YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Mbowe aliutangazia umma kuwa yeye keshachanja chanjo ya Corona lakini kila anapoenda barakoa haimtoki.
Nimeangalia nchi za wenzetu pia kama ULAYA na Marekani wamechanja lakini kutwa wanavaa vibarakoa!! wana maintain social distance, kunawa maji tiririka nk.
Sasa hiyo chanjo ina kazi gani kama sio utapeli.
Nimeangalia nchi za wenzetu pia kama ULAYA na Marekani wamechanja lakini kutwa wanavaa vibarakoa!! wana maintain social distance, kunawa maji tiririka nk.
Sasa hiyo chanjo ina kazi gani kama sio utapeli.