Mbowe aliiweka Chadema rehani kwa Samia. Sisi tulimuuliza kwani kuna shida gani mzee? Mbona uwezo tunao huku ukituweka rehani?

Mbowe aliiweka Chadema rehani kwa Samia. Sisi tulimuuliza kwani kuna shida gani mzee? Mbona uwezo tunao huku ukituweka rehani?

Mbowe toka aseme CCM oyeeee nilijua Tu mambo yameshaharibika , nikajua Yuko chadema lakini anawaza Sana ccm yake
 
Watu hamjui tu ila hili sekeseke la Chadema na Samia tulianza nalo mwaka 2022 mwishoni. Ilikuwa ghafla sana mwenyekiti wetu alibadili "jia" angani.

Aliyosema Lissu leo ni ukweli mtupu. Ndani ya Chadema kulikuwa na vuguvugu sii la kitoto. Mnyika ni shahidi.

Mwenyekiti alikuja na mapendekezo kwamba kusiwe na mgombea urais mwenye nguvu ama asiwepo kabisa mwaka 2025. Pia akaja mpaka na orodha ya majimbo ambayo Chadema ingeachiwa mwaka 2025. Kama kuna mtu atabisha basi tutayaweka hadharani. Miongoni mwa hayo majimbo watu wake nanga zinapaa kweli kweli kwa sasa maana wana faida wataipata huko mbeleni. Sisi tuliuliza, kwanini tuingie kwenye makubaliano hayo? Mbona nguvu tunayo?

Kiukweli ni jambo baya sana kumsema kiongozi mwenye Legacy kama Mbowe lakini hapa mwishoni alituuza, alituweka rehani. Sisi wengine tulihoji kulikoni? Mbowe anafaidika na nini? Mbona uwezo wa kupata hata majimbo zaidi ya 100 tunao mwaka 2025? Leo tuingie kwenye maridhiano ya kudanganywa na majimbo chini ya 20 ili tu mtu avuke? Ili nani afaidike?

Yapo mengi kweli tutayasema wazi wazi siku za mbeleni ila Mbowe kwa hatua aliyokuwa amefikia si wa kumung'unyiwa tena maneno! Aliharibu pakubwa!
Toka 2022 ndio watu wanajitokeza leo kuanika "dhambi" za Mbowe? Hayo mapendekezo yalitoka kwa nani? Kama ni kutoka kwa CCM, alifanya kosa gani kuwashirikisha wenzake? Hayo yalikuwa ni mapendekezo ambayo Kamati Kuu ilikuwa na mamlaka ya kuyakataa na nadhani ndivyo ilivyokuwa. Sidhani kama Mbowe angekubali kupewa majimbo 20 maana kwa experience yake ni lazima alijua kuwa kuna uwezekano mkubwa wa CCM kumgeuka kwa ama kutoruhusu CDM washinde kama walivyo ahidi ( mfano ni NCCR Mageuzi) ama watatoa nje makubaliano hayo ili wakimalize kabisa chama chake. Mbowe sio mjinga kiasi hicho.

Mimi ninavyojua ni kuwa Lissu alitangaza nia ya kugombea urais kama chama chake kitampa idhini. Sijamsikia Mbowe akisema lolote kuhusu hilo. Kama angekuwa hataki angeweza kusema kuwa ametangaza nia mapema mno. Na mpaka hivi karibuni Lissu alikuwa anasisitiza kuwa yeye nia yake ni kugombea umakamu Mwenyekiti na urais tu. Kama alifanya hivyo huku akijua kuhusu usaliti mkubwa wa Mbowe basi tatizo litakuwa lake. Wenje amezungumzia tuhuma zilizotolewa dhidi ya Mbowe za kuhongwa magari mawili ambayo kiukweli aliyanunua katika mnada. Mpaka sasa hivi hatujaelezwa kama ni kweli tuhuma zilitolewa na kama zilikuwa za kweli.

Ninavyojua mimi ni kuwa strategists wengi wa vyama vya siasa huwa wanaangalia ni sehemu gani ndiko wana uhakika zaidi wa kushinda, na huko ndiko wanaweka nguvu kubwa. K.m. sio rahisi kwa Chadema kushinda Pemba na Mafia kwa hiyo itakuwa busara zaidi kuwekeza zaidi kwenye majimbo ya Mbeya, Mara n.k.

Hivi karibuni pamejitokeza tuhuma za ajabu ajabu kutoka kwa watu wanaodai wako jikoni. Kuna wanaodai walizuiwa na watu wa Mbowe kugawa kompyuta na kadhalika. Humu ndani wamejaa watu ambao wanaamini wakimchafua Mbowe ndio mtu wao atashinda na chama chao kitaingia kwenye era mpya ya mafanikio.

Nashauri wanyamaze. Kama wana ushahidi wa tuhuma hizo wazikabidhi kwa Kamati Kuu. Kama hawana imani nayo basi wamfanyie kampeni safi mgombea wao ili ashinde bila kukivuruga chama zaidi. Akishinda, wataweza kuzifuatilia na kuzichukulia hatua stahiki. Haya wanayofanya ni kwa faida ya wapinzani wao na sio chama chao.

