Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upumbavu waake ni UPI? Unafiki wake ni UPI? Hebu punguza jazba basi! Au wewe ulikuepo??Ktk wapinzani wote hakuna mpumbavu kama lema .. huyo lema alikuwepo kipindi wanaongea ?mnafki mkubwa sana huyo
Na ww ulikuepo ?Upumbavu waake ni UPI? Unafiki wake ni UPI? Hebu punguza jazba basi! Au wewe ulikuepo??
Ohoooo nishajua uwezo wako wa kufikiri, sikujibu tenaNa ww ulikuepo ?
Akifungwa wewe kinakuuma nini?.nchi imewashindeni mnakaa kuangaika kujifanya mnawashauri cdm.Kwa ujinga mlionao usitegemee fikra za mapinduzi ya fikra zinakoma mbowe akiwa mfungwa.Tafuteni hela mutafute mawakili wazuri wa kumtetea Mwenyekiti wenu- ATAFUNGWA OHHH nyie shindeni kwenye mitandao na majibizano yasiyo na maana
Magaidi ni ccm ambao miaka 60 ya utawala wao bado hapa kijijini hakuna maji,wala zahanati wala barabara haipitiki...wala umeme hakuna....KTK HALI KAMA HIYO GAIDI NI NANI?gaidi kwa kuwa tu labda maisha yao /vyeo vyao viko/yako hatarini?.kisa KATIBA?..ila sisi huku HAWAJALI SHIDA ZETU...PUMBAVUUUHuyo Lema alishuhudia hayo maongezi au na yeye kasimuliwa na ligaidi?
Hata usemeje jamaa yako yuko kolokoloni kwa tuhuma za ugaidi.Magaidi ni ccm ambao miaka 60 ya utawala wao bado hapa kijijini hakuna maji,wala zahanati wala barabara haipitiki...wala umeme hakuna....KTK HALI KAMA HIYO GAIDI NI NANI?gaidi kwa kuwa tu labda maisha yao /vyeo vyao viko/yako hatarini?.kisa KATIBA?..ila sisi huku HAWAJALI SHIDA ZETU...PUMBAVUUU
Haikusaidii kitu hata usemeje.What a wasted manii...!
Kivipi?Nyie watu!.
Badala ya kujenga upendo mnaajenga chuki....
Hapo unaleta uchochezi.kwamba mama alifurahia kifo cha rais JPMKwenye Space ya Maria inayoendelea, Mheshimiwa Lema anasema kuwa Mheshimiwa Mbowe alimpigia simu Rais Samia na kumpa pole kifuatia kifo cha Dkt Magufuli.
Wakati huo Mheshimiwa Mbowe alikuwa Dubai na kwamba Rais alimuahidi Mheshimiwa Mbowe kuwa Mara baada ya msiba kuisha, wangekutana na kuijenga Tanzania mpya, huku Mama Samia akiahidi na kumhakikishia Mheshimiwa Mbowe "kufutana machozi" wote.
Akimaanisha kuwa hata yeye alikuwa "ameguswa" na utawala uliopita.
Mheshimiwa Lema amesisitiza kuwa kama ni Uongo, basi Mama Samia ashike msaafu aape kama ni uongo.
Kwa hiyo Rais Samia aliongea na gaidi? Akaahidi kufutana machozi na gaidi?
Hata usemeje ndugu zako kijijini wanakufa hakuna madawa,mama yako anateseka hana umeme wala hawezi kujifungua akiwa hospitalini ataendelea kujifungulia kwa waganga wa kienyeji..huku wadogo zako shulen hakuna walimu na wanakaa chini...huku wewe ukifurahia kukaa kwa shemeji...POLE SANA MKUU,MAANA AKILI HUNAHata usemeje jamaa yako yuko kolokoloni kwa tuhuma za ugaidi.
Sina ndugu aliyekufa kijijini kwa ukosefu wa madawa. Usitake kulazimisha.Hata usemeje ndugu zako kijijini wanakufa hakuna madawa,mama yako anateseka hana umeme wala hawezi kujifungua akiwa hospitalini ataendelea kujifungulia kwa waganga wa kienyeji..huku wadogo zako shulen hakuna walimu na wanakaa chini...huku wewe ukifurahia kukaa kwa shemeji...POLE SANA MKUU,MAANA AKILI HUNA
Sasa rais aache shughuli zake na kwenda kushika msahafu et kuthibitisha kuwa madai ya Lema ni uongo? wewe hauoni upumbavu hapo ina maana Mama samia asipofanya hivyo ndio tuamini kwamba madai ya Lema ni ukweli tu? huu ni upumbavu na ni utoto kwa sababu jambo lenyewe halina maana yeyote.Upumbavu waake ni UPI? Unafiki wake ni UPI? Hebu punguza jazba basi! Au wewe ulikuepo??
Na upumbavu zaidi ni kuamini kuwa Mbowe ni GaidiSasa rais aache shughuli zake na kwenda kushika msahafu et kuthibitisha kuwa madai ya Lema ni uongo? wewe hauoni upumbavu hapo ina maana Mama samia asipofanya hivyo ndio tuamini kwamba madai ya Lema ni ukweli tu? huu ni upumbavu na ni utoto kwa sababu jambo lenyewe halina maana yeyote.
Kwahio Mama alikua Mke wa Jiwe?Hapo unaleta uchochezi.kwamba mama alifurahia kifo cha rais JPM
lakini pia hii issue ilikuwa kwa upelelezi na sidhani kama kesi zote za upelelezi makamo wa rais lazima azijue. Kuna mambo ambayo hata mkeo huwezi mwambia. tusitafute kumchafua rais. tuache mahakama ifanye kazi
Ndio maana kasema, mama ashike msahafu aape kwamba hakusema hivyo, huoni kama jamaa anajiamini na anacho kisema? Huenda Mbowe alirekodi akawatumia makamanda, huwezi juaHuyo Lema alishuhudia hayo maongezi au na yeye kasimuliwa na ligaidi?
Mkuu, hu ni mchango wa uzi hu hu au uzi mwingine? Nahisi kama umetoka nje ya topic vile?Lema anajaribu kujaza matambala ili viatu vya dr Slaa vimtoshe lkn wapi bado vinampwaya tu dah... Kwa sasa hivi hata Mbowe anajutia alichokifanya 2015. Maana hela alizopewa zishamwishia na chama pia kinamfia aisee!!!
Wewe unaweza jua?.... huwezi jua
Ona wanavyojibu sasaWewe unaweza jua?
Unataka nijibu vipi kwa mfano?Ona wanavyojibu sasa