Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #81
Tunakusubiri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye space ya maria mko lundo ila huku field mkiambiwa mtokee hamtokei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakusubiri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye space ya maria mko lundo ila huku field mkiambiwa mtokee hamtokei
Mbona pale kisutu mlikuwa hamzidi 10 ila huko kwenye space mko maelfu?Tunakusubiri
Tulikua tunakusubiriMbona pale kisutu mlikuwa hamzidi 10 ila huko kwenye space mko maelfu?
Wewe ndio gaidi. Mtu hujulikana kwa matendo na maneno yake. Wewe ndie gaidi.Huyo Lema alishuhudia hayo maongezi au na yeye kasimuliwa na ligaidi?
Ndio maana hata jamaa yenu kigogo kawapuuza siku hizi!Tulikua tunakusubiri
Mimi nimejielekeza sana kuangalia kwanza kinachoendelea kwenye hii kesi ni mapema sana kuwa na upande kwa sasa maana itakuwa natumia hisia tu sina sababu ya kutumia hisia kuanza kusema Mbowe hawezi kuwa gaidi au nitumie siasa tu kuanza kusema Mbowe ni gaidi.Ungeekua huna akili kama ungeamini kuwa Mbowe ni Gaidi maana sifa za Gaidi ziko wazi, sasa kama huzijui utakua ndio uko upande huo! Hapo Vipi Mpwa
Ligaidi linajulikana na lipo kolokoloni.Wewe ndio gaidi. Mtu hujulikana kwa matendo na maneno yake. Wewe ndie gaidi.
Kaa kumbe.
🏈Kumbe mbona unaminyana kaa
Ok.Mpwa Leo kuna wingu, naona dishi limeyumba
Uko sahihi kabisa, basi usiwe na shaka na akina sisi pia ambao tuna taarifa kiasi za kutusaidia kuwa na upande. Si dhambiMimi nimejielekeza sana kuangalia kwanza kinachoendelea kwenye hii kesi ni mapema sana kuwa na upande kwa sasa maana itakuwa natumia hisia tu sina sababu ya kutumia hisia kuanza kusema Mbowe hawezi kuwa gaidi au nitumie siasa tu kuanza kusema Mbowe ni gaidi.
🕹Kaa kumbe.
Unataka atoe clip ya maongezi ya Rais kama yule Mbwa wenu Sabaya alivyokuwa ana mrekodi baba yake Jiwe na kuziyoa hizo clip kutishia watu?Huyo Lema alishuhudia hayo maongezi au na yeye kasimuliwa na ligaidi?
Kwani zile bk 2 mnazolipwa tozo ni kiasi gani wakati wa kutoa, siku hizi?Sijachangishwa.
Atoe basi tuzione.Unataka atoe clip ya maongezi ya Rais kama yule Mbwa wenu Sabaya alivyokuwa ana mrekodi baba yake Jiwe na kuziyoa hizo clip kutishia watu?
Sijalipwa.Kwani zile bk 2 mnazolipwa tozo ni kiasi gani wakati wa kutoa, siku hizi?
Sina shida na hilo mie kama mna taarifa ni sawa tu, kwa upande wangu nitaendelea kutokuwa na upande maana huwa siamini haya mambo ya kuwa na taarifa, maana nakumbuka kipindi fulani cha Magufuli kuna watu walikuwa wanasema wana taarifa kuwa Magufuli keshachanjwa chanjo ya corona ila alivyokufa wengine wakasema wana taarifa kuwa Magufuli kafa kwa corona. Sasa ili kuepusha hiyo mikanganyiko ndio maana huwa nawaachia watu wenyewe na taarifa zao.Uko sahihi kabisa, basi usiwe na shaka na akina sisi pia ambao tuna taarifa kiasi za kutusaidia kuwa na upande. Si dhambi
Kwenye Space ya Maria inayoendelea, Mheshimiwa Lema anasema kuwa Mheshimiwa Mbowe alimpigia simu Rais Samia na kumpa pole kifuatia kifo cha Dkt Magufuli.
Wakati huo Mheshimiwa Mbowe alikuwa Dubai na kwamba Rais alimuahidi Mheshimiwa Mbowe kuwa Mara baada ya msiba kuisha, wangekutana na kuijenga Tanzania mpya, huku Mama Samia akiahidi na kumhakikishia Mheshimiwa Mbowe "kufutana machozi" wote.
Akimaanisha kuwa hata yeye alikuwa "ameguswa" na utawala uliopita.
Mheshimiwa Lema amesisitiza kuwa kama ni Uongo, basi Mama Samia ashike msaafu aape kama ni uongo.
Kwa hiyo Rais Samia aliongea na gaidi? Akaahidi kufutana machozi na gaidi?
Aape basi kama hakusema hayo huyo mama yakoAtoe basi tuzione.
Unaona ulivyo mjinga?Aape basi kama hakusema hayo huyo mama yako
Bk 2 gani?Kwani zile bk 2 mnazolipwa tozo ni kiasi gani wakati wa kutoa, siku hizi?