Amandla...
 
Watu hamjui tu ila hili sekeseke la Chadema na Samia tulianza nalo mwaka 2022 mwishoni. Ilikuwa ghafla sana mwenyekiti wetu alibadili "jia" angani.

Aliyosema Lissu leo ni ukweli mtupu. Ndani ya Chadema kulikuwa na vuguvugu sii la kitoto. Mnyika ni shahidi.

Mwenyekiti alikuja na mapendekezo kwamba kusiwe na mgombea urais mwenye nguvu ama asiwepo kabisa mwaka 2025. Pia akaja mpaka na orodha ya majimbo ambayo Chadema ingeachiwa mwaka 2025. Kama kuna mtu atabisha basi tutayaweka hadharani. Miongoni mwa hayo majimbo watu wake nanga zinapaa kweli kweli kwa sasa maana wana faida wataipata huko mbeleni. Sisi tuliuliza, kwanini tuingie kwenye makubaliano hayo? Mbona nguvu tunayo?

Kiukweli ni jambo baya sana kumsema kiongozi mwenye Legacy kama Mbowe lakini hapa mwishoni alituuza, alituweka rehani. Sisi wengine tulihoji kulikoni? Mbowe anafaidika na nini? Mbona uwezo wa kupata hata majimbo zaidi ya 100 tunao mwaka 2025? Leo tuingie kwenye maridhiano ya kudanganywa na majimbo chini ya 20 ili tu mtu avuke? Ili nani afaidike?

Yapo mengi kweli tutayasema wazi wazi siku za mbeleni ila Mbowe kwa hatua aliyokuwa amefikia si wa kumung'unyiwa tena maneno! Aliharibu pakubwa!
Hakuna kitu Lisu atafanya,atapoa kama Mwabukusi wa TLS.

Unajua Kwa nini? Atalazimika ajijenge kimaisha Kwa hela za chama ili kuondoa aibu ambazo Mbowe amezitaja kumhusu Lisu.
 
Sio wewe tu, wapinzani wa kweli tutamwachia saccos yake na machawa wake
Kumbe ndio maana alipoitisha maandamano, wewe na mashujaa wenzako mlimkatalia?
Hamjawahi kuwa wapinzani wa dhati isipokuwa mkiwa nyuma ya keyboard.

Amandla...
 
Kadri siku zinavyoenda ninaanza kuamini zile tetesi toka Twitter/X kuwa kuna mtu kalambishwa asali ya 12B+ 🤣 G Sam
 
Mbowe akae tu pemben bhana

Hatutaki kubembelezana sisi hapa
 
Watu hamjui tu ila hili sekeseke la Chadema na Samia tulianza nalo mwaka 2022 mwishoni. Ilikuwa ghafla sana mwenyekiti wetu alibadili "jia" angani.

Aliyosema Lissu leo ni ukweli mtupu. Ndani ya Chadema kulikuwa na vuguvugu sii la kitoto. Mnyika ni shahidi.

Mwenyekiti alikuja na mapendekezo kwamba kusiwe na mgombea urais mwenye nguvu ama asiwepo kabisa mwaka 2025. Pia akaja mpaka na orodha ya majimbo ambayo Chadema ingeachiwa mwaka 2025. Kama kuna mtu atabisha basi tutayaweka hadharani. Miongoni mwa hayo majimbo watu wake nanga zinapaa kweli kweli kwa sasa maana wana faida wataipata huko mbeleni. Sisi tuliuliza, kwanini tuingie kwenye makubaliano hayo? Mbona nguvu tunayo?

Kiukweli ni jambo baya sana kumsema kiongozi mwenye Legacy kama Mbowe lakini hapa mwishoni alituuza, alituweka rehani. Sisi wengine tulihoji kulikoni? Mbowe anafaidika na nini? Mbona uwezo wa kupata hata majimbo zaidi ya 100 tunao mwaka 2025? Leo tuingie kwenye maridhiano ya kudanganywa na majimbo chini ya 20 ili tu mtu avuke? Ili nani afaidike?

Yapo mengi kweli tutayasema wazi wazi siku za mbeleni ila Mbowe kwa hatua aliyokuwa amefikia si wa kumung'unyiwa tena maneno! Aliharibu pakubwa!

Hakika unajua kuandika lete habari
 
Mbowe alitoa tuzo kwa Rais bila kuishirikisha kamati kuu ya chama wala viongozi wenzake.

Yaani mbowe kwenye chadema hua anajiamilia na hakuna wa kumuuliza kama vile anavyoamua kwenye familia yake na yoyote ataehoji Mbowe anamtimua.

Mbowe anaikopesha chama kwa hela anazoluja nazo mfukoni ama cash na kulipwa anataka alipwe cash, hakuna invoice yoyote ma claims zozote anazoleta, hizo hela anazitoa wapi?

