivunjia sifa kubwa kiliyojijengea kwa jasho na Damu kwa miaka mingi.

Ikumbukwe ya kuwa lissu ni wakuja CHADEMA.pegine ndio maana hajui gharama iliyotumika kuijenga na kuifikisha hapo ilipo CHADEMA.hii ndio sababu pengine hana uchungu na CHADEMA na ndio maana anaropoka muda wote Utafikiri ana matatizo kichwani mwake.Lissu ameikuta CHADEMA ikiwa imara na yenye mtandao mpana wa uongozi na wanachama maeneo mbalimbali Nchini.

Sasa anaivunja vunja na kuibomoa kwa kasi kubwa sana CHADEMA.anatoa kila aina ya maneno ya kukichafua chama na viongozi wasiomuunga mkono pasipo ushahidi wa aina yoyote ile. Ni lazima afukuzwe CHADEMA ili kama anataka basi akaanzishe chama chake ndiko atoleage matamko na Uropokaji wake.

Mbowe asikubali hata kidogo kumlea huyu mtu asiye na shukurani.amfukuze na kumtimua haraka sana ili kurejesha umoja na mshikamano ndani ya chama.ni lazima Mbowe afahamu ya kuwa Kansa ni kansa tu na ni lazima hatua za mapema zichukuliwe kuiwahi kansa . Kuendelea kuishi na kansa Mwilini bila kuchukua hatua za mapema kutapelekea kuenea na kuangamiza mwili na hatimaye roho.

Angalieni namna ambavyo sisi CCM hufanya maamuzi Magumu ndani ya chama chetu.CCM tunaweza kumuondoa mtu yeyote yule katika nafasi yoyote ile na kumuweka pembeni. CCM tunaweza kumfukuza chamani mtu yeyote yule akionekana kuwa ni kirusi au kansa kwa chama chetu.tumefanya hivyo mara nyingi na tutaendelea kufanya hivyo kila itakapobidi kufanya hivyo kwa maslahi mapana ya chama Na Taifa letu kwa ujumla wake.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
NA LISSU AKISHINDA MTAMFUKUZA AU MTAMWACHA AKIVURUGE CHAMA?
 
Lissu ni kansa na kirusi ambaye hapaswi na kustahili kubakia na kusalia CHADEMA.
Sidhani kama nchi hii Kuna mtu ambaye ni cancerous kuliko CCM na wanachama wake na hasa nyie machawa WA mafisadi yaliyojazana huko CCM.

Sasa Kabla hatujafikiria kudeal na Lissu hebu Mimi na wewe tushirikiane kwanza kuing'oa CCM hapo October, maana ndio chanzo Cha matatizo yote yanayolikumba taifa hili, tumeelewana!???
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Mbowe Mwamba na Jabali la Siasa za Upinzani hapa Nchini akipita na kushinda uchaguzi hiyo tarehe 21 mwezi huu .ambapo anatarajiwa kushinda na kupita kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.anapaswa kwa haraka sana na mara moja kumtimua Lissu chamani ili asiendelee kukivuruga chama na kukigawa.

Lissu anapaswa kufukuzwa haraka sana kwa sababu tayari ni kansa kwa CHADEMA ambayo ikiachwa ikae na kusalia itakitafuna na kukiangamiza kabisa chama. Lissu kwa sasa ni kama adui wa chama anayepaswa kupingwa na kuogopwa kama ukoma.

Kwa sasa hana uchungu na CHADEMA na amedhamiria kukiangamiza CHADEMA kwa hasira kubwa sana.hii unaweza kuona matamko na maneno yake anajiropokea kila uchao namna yanavyoendelea kuleta taharuki,mgawanyiko na kuondoa kabisa umoja wa chama.kila siku anafanya kazi ya kukidhalilisha chama na kukivunjia sifa kubwa kiliyojijengea kwa jasho na Damu kwa miaka mingi.

Ikumbukwe ya kuwa lissu ni wakuja CHADEMA.pegine ndio maana hajui gharama iliyotumika kuijenga na kuifikisha hapo ilipo CHADEMA.hii ndio sababu pengine hana uchungu na CHADEMA na ndio maana anaropoka muda wote Utafikiri ana matatizo kichwani mwake.Lissu ameikuta CHADEMA ikiwa imara na yenye mtandao mpana wa uongozi na wanachama maeneo mbalimbali Nchini.

Sasa anaivunja vunja na kuibomoa kwa kasi kubwa sana CHADEMA.anatoa kila aina ya maneno ya kukichafua chama na viongozi wasiomuunga mkono pasipo ushahidi wa aina yoyote ile. Ni lazima afukuzwe CHADEMA ili kama anataka basi akaanzishe chama chake ndiko atoleage matamko na Uropokaji wake.

Mbowe asikubali hata kidogo kumlea huyu mtu asiye na shukurani.amfukuze na kumtimua haraka sana ili kurejesha umoja na mshikamano ndani ya chama.ni lazima Mbowe afahamu ya kuwa Kansa ni kansa tu na ni lazima hatua za mapema zichukuliwe kuiwahi kansa . Kuendelea kuishi na kansa Mwilini bila kuchukua hatua za mapema kutapelekea kuenea na kuangamiza mwili na hatimaye roho.

