Mbowe alimpigia simu Rais Samia kumpa pole akiwa Dubai

Mbowe alimpigia simu Rais Samia kumpa pole akiwa Dubai

Ungeekua huna akili kama ungeamini kuwa Mbowe ni Gaidi maana sifa za Gaidi ziko wazi, sasa kama huzijui utakua ndio uko upande huo! Hapo Vipi Mpwa
Mimi nimejielekeza sana kuangalia kwanza kinachoendelea kwenye hii kesi ni mapema sana kuwa na upande kwa sasa maana itakuwa natumia hisia tu sina sababu ya kutumia hisia kuanza kusema Mbowe hawezi kuwa gaidi au nitumie siasa tu kuanza kusema Mbowe ni gaidi.
 
Mimi nimejielekeza sana kuangalia kwanza kinachoendelea kwenye hii kesi ni mapema sana kuwa na upande kwa sasa maana itakuwa natumia hisia tu sina sababu ya kutumia hisia kuanza kusema Mbowe hawezi kuwa gaidi au nitumie siasa tu kuanza kusema Mbowe ni gaidi.
Uko sahihi kabisa, basi usiwe na shaka na akina sisi pia ambao tuna taarifa kiasi za kutusaidia kuwa na upande. Si dhambi
 
Huyo Lema alishuhudia hayo maongezi au na yeye kasimuliwa na ligaidi?
Unataka atoe clip ya maongezi ya Rais kama yule Mbwa wenu Sabaya alivyokuwa ana mrekodi baba yake Jiwe na kuziyoa hizo clip kutishia watu?
 
Uko sahihi kabisa, basi usiwe na shaka na akina sisi pia ambao tuna taarifa kiasi za kutusaidia kuwa na upande. Si dhambi
Sina shida na hilo mie kama mna taarifa ni sawa tu, kwa upande wangu nitaendelea kutokuwa na upande maana huwa siamini haya mambo ya kuwa na taarifa, maana nakumbuka kipindi fulani cha Magufuli kuna watu walikuwa wanasema wana taarifa kuwa Magufuli keshachanjwa chanjo ya corona ila alivyokufa wengine wakasema wana taarifa kuwa Magufuli kafa kwa corona. Sasa ili kuepusha hiyo mikanganyiko ndio maana huwa nawaachia watu wenyewe na taarifa zao.
 
Kwenye Space ya Maria inayoendelea, Mheshimiwa Lema anasema kuwa Mheshimiwa Mbowe alimpigia simu Rais Samia na kumpa pole kifuatia kifo cha Dkt Magufuli.

Wakati huo Mheshimiwa Mbowe alikuwa Dubai na kwamba Rais alimuahidi Mheshimiwa Mbowe kuwa Mara baada ya msiba kuisha, wangekutana na kuijenga Tanzania mpya, huku Mama Samia akiahidi na kumhakikishia Mheshimiwa Mbowe "kufutana machozi" wote.

Akimaanisha kuwa hata yeye alikuwa "ameguswa" na utawala uliopita.

Mheshimiwa Lema amesisitiza kuwa kama ni Uongo, basi Mama Samia ashike msaafu aape kama ni uongo.

Kwa hiyo Rais Samia aliongea na gaidi? Akaahidi kufutana machozi na gaidi?

Maskini Chadema

Lini mtajua utawala uliopita SSH alikua makamu wa rais tena kwa awamu ya kwanza na ya pili? Hivi kweli mlitegemea rais wetu Samia Suluhu Hassan atumike na chadema kuhujumu chama chake na serikali yake? Masihara haya🤣🤣🤣🤣

Kama hamumjui Rais poleni sana

Acha kazi iendelee
 
Back
Top Bottom