Mbowe ameyatafta mwenyewe, saaa hivi hakuna jiwe litaachwa juu ya jiwe lingine.
Mbowe alifanya mengi sana, hatutaki kusema ila ikibidi tutasema yote
 
Kiukweli ni jambo baya sana kumsema kiongozi mwenye Legacy kama Mbowe lakini hapa mwishoni alituuza, alituweka rehani. Sisi wengine tulihoji kulikoni? Mbowe anafaidika na nini? Mbona uwezo wa kupata hata majimbo zaidi ya 100 tunao mwaka 2025? Leo tuingie kwenye maridhiano ya kudanganywa na majimbo chini ya 20 ili tu mtu avuke? Ili nani afaidike?
Huenda mwenyekiti alichangia pakubwa kuenguliwa kwa wagombea
 
Mbowe ameyatafta mwenyewe, saaa hivi hakuna jiwe litaachwa juu ya jiwe lingine.
Duru zinasema
  1. Kuna panguapangua ya Makatibu matawini ili kumlinda mwenyekiti
  2. Makamu anakwenda kufukuzwa uanachama muda si mrefu
 
Mkuu Mag3 , hoja isiwe ni wapi ninapata hoja zangu, hoja iwe jee hoja zangu zina logic?, zina mashiko?, zitaisaidia Chadema?.
p
 
Toka 2022 ndio watu wanajitokeza leo kuanika "dhambi" za Mbowe? Hayo mapendekezo yalitoka kwa nani? Kama ni kutoka kwa CCM, alifanya kosa gani kuwashirikisha wenzake? Hayo yalikuwa ni mapendekezo ambayo Kamati Kuu ilikuwa na mamlaka ya kuyakataa na nadhani ndivyo ilivyokuwa. Sidhani kama Mbowe angekubali kupewa majimbo 20 maana kwa experience yake ni lazima alijua kuwa kuna uwezekano mkubwa wa CCM kumgeuka kwa ama kutoruhusu CDM washinde kama walivyo ahidi ( mfano ni NCCR Mageuzi) ama watatoa nje makubaliano hayo ili wakimalize kabisa chama chake. Mbowe sio mjinga kiasi hicho.

Mimi ninavyojua ni kuwa Lissu alitangaza nia ya kugombea urais kama chama chake kitampa idhini. Sijamsikia Mbowe akisema lolote kuhusu hilo. Kama angekuwa hataki angeweza kusema kuwa ametangaza nia mapema mno. Na mpaka hivi karibuni Lissu alikuwa anasisitiza kuwa yeye nia yake ni kugombea umakamu Mwenyekiti na urais tu. Kama alifanya hivyo huku akijua kuhusu usaliti mkubwa wa Mbowe basi tatizo litakuwa lake. Wenje amezungumzia tuhuma zilizotolewa dhidi ya Mbowe za kuhongwa magari mawili ambayo kiukweli aliyanunua katika mnada. Mpaka sasa hivi hatujaelezwa kama ni kweli tuhuma zilitolewa na kama zilikuwa za kweli.

Ninavyojua mimi ni kuwa strategists wengi wa vyama vya siasa huwa wanaangalia ni sehemu gani ndiko wana uhakika zaidi wa kushinda, na huko ndiko wanaweka nguvu kubwa. K.m. sio rahisi kwa Chadema kushinda Pemba na Mafia kwa hiyo itakuwa busara zaidi kuwekeza zaidi kwenye majimbo ya Mbeya, Mara n.k.

Hivi karibuni pamejitokeza tuhuma za ajabu ajabu kutoka kwa watu wanaodai wako jikoni. Kuna wanaodai walizuiwa na watu wa Mbowe kugawa kompyuta na kadhalika. Humu ndani wamejaa watu ambao wanaamini wakimchafua Mbowe ndio mtu wao atashinda na chama chao kitaingia kwenye era mpya ya mafanikio.

Nashauri wanyamaze. Kama wana ushahidi wa tuhuma hizo wazikabidhi kwa Kamati Kuu. Kama hawana imani nayo basi wamfanyie kampeni safi mgombea wao ili ashinde bila kukivuruga chama zaidi. Akishinda, wataweza kuzifuatilia na kuzichukulia hatua stahiki. Haya wanayofanya ni kwa faida ya wapinzani wao na sio chama chao.

Amandla...
Hoja zozote zikikabidhiwa kwa hii sekretarieti ya hawa makatibu wakuu ndio mwisho wake huo na hutosikia zikijadiliwa.
Mwenyekiti wa kikao anao uwezo wa kuzima hoja yoyote isijadiliwe na ndio umekuwa utaratibu wake kuendesha chama kibabe.
Huu ubabe sio wa leo, toka enzi za Chacha Wangwe umesemwa sana.
 
Kumbe ndio maana alipoitisha maandamano, wewe na mashujaa wenzako mlimkatalia?
Hamjawahi kuwa wapinzani wa dhati isipokuwa mkiwa nyuma ya keyboard.

Amandla...
Maandamani yaongozwe na tapeli anayekula nao maccm?
 
Back
Top Bottom