yakowazi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2012
- 1,765
- 624
Amemuambia ashike msahafu amkane gaidi auHuyo Lema alishuhudia hayo maongezi au na yeye kasimuliwa na ligaidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amemuambia ashike msahafu amkane gaidi auHuyo Lema alishuhudia hayo maongezi au na yeye kasimuliwa na ligaidi?
Unataka afanye kila analoambiwa?Amemuambia ashike msahafu amkane gaidi au
Kumbe mbona unaminyana kaaUnataka afanye kila analoambiwa?
Kaa kumbe.Kumbe kaa
"Siyo wewe uliyekuwa pamoja na gaidi?" "siyo mimi"......SSH.Kwenye Space ya Maria inayoendelea, Mheshimiwa Lema anasema kuwa Mheshimiwa Mbowe alimpigia simu Rais Samia na kumpa pole kifuatia kifo cha Dkt Magufuli.
Wakati huo Mheshimiwa Mbowe alikuwa Dubai na kwamba Rais alimuahidi Mheshimiwa Mbowe kuwa Mara baada ya msiba kuisha, wangekutana na kuijenga Tanzania mpya, huku Mama Samia akiahidi na kumhakikishia Mheshimiwa Mbowe "kufutana machozi" wote.
Akimaanisha kuwa hata yeye alikuwa "ameguswa" na utawala uliopita.
Mheshimiwa Lema amesisitiza kuwa kama ni Uongo, basi Mama Samia ashike msaafu aape kama ni uongo.
Kwa hiyo Rais Samia aliongea na gaidi? Akaahidi kufutana machozi na gaidi?
Kumbe mbona unaminyana kaaKumbe mbona unaminyana kaa
Hahahaah hahahaah Mpwa huna akili ujue dah! Sio kwa kunivunja mbavu kijinga hivi"Siyo wewe uliyekuwa pamoja na gaidi?" "siyo mimi"......SSH.
Hahahaah Mpwa Leo vipi?Kumbe mbona unaminyana kaa
Mpwa Leo kuna wingu, naona dishi limeyumbaKaa kumbe.
Kwa sababu sio muislamu nini maana siku hizi waislamu ndio magaidi😄😄 Ila mimi sipo upande wowote katika hili suala la Mbowe, awe kweli gaidi au sio gaidi yote yanawezekana siwezi kusema et Mbowe ni kweli gaidi au sio gaidi hivyo kwangu mimi naangali tu hili suala linavyokwenda.Na upumbavu zaidi ni kuamini kuwa Mbowe ni Gaidi
Logic answerHuyo Lema alishuhudia hayo maongezi au na yeye kasimuliwa na ligaidi?
At least umepata akili kidogo. Sio mbayaKwa sababu sio muislamu nini maana siku hizi waislamu ndio magaidi😄😄 Ila mimi sipo upande wowote katika hili suala la Mbowe, awe kweli gaidi au sio gaidi yote yanawezekana siwezi kusema et Mbowe ni kweli gaidi au sio gaidi hivyo kwangu mimi naangali tu hili suala linavyokwenda.
Wekeni akiba ya maneno..Huyo Lema alishuhudia hayo maongezi au na yeye kasimuliwa na ligaidi?
Wewe waache tuWekeni akiba ya maneno..
Umeona eh? maana ningekuwa sina akili sasa nami ningekuwa napiga kelele Mbowe gaidi au Mbowe sio gaidi, ila nashukuru udogo wa viakili nilivyonavyo vimefanya nisitumie hisia au siasa katika ndio maana sipo upande wowote katika hizo pande mbili.At least umepata akili kidogo. Sio mbaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye space ya maria mko lundo ila huku field mkiambiwa mtokee hamtokei
Ungeekua huna akili kama ungeamini kuwa Mbowe ni Gaidi maana sifa za Gaidi ziko wazi, sasa kama huzijui utakua ndio uko upande huo! Hapo Vipi MpwaUmeona eh? maana ningekuwa sina akili sasa nami ningekuwa napiga kelele Mbowe gaidi au Mbowe sio gaidi, ila nashukuru udogo wa viakili nilivyonavyo vimefanya nisitumie hisia au siasa katika ndio maana sipo upande wowote katika hizo pande mbili.