Angalieni namna ambavyo sisi CCM hufanya maamuzi Magumu ndani ya chama chetu.CCM tunaweza kumuondoa mtu yeyote yule katika nafasi yoyote ile na kumuweka pembeni. CCM tunaweza kumfukuza chamani mtu yeyote yule akionekana kuwa ni kirusi au kansa kwa chama chetu.tumefanya hivyo mara nyingi na tutaendelea kufanya hivyo kila itakapobidi kufanya hivyo kwa maslahi mapana ya chama Na Taifa letu kwa ujumla wake.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Eti mbowe anapigiwa kampeni na nzi wa kijani?
Haya nayo maajabu
 
Jamaa walitaka kumpindua Mbowe bana, kumbe join the chain walikuwa wapate pesa waitishe Baraza kuu na mkutano mkuu wamalize biashara wakati Mwamba yupo gelezani - aisee binadamu unakula naye kumbe....

Asante Wenje - mapinduzi yashakwama
 
We unafikiri Lissu atakubali kubaki kuwa mwanachama wa chama kinachoongozwa na Sultan Mbowe Bin King'ang'anizi?
Lissu atajiamulia kubaki au kutoka.
Lakini kwa kitabu cha Dr Slaa,nadhani amesomeka vizuri.
Lissu Kutafuta uongozi Chadema atakuwa anataka kuonja sumu.Kwa kuwa Dr Slaa amemuubua vibaya sana.Nadhani Lissu ajiondoe kwenye kinyanganyilo cha tarehe 21 Jan 2025.
 
Eti mbowe anapigiwa kampeni na nzi wa kijani?
Haya nayo maajabu
Sipo kupiga kampeni hapa maana kama mshindi anahamika tayari kuwa ni Mwamba na Jabali la Siasa za upinzani hapa Nchini Mheshimiwa Freeman Mbowe
 
Sina maslahi yoyote ile na CHADEMA.
Zwazwa huwa anajibu kizwazwa kama jibu lako.

Hizi posts za kumpigia kampeni Mbowe zinakutenganisha vipi na pesa za Abdul na mama yake zinazosumbua CHADEMA wakati huu?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Mbowe Mwamba na Jabali la Siasa za Upinzani hapa Nchini akipita na kushinda uchaguzi hiyo tarehe 21 mwezi huu .ambapo anatarajiwa kushinda na kupita kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.anapaswa kwa haraka sana na mara moja kumtimua Lissu chamani ili asiendelee kukivuruga chama na kukigawa.

Lissu anapaswa kufukuzwa haraka sana kwa sababu tayari ni kansa kwa CHADEMA ambayo ikiachwa ikae na kusalia itakitafuna na kukiangamiza kabisa chama. Lissu kwa sasa ni kama adui wa chama anayepaswa kupingwa na kuogopwa kama ukoma.

Kwa sasa hana uchungu na CHADEMA na amedhamiria kukiangamiza CHADEMA kwa hasira kubwa sana.hii unaweza kuona matamko na maneno yake anajiropokea kila uchao namna yanavyoendelea kuleta taharuki,mgawanyiko na kuondoa kabisa umoja wa chama.kila siku anafanya kazi ya kukidhalilisha chama na kukivunjia sifa kubwa kiliyojijengea kwa jasho na Damu kwa miaka mingi.

Ikumbukwe ya kuwa lissu ni wakuja CHADEMA.pegine ndio maana hajui gharama iliyotumika kuijenga na kuifikisha hapo ilipo CHADEMA.hii ndio sababu pengine hana uchungu na CHADEMA na ndio maana anaropoka muda wote Utafikiri ana matatizo kichwani mwake.Lissu ameikuta CHADEMA ikiwa imara na yenye mtandao mpana wa uongozi na wanachama maeneo mbalimbali Nchini.

Sasa anaivunja vunja na kuibomoa kwa kasi kubwa sana CHADEMA.anatoa kila aina ya maneno ya kukichafua chama na viongozi wasiomuunga mkono pasipo ushahidi wa aina yoyote ile. Ni lazima afukuzwe CHADEMA ili kama anataka basi akaanzishe chama chake ndiko atoleage matamko na Uropokaji wake.

Mbowe asikubali hata kidogo kumlea huyu mtu asiye na shukurani.amfukuze na kumtimua haraka sana ili kurejesha umoja na mshikamano ndani ya chama.ni lazima Mbowe afahamu ya kuwa Kansa ni kansa tu na ni lazima hatua za mapema zichukuliwe kuiwahi kansa . Kuendelea kuishi na kansa Mwilini bila kuchukua hatua za mapema kutapelekea kuenea na kuangamiza mwili na hatimaye roho.

Angalieni namna ambavyo sisi CCM hufanya maamuzi Magumu ndani ya chama chetu.CCM tunaweza kumuondoa mtu yeyote yule katika nafasi yoyote ile na kumuweka pembeni. CCM tunaweza kumfukuza chamani mtu yeyote yule akionekana kuwa ni kirusi au kansa kwa chama chetu.tumefanya hivyo mara nyingi na tutaendelea kufanya hivyo kila itakapobidi kufanya hivyo kwa maslahi mapana ya chama Na Taifa letu kwa ujumla wake